Ni kitu gani huwezi kulala bila kukifanya au ni kitu gani hukisahau uwapo safarini?

Ni kitu gani huwezi kulala bila kukifanya au ni kitu gani hukisahau uwapo safarini?

Dah
Kweli Kadafi (Yafeu Fula) aliuawa miezi kama nane hivi baada ya kufa binamu yake Tupac... Alipigwa risasi ya kichwa na mdogo wa Napoleon japo kuna conspiracy kibao moja wapo ikiwa yeye kujua identity ya assassin wa Tupac.
Kundi halijafa bado kuna active member wawili Young Noble na E. D. I. Mean ambao wanaendeleza legacy ya Outlawz na Pac, Hussein Fatal alifariki mwaka jana mwezi wa saba kwa ajali ya gari, Napoleon amekua ustaadh kaslimu na kamrudia Allah na sasa ni motivational speaker akitumia maisha yake kuwaelimisha watu madhara ya gangs, gang related violence including driveby shootings nk ,yule cousin wa Tupac Kastro yupo anaendelea na movement lakini kama solo artist, Komani(Mopreme Shakur) kaka yake Tupac nae anaimba bado kama solo artist, Mussolini (Big Syke) amefariki mwaka huu tarehe 5 December na Storm yule dada kasikika kwenye wimbo kama Thug passion na black Jesus kaolewa na analea familia japo kua bado ni Outlaw damuni.
Napoleone nasikia kwel kawa ustadhi bhana.,black Jesus bonge moja la pini aisee.husein fatal sikujua kama kafariki kabisa..kuna ngoma yupo husein fatal,Pac na mume wa Reym ma(papoose).aisee majamaaa naona kama wamemfunika kabisa Pac mle,,ngoma inaitwa Dumpin.au unaonaje?
 
Tupac amaru shakur..
Makaveli records..
Killuminati...

Dear mama...
[emoji441] when I was a young me and my mama had a beef,
17 years old kicked out on the streets,
Through back at the time
I never thought I'd see her face,
Ain't a woman a live that could,
Take my mama place,
Suspended from school and scared to go home,
I was a fool with the big boys,
Breaking all the rules,
I shed tears with my baby sister,
Over the years we was poorer than other little kids,
And even though we had different daddy's the same drama,
When things went wrong we'd blame mama,
I reminisce on the stress I caused
It was hell huggin on my mama from a jail cell,
And who'd think in elementary
Heeeeeey !!! I see the penitentiary
One day and runnin from the police that right,
Mama catch me put a whooping to my back side.
And even as a crack field mama
You always a black Queen mama
I finally understand for woman
It ain't easy tryin to raise a man [emoji443] [emoji441]


King of rap.....
God of rap......
Tupac amaru shakur
Makaveli......
1971 - 1996
Rest in power
R - I - P

[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120] [emoji120]



Tupac amaru shakur..
Makaveli records..
Killuminati...

Dear mama...
[emoji441] when I was a young me and my mama had a beef,
17 years old kicked out on the streets,
Through back at the time
I never thought I'd see her face,
Ain't a woman a live that could,
Take my mama place,
Suspended from school and scared to go home,
I was a fool with the big boys,
Breaking all the rules,
I shed tears with my baby sister,
Over the years we was poorer than other little kids,
And even though we had different daddy's the same drama,
When things went wrong we'd blame mama,
I reminisce on the stress I caused
It was hell huggin on my mama from a jail cell,
And who'd think in elementary
Heeeeeey !!! I see the penitentiary
One day and runnin from the police that right,
Mama catch me put a whooping to my back side.
And even as a crack field mama
You always a black Queen mama
I finally understand for woman
It ain't easy tryin to raise a man [emoji443] [emoji441]


King of rap.....
God of rap......
Tupac amaru shakur
Makaveli......
1971 - 1996
Rest in power
R - I - P

[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Dear mama wanasikiliza wasiojua hiphop tu,kwa mimi huo wimbo siupendi maana unajulikana na kila mtu,kuna ngoma kali sana zenye ujumbe wa mama ila hazijawa maarufu kama huo
 
Kila mtu ana kitu ambacho ni muhimu kwake kabla ya kulala na baada, au awapo safarini, sasa leo niambie ni nini ambacho usipokifanya huwezi kulala au kuondoka home asubuhi baada ya kuamka?

Binafsi siwezi kulala bila kupiga mswaki na ndiyo maana meno yangu ni meupe peee, yaani bora nisioge ila sio kulala bila kusafisha kinywa na hata nikiwa safari basi mswaki huwa siusahau kabisa.

Niambie na wewe tuweze kushare idea hapa jamvini.
Service ya kifanyio
 
Hawa watoto wajuzi hawawezi kuelewa old school
[emoji12] [emoji12] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hivi ni vizazi vya kina drake,diamond,sijui dogo janja,na ndio maana ni washamba wanaleta uteam kwenye muziki
 
Siwezi kulala bila ya kusafisha mwili, kuoga, kupiga mswaki na kunywa maji ya kutosha.
Siwezi kusafiri bila ya simu, laptop,bussiness card, power bank
 
Kabla ya kulala ni LAZIMA nimshukuru Mungu na kujikabidhi kwake kwa ulinzi wa usiku kucha; Niamkapo asubuhi huwa ni LAZIMA nimshukuru tena Mungu kisha niikabidhi siku kwake. Niwapo safarini huwa sisahau kuwa na Kitabu Kitakatifu cha Mungu - yaani BIBLIA. huku nikiendelea kuisoma na kuutafakari ukuu wa Mungu.
 
Napoleone nasikia kwel kawa ustadhi bhana.,black Jesus bonge moja la pini aisee.husein fatal sikujua kama kafariki kabisa..kuna ngoma yupo husein fatal,Pac na mume wa Reym ma(papoose).aisee majamaaa naona kama wamemfunika kabisa Pac mle,,ngoma inaitwa Dumpin.au unaonaje?
Hahaha... Ile ngoma ilichukuliwa verse ya Pac ya kitambo halafu papoose na Fatal wakaingiza verse zao ... Ipo kwenye album kama sijakosea Pac's life. Nakubali jamaa wametililika.... Na Fatal alipata ajali mbaya sana zilizikwa nyama tu.
Angalia hizo picha gari ilivyo haribika vibaya ila cha kushangaza demu wake alitoka mzima maana ndio alikua dereva.
1136f48af9d94cb2160524640eab6323.jpg
6467373aacf5d79cd7bff564c2f3ab9b.jpg
4f5ec30b4ab826b7deefe6d3d3f4f5d7.jpg
 
Hahaha... Ile ngoma ilichukuliwa verse ya Pac ya kitambo halafu papoose na Fatal wakaingiza verse zao ... Ipo kwenye album kama sijakosea Pac's life. Nakubali jamaa wametililika.... Na Fatal alipata ajali mbaya sana zilizikwa nyama tu.
Angalia hizo picha gari ilivyo haribika vibaya ila cha kushangaza demu wake alitoka mzima maana ndio alikua dereva.
1136f48af9d94cb2160524640eab6323.jpg
6467373aacf5d79cd7bff564c2f3ab9b.jpg
4f5ec30b4ab826b7deefe6d3d3f4f5d7.jpg
Eee bhana eee ajali mbaya sana hiyo,hawa majamaaa mbona vifo vyao ni vya ajabu ajabu tu?
 
Destiny bro na life style... Ila kwenye kifo cha Fatal demu wake kafunguliwa kesi ya homicide.
Aisee,asante sana mkuu hakika umeifanya siku yangu kuwa nzuri,maana nimekutana na mtu anaejua mambo ninayoyajua,yaani kama vile producer Duke touches anapokuwa na akina One,Stereo,Songa ,Mbishi.utafurahi wewe
 
Back
Top Bottom