Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Vinaleta msongo ila inategemea mtu ana handle vipi situationVyote ulivyotaja havileti msongo, kinacholeta msongo ni mind set ya mhusika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vinaleta msongo ila inategemea mtu ana handle vipi situationVyote ulivyotaja havileti msongo, kinacholeta msongo ni mind set ya mhusika.
Visasi - kila unapotembea lazima uangalie mazingira
Kweli kabisa Overthinking ndio husababishaVyote ulivyotaja havileti msongo, kinacholeta msongo ni mind set ya mhusika.
Hiyo namba 7 ungeweka madeni.
- Mapenzi - Ndoa chungu, Usaliti, nguvu za kiume, n.k.
- Uchumi - Kufilisika, gharama kubwa za maisha, n.k.
- Kesi mahakamani
- Marejesho ya Mkopo
- Magonjwa (Kisukari, Presha, Uti Sugu, n.k.)
- kukosa ajira - Mhitimu wa chuo hana connection
- Visasi - kila unapotembea lazima uangalie mazingira
Kijijini stress ni namna ya kumgegeda mke wa chiefKwa wanaoishi mjini haya ndio yanawatesa sana.
Ila kijijini hamna cha stress kuhusu haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kijijini stress ni namna ya kumgegeda mke wa chief
Sawa...Kama ni ndogo Basi tatizo Lina anzia kwenye mentality ya mtu mwenyewe..Faida zake ni ndogo mno
Unajikuta unazungumza mwenyewe na kujijibu..Kufilisika, hii kitu sikia tu kwa wenzio isikukute.
Lazima connection sio rahisi mtu kukuamini ....Sawa...Kama ni ndogo Basi tatizo Lina anzia kwenye mentality ya mtu mwenyewe..
Tulisha enda mpaka supermarket/ hotelini/ mama ntilie kutafuta oda kua supplier wao wa mboga mboga..
Tusha sukuma mikokoteni/ tusha kua professional barber wa saluni/fundisha tuition/ uza chair fire kwa kutafuta oda/ uza mabonge Yale ya barafu/ufugaji wa kuku na nguruwe/ tusha uza mitumba majumba ya magodoro....
Fursa zipo walio zielewa mapema hawalala miki TENAA..
Ukikosa kazi kwa miaka kumi...na ukichoka kua maskini..utafanya chochote Cha halali