Ni kitu gani kilikufanya uamini uchawi upo?

Ni kitu gani kilikufanya uamini uchawi upo?

Kwenye maisha tunayoishi kuna asilimia kubwa ya watu hatujafanikiwa kushuhudia kitu kama hiki na hivyo kufanya maswali kua mengi vichwani mwetu pindi tunapopata matatizo na matatizo hayo kuhusishwa na ushirikina.

Hali hiyo hutupa wakati mgumu kujua ni njia gani sahihi ya kukabiliana na tatizo.

Vipi kuhusu wewe;
Umewai kukutana na kitu kama hiki?
Umewai kurogwa na ukathibitisha kua umerogwa(ulithibitishaje)?
Au umewai kumroga mtu na kweli ukaona matokeo yake?

TUPE EXPERIENCE
 
fanya hivi we usiye na mazara:
kafanye kazi idara za serikali upande vyeo ovyo.
nenda fungua biashara mfano kkoo au masoko makubwa.
onyesha misifa yako ya mafanikio.

hivi huko nyumba za ibada na misikitini mnafundishwa nini kuhusu husda na ulimwengu
 
Kutokujua kitu fulani haimaanishi kitu hicho hakipo.
Kuna video moja niliiona mtumishi wa kiroho akikausha Mto kwa Dakika mbili.
Sijui ni nchi gani ila nahisi ni Zimbabwe, yaani tukio la Mussa kwenye bible likawa dembuked mbele ya kamera.
Mwingine anaweza kusema Tide and untide,sawa..hii kuchukua muda.. Sio ndani ya dakaika mbili mto kukauka.
Unadhani ni machinsm gani iliyotumika hapo?.
Hivi vitu vinafanya kazi, na nadhani ni wakati kila mmoja to stand where it works to him.
Kama huyupo(nguvu) basi ibaki kwako, msiwasimange wanaosema Yupo(nguvu) inayoendesha vitu.
 
Back
Top Bottom