Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Mkuu avatar yako inavutia sanaWeya wi deya tu toku openle
Hahahah mkuu umeamua kutoa ya moyoni. Je, uliwahi kuomba ushauri wowote na hukupata msaada humu JF kutoka kwa members tofauti na mshana jr?jf ni platform ya wazee, mi nliingia tu kusoma habari nliona instagram page ya jf walipost, kuingia huku wanaleta mambo ya ooh don't have an account? , nkaona isiwe kesi nikasign up tu, ila siifeel jf huku kila mtu ana hasira, chuki, majungu, ushamba na uzamani, mtu mwenye roho njema na hakwazi watu ni Mshanajr wengine wote chenga tu
Hahah hamna mkuu, mshana ni sample tu, wapo wengi wa aina yake, kuna ushimen , nk nk ila kuna wengine mzee ni wakata kamba mtu lbda anaomba ushauri, wanaanza kumponda tena, inakeraga kweli. Ila labda ni kwasababu huku tunaficha ID zetu ndiYo maana watu wanajibu ovyo hawajali kitu.Hahahah mkuu umeamua kutoa ya moyoni, je uliwahi kuomba ushauri wowote na hukupata msaada humu jf kutoka kwa members tofauti na mshana jr?
Jinsi kalivyo kapole. Nakapenda sana na kenyewe kanalijua hilo.Alikivutia kwa kipi?
Mi binafsi JF naifananisha na kijiji, nadhani ndio maana ikaitwa Jamii, katika jamii kuna watu wa kila aina. Ukiomba ushauri wapo watokejeli pia wapo wataokushauri na kuguswa na jambo lako.hahah hamna mkuu mshana ni sample tu, wapo wengi wa aina yake, kuna ushimen , nk nk ila kuna wengine mzee ni wakata kamba mtu lbda anaomba ushauri, wanaanza kumponda tena, inakeraga kweli , ila labda ni kwasababu huku tunaficha id zetu ndio maana watu wanajibu ovyo hawajali kitu
Hivi kwann JF isingekuwa na jukwaa la kutongozana tu,[emoji16] yani no story, ni kutongozana tu.Jinsi kalivyo kapole. Nakapenda sana na kenyewe kanalijua hilo.
Great Thinker.Jukwaa la wakubwa
Kwani MMU ni kwa ajili ya nini?Hivi kwann jf isingekuwa na jukwaa la kutongozana tu[emoji16] yani no story...ni kutongozana tu.
MMU story nyingiKwani MMU ni kwa ajili ya nini?
Wewe ni kama Mimi.. Nilianza kuifatilia jf 2011, nikaja kujisajili 2014 mwanzonione of my friend alinidokezea hii forum,.ilikua 2014 but nikawa nafatilia bila kujiunga rasmi,
kilichonivutia zaidi ni discusion of ideas ambazo zina mvuto, hazichoki kusoma na threads ni nyingi, unaamua usome ipi,
hasa comments za wadau after thread, i liked that.
JF ni platform ya wazee, mi nliingia tu kusoma habari niliona Instagram page ya JF walipost. Kuingia huku wanaleta mambo ya ooh don't have an account?, nkaona isiwe kesi nikasign up tu, ila siifeel JF huku kila mtu ana hasira, chuki, majungu, ushamba na uzamani, mtu mwenye roho njema na hakwazi watu ni Mshanajr wengine wote chenga tu.