Ni kitu gani kilikufanya ukavutiwa na JF?

Ni kitu gani kilikufanya ukavutiwa na JF?

Hahah hamna mkuu, mshana ni sample tu, wapo wengi wa aina yake, kuna ushimen , nk nk ila kuna wengine mzee ni wakata kamba mtu lbda anaomba ushauri, wanaanza kumponda tena, inakeraga kweli. Ila labda ni kwasababu huku tunaficha ID zetu ndiYo maana watu wanajibu ovyo hawajali kitu.
Duhhh....
Mkuu, kidogo nimeshtuka hadi pombe yote imekata.
Ebu niambie wapi hasa nilipo kukwaza ili nikuombe radhi kwa dhati kabisa...
 
Hilo halipo mkuu lilishafutwa kitambo.

Mbona niliwahi kusoma uzi kutoka kwa kiranja mkuu kwamba hakuna jukwaa la aina hiyo..!!??
9271000_img20180225202435_jpeg6948dd8262f1a5a7114fc1a180e39a38.jpeg
 
hahah unayumba mkuu, soma freshi hapo, nimesema sample za kina mshana pia ww umo, nyie ni watu wema, nasema jf kuna watu wema nyie ni mifanoooo
Duhhh....
Mkuu, kidogo nimeshtuka hadi pombe yote imekata.
Ebu niambie wapi hasa nilipo kukwaza ili nikuombe radhi kwa dhati kabisa...
 
[emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji120][emoji120][emoji120][emoji116][emoji116][emoji116][emoji123][emoji109][emoji123][emoji109]
JF ni platform ya wazee, mi nliingia tu kusoma habari niliona Instagram page ya JF walipost. Kuingia huku wanaleta mambo ya ooh don't have an account?, nkaona isiwe kesi nikasign up tu, ila siifeel JF huku kila mtu ana hasira, chuki, majungu, ushamba na uzamani, mtu mwenye roho njema na hakwazi watu ni Mshanajr wengine wote chenga tu.
 
Niliingia JF 2011 baada ya kuvutiwa na Mambo story za Rothschild,Nephilims,pyramids,TANU na akina Sykes,skendo za EPA, Escrow,Buzwagi,Mchuchuma,Bao la mkono,Mambo ya teknoloji ya NASA Kina Albert Einstein,Tesla,pia Mambo ya KGB,TISS,CIA,Mambo ya frauds ya kina Frank Abagnale,Emmanuel Nwude,Wauza unga kina Pablo Escobar Big Meech,Larry hoover,,story za music kina Rolling stones,2pac, Michael Jackson,Mbaraka Mwinshehe,Dogo Hashim,Miriam Makeba, Story za watawala kina Mao,Mobutu,Mansa Musa,Mambo ya biashara,ujenzi na jukwaa la afya.Ilikuwa home of Great Thinkers kweli.

Sasa hivi sio JF Ile nadhan ni kutokana na muingiliano na IG na Facebook users.Siku hizi kuna Uzi"Kula tunda kimasihara.
 
Nikianza na mimi, nilifungua akaunti JF baada ya kupendelea kugoogle baadhi ya mambo, mwishowe majibu mengi nayoyapata kupitia link ni kutoka JF. Nikaona isiwe tabu, niwe member kabisa.

Hata mimi ilikuwa exactly hivi 👆👆

Sikuwahi kusikia JF popote tofauti na google,almost kila nilichogoogle nililetwa humu
 
Nilikuwa nasikiasikia story kwamba kuna mambo mazito ya siri mpaka za serikali na viongozi yanaongelewa huku mpaka watu wa usalama wa taifa wapo humu wanaongelea issue nzito nzito,nikajoin fasta ila siku hz naona jf imeishiwa,wanafunzi na vinyozi wa saluni wamejaa humu hamna cha maana tena
 
Niliingia JF 2011 baada ya kuvutiwa na Mambo story za Rothschild,Nephilims,pyramids,TANU na akina Sykes,skendo za EPA, Escrow,Buzwagi,Mchuchuma,Bao la mkono,Mambo ya teknoloji ya NASA Kina Albert Einstein,Tesla,pia Mambo ya KGB,TISS,CIA,Mambo ya frauds ya kina Frank Abagnale,Emmanuel Nwude,Wauza unga kina Pablo Escobar Big Meech,Larry hoover,,story za music kina Rolling stones,2pac, Michael Jackson,Mbaraka Mwinshehe,Dogo Hashim,Miriam Makeba, Story za watawala kina Mao,Mobutu,Mansa Musa,Mambo ya biashara,ujenzi na jukwaa la afya.Ilikuwa home of Great Thinkers kweli.

Sasa hivi sio JF Ile nadhan ni kutokana na muingiliano na IG na Facebook users.Siku hizi kuna Uzi"Kula tunda kimasihara.
Uzi mtu anasafiri na Ford ranger[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom