Ni kitu gani kilishakuaibisha katika maisha hutakisahau

Mimi kuna siku nilinunua koti zuri dressmann (duka la nguo la wanaume) sasa nikalitinga kesho yake na nilisahau kutoa price tag ikawa inaninginia kwenye kola. Nikashangaa watu wananiangalia sana njiani nikitembea na kwenye basi mawazo yangu nikajua niko smart nlpofika ghetto na kutahamaki was so much embarrassed
 
Boss usharudi kwa jirani yako Jimena au bado upo Dar....
Yani kumbe alisafiri bila hata kusema? Si ningempa kamzigo kadogo akafikishe home[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Huyu jirani nae kumbe sio
 
Na ww naye unatafuta kesi zisizo na sababu...wangekuuliza umejuaje kama nguo hiyo ni ya dada
[emoji6] [emoji5] hata mm nimejiuliza asee,,,,yani hapo jamaa karuka mkojo katumbukia chooni
 
Yani kumbe alisafiri bila hata kusema? Si ningempa kamzigo kadogo akafikishe home[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Huyu jirani nae kumbe sio
Bongo bwana. Tembea utumwe. Ndo maana nkisafiri siagi
 
Aaaah, wakwe sawa. Ila mzee Abdalla kichwa wazi...aaah hana shaka, ndo mambo yake hayo
 
wengi sikuhizi humu ni wanafunz ambao wapo kwenye kipindi cha balehe si unajua kinavyo sumbua ndo matokeo yake mtu anataka kuonekana kachangia hata kama ni pumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…