Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Upo brother mzima weweUkiwa hunusi vitunguu kimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo brother mzima weweUkiwa hunusi vitunguu kimbia
Niko poa kabisa. Mguu unaendeleajeUpo brother mzima wewe
Nimeanza mishe mishe now natembea mwenyewe Mungu Ni mwema japo sio Kama zamani lakini nashukuru MunguNiko poa kabisa. Mguu unaendeleaje
Aisee umenifanya nimecheka sana.Ukiskia vinanda tu zile symphony ujue umeisha... Kula Shishi food au home ukishiba nenda Sea cliff agiza iced tea au kahawa yako taaratibuu 😂😂😂
Aina ya watu waliopo hapo ndani. Kingine Wi-fi ya bure n.kKuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
Utaki shida na mtuNi mwendo wa cappuccino, chakula wabaki nacho
Ikawe kheri kwako broNimeanza mishe mishe now natembea mwenyewe Mungu Ni mwema japo sio Kama zamani lakini nashukuru Mungu
Mambo ya kuhangaika na menu zenye majina ya kizungu, bill inakuja mlima kitongaUtaki shida na mtu
Amina🙏Ikawe kheri kwako bro
Kuna restaurant nilienda bana, mazingira safi kabisa wahudumu safi kabisa wamependeza. Nikaagiza juice ikaja. Bill badae ni buku 5 glass😂 alafu sio Dar ni mkoaniMimi huwa nakula home nashiba then nikienda huko, naagiza Iced tea, au Juice najua bei zake haziogopeshi 😂
Karibu Akemi, posta Juice fresh 12,000/= haipungui 10,000/=😂Kuna restaurant nilienda bana, mazingira safi kabisa wahudumu safi kabisa wamependeza. Nikaagiza juice ikaja. Bill badae ni buku 5 glass😂 alafu sio Dar ni mkoani
Hii ilikuwa mara yangu ya kwanza kununua fresh juice bei kubwa hivi lakini bahati nzuri juice ilikuwa tamu mno nikaishia kuwa mteja wao japo bei ilinistua siku ya kwanza
ahahaa wale wale wa 2 tea here and 4 water thereRestaurant muhudumu anajua lugha nne tuka nduki kimbia
Sema Juice yao tamu sana pale, Huwa nikiwa na kiu au njaa sijali bei nashiba kwanza na mengine yatajulikana.Karibu Akemi, posta Juice fresh 12,000/= haipungui 10,000/=[emoji23]