Ni kitu Gani kinasababisha magari kuwa na milio tofauti?

Asante sana kwa maelezo mazuri sana
 
Sound= mdundo/malagalasi x m - s x /-voice over accelerator plus mafulukwinyo.
 
Mfano, mlio wa Nissan Safari ni tofauti na WA Toyota Land Cruiser, Mlio wa Toyota Land Cruiser ni tofauti na WA Toyota Hilux na Mlio wa Hilux ni tofauti na wa VW double cabin.

Je ni kitu Gani kinachopelekea tofauti hizi?
Engine formation kaka japo kuna milio huwa haibadiliki kwa gari zote... Milio ya engine za diesel na milio ya engine za petrol
 
Mfano, mlio wa Nissan Safari ni tofauti na WA Toyota Land Cruiser, Mlio wa Toyota Land Cruiser ni tofauti na WA Toyota Hilux na Mlio wa Hilux ni tofauti na wa VW double cabin.

Je ni kitu Gani kinachopelekea tofauti hizi?
Ukiwa unamkamua mwajuma analia sawa na somoe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…