Ni kitu gani Mpishi akifanya anakuwa kaharibu Ubora wa Chakula?

Ni kitu gani Mpishi akifanya anakuwa kaharibu Ubora wa Chakula?

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Chakula ni afya, chakula ni tia lakini chakula kinaweza kuwa na ubora mdogo au kukosa kabisa iwapo kitakosewa wakati wa kupikwa na kumaliza kabisa virutubisho.

Chakula kama hicho watu hula kujaza tumbo lakini kinakuwa hakina faida kwa mwili.

Je, nini mpishi asifanye au kuweka ili kupata chakula bora kwa afya ya mwili? Unaweza kutaja aina ya chakula na jinsi unaona kinakosewa kuandaliwa ikiwezekana toa njia bora za kuandaa.

OIP.N6Ac49OrsHcznuGulgycQQHaEl
 
Usafi
Tambua aina ya watu unaowapikia na viungo unavyo enda kutumia.
Kwa vyakula au viungo vinavyotoka viwandani jitahidi kusoma expire date kabla ya kuvitumia
Usipike muda mrefu mboga za majani na viungo kama hoho usipende kuzikaanga au kuzipika sana
 
Back
Top Bottom