Ni kitu gani mzazi/ mlezi alikukosea ukiwa mdogo bila kukuomba msamaha na kinakuumiza mpaka leo, mlioweza kusamehe mlifanyaje?

Hakuna mzazi duniani anaomba mambo mabaya kwa mtoto wake ,hata akikuchagulia mke au mme lengo lake huwa ni zuri sana,na kumbuka Akitoka Mungu wa pili ni mzazi hasa mama.Usikumbuke negative kwa mzazi,jitahidi sana ukumbuke negatively kwa mzazi

Wapo wazazi Wabaya Mkuu.
Kusema hakuna ni kijidanganya na kutotumia akili vyema.

1. Wapo wababa wanaobaka mabinti zao.
2. Wapo wazazi wanaowatoa watoto wao kafara Kwa sababu Fulani Ile iwe Uchawi au ushirikina.
3. Wapo wazazi wachawi wanaologa watoto wao wasifanikiwe.
4. Wapo wazazi wanaotelekeza watoto wao na wengi kufikia hatua kuwaua kabisa.
5. Wapo Wamama wanaoingilia maisha ya ndoa za watoto wao.
HAO wote ni wazazi Wabaya.
Na ukitaka ushahidi nitakupatia.

6. Wapo wazazi ambao huwapenda watoto waliofanikiwa huku akiwatenga watoto walioshindwa kwenye maisha.
 

Wengine upendo wa kinafiki hatuna,
Mzazi akizingua tunamzingua,
Mzazi Kama hatupendi nasi hatumpendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…