Ila malezi ya kiafrica yaan hutakiwi kujielezea,ukipigwa usilie ukilia unapigwa,kufokewa bila kosa ,kufukuzwa fukuzwa.
Unakuwa muoga muoga tu mliokua mkalelewa na baba na mama mshukuruni Mungu.
Sis wengine tulolelewa kw andugu eheeeee tulikipata.
Ndugu hawawezi kukulea kama wazazi wako