Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mzazi duniani anaomba mambo mabaya kwa mtoto wake ,hata akikuchagulia mke au mme lengo lake huwa ni zuri sana,na kumbuka Akitoka Mungu wa pili ni mzazi hasa mama.Usikumbuke negative kwa mzazi,jitahidi sana ukumbuke negatively kwa mzazi
Ila malezi ya kiafrica yaan hutakiwi kujielezea,ukipigwa usilie ukilia unapigwa,kufokewa bila kosa ,kufukuzwa fukuzwa.
Unakuwa muoga muoga tu mliokua mkalelewa na baba na mama mshukuruni Mungu.
Sis wengine tulolelewa kw andugu eheeeee tulikipata.
Ndugu hawawezi kukulea kama wazazi wako