Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

Nili nunua iphone kwa mara ya kwanza.

Ile iphone ilikuwa duplicated yani iko safi kama iphone yenyewe na huwezi juaa.

Nikajichangaa mixer mizingaa nika peleka laki mbili kwa jamaa akaniwekea kila kitu kufika home. [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] camera ndo ili nishtua naingia sehemu nyingine hapo ndo nikajua hii sioo.

Nikarudi kwa jamaa akasema amesha tumia pesa hawezi rudishaa.

Nilijutaa kama miezii 4 sina raha na baada ya siku 5 likazima mazimaa halija waka labda siku likijisikia.

Tokea hiyoo day ni dukani moja kwa moja,

Sent using Jamii Forums mobile app
rahisi ni gharama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viatu pea kama tatu hivi bwana. Sijui nilivinunuliaga nini.
Nimevinunua ghaliii halafu sijavaa hata siku moja mpaka vimeanza kuharibika..
Bwana bwana nishawahi kununua viatu pea mbili halafu vyote vilikua tofauti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ile siku hata sijui ilikuwaje Mungu wangu... Nimechagua kwa mkono wangu na macho ya naona nafika home viatu viko vya kulia tupu na kushoto tupu, Kumbuka hapo namba ni tofauti daah, ikabidi nivitupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi kingine miaka ya 2009 niko ndo naingia chuoo nina kama elfu 50 najiona bonge la tajiri na nilikuwa badoo sija anza visanga vya [emoji482][emoji482].

Jamaa zangu wakasema kuwa wanaenda kufanya shopping na mimi nikaungaa sasa kufika town sijuii waliwapigia mademu zaoo wakaja na waoo tukaenda dukani moja kwa moja yale maduka ya classic wearing.

Sasa mmoja wa yule manzi akasema mbona wewe hununuii au umesindikizaa dhaaa!!!!
(Kwa uzuri walikuwa nao na ile kuwa level sawa kama zao)
Nikajikuta na nunua suruali flan matata. Kwa 45 kiukwelii nilikuwa sipo tayariii ila nili nunua.


Kufika ghetto suruari fupiii .

Sita kaa nisahauu na mfukoni nilibakii na 3000 tu

Achaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashine ya MAXMALIPO najuta mpaka kesho kutwa

Kadi ya MWENDOKASI hii ina salio la 47,000Tsh ambayo ipo tu

natamani kuitoa ila ndio hivyo siwezi yani hii hela naiangaliaga kwa machungu.

BUGGER niliagiza nile hiki kitu maana nimekua nikiskia tu kuwa ni kitamu sana

ila baada ya kutia mdomoni ile hela yangu iliniuma sana yani.


Kununua Wave ili niweke kichwani nywele zijinyongoroteshe niwe kama muhindi

nilipoweka Wave nywele zikalala kama paka mwenye ujauzito,asee nilivaa kofia mpk ile wave ikapotea

na lile kopo la wave nili litupilia mbali likiwa na wave yake vile vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kununa vya ndani vikawa vidogoo siunajua tena huwzi hata kugawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuizi sinunui kitu bila size yani size zangu zote najua za kila kitu
underwear sikuizi nikishanunua Navaa jinzi langu najaribia kwa juu isipotosha nagawa, maana zamani nilikua najaribia moja kwa moja ndio nabaki nakaa nazo kama mapambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee Mie nakumbuka mwaka 2003 nilienda Kariakoo kununua nguo.

Nimezunguka kama dakika 15 sijapata nguo ninayoipenda(niliyoifuata),nkajisemea moyoni moyoni yani mie mjanja mzima wa town leo nakosa nguo kariakoo! SIKUBALI!

Nikizama tena,ile paap kutupa jicho nikaona kuna sehemu meza watu wamejaa kinoma,,nikasogoea,kucheki tu kuna nguo nyingi yani kama zote...Moyo ukasema ndio hapahapa leo patanikoma!!

Mwanaume nikaanza kusagula..sagula,,sagulaaaaa kama dakika 30 mpaka nimebaki peke yangu sijapata kitu,,Kumbe!! bana jamaa mwenye meza yake ananichora tu huku ananitupia nguo cheki na hiyo Dogo,,mara cheki hiyo dogo hadi jamaa kachoka...
Baadae nkamua niache tu kusagula nisepe!,,weee jamaa mwenye meza ya nguo wacha acharuke weee dogo acha UNGESE yani umenishuhurisha lisaa lizima afu now unasema unataka kusepa!..CHEKI NGUO HAPO UNUNUE..Mara wamenijalia nunua nunua nunuaaa kelele kibao...mwanaume nikaone isiwe tabu nikainama tena na kuibuka na nguo kama 7 kwa hasira afu kuwaonesha hela nilikuwa nayo nikaongeza zingine 3..Nikalipa huyoo nikasepa...ASEE KUFIKA HOME ZILE NGUO 6 NI BLAUZI,2 taiti si taiti yani kama za kihindi hivi...na mbili zingine zinamatobo ya panya hata ukienda kwa fundi hakubali kushona...!!!


ASEE MPAKA LEO NIMEAPA SITO KUJA KUSAGULA HATA SIKU MOJA....mwnedo ni Classic Wear tu
 
Nilinunua mtori bunguruni Kwa mnyamani,amini usiamini nilikutana na nyama mbili tu,roho iliniuma hadi keaho

Sent using Jamii Forums mobile app
Nililowahi nunua mishkaki magomen usalama karibu na njuweni...dah! Food poison ten days siend shule....mixer kukaa karibu na toi maana tumbo liliuma si mchezo. Nahsi ilikuwa mishkak ya nyama nyingine sio ng'ombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nili nunua covex all star kipindi hichoo nilikuwa mgonjwa sana na hivi viatuu.

Sasa nilisafiri na kwendaa mbalii kidogo na TZ nimekaa siku moja nikapata pesa nikaona sio mbayaa nitembee.

Katika pita pita,nikaona covex ya green iko poa sana yanii ilikuwa nzuri balaa.

Wale jamaa nahisi wana dawa maana hata sikuuliza mara mbili. Akaniambia hii ni mtumba basi nikatoa pesa pale nikaweka kwenye begi nikaondoka.

Nikiwa na furaha nikafika ghetto siku na haraka nazoo.

Nikakaa siku 4 nikapata mzunguko tena wa town kama kawaida nika vaa zangu fresh tinga all star huyuu, na kwa kuwa stend iko karibu basi nikapanda garii huyoo.

Sasa majanga ni hapa nashuka kwenye garii tuu naona kisigino njee kuangalia vizurii kiatu kime chanika.

Na kila navyo zidi ndo vinaongezeka. Nikajikaza kisabuni hata safari sijafikaa nikajikutaa naburuza kama ndala.

Kuna mda nikatembea mguu ukatoka njee raba ikaka pembeni nikaona sasa hii ishuu ni kweli.

Ukiangalia kiatu utasema cha 1983 yani kina chanika hata ukigisa tu na kidole.

Nikajichanga mikanunua ndala maana nilikuwa siko poa kiivyoo nikarudi home safari ikaishia hapo. viatu nikaviachaa huko huko town.


Sent using Jamii Forums mobile app
unastahili pole kwakweli nimejikuta nacheka kwanguvu
 
ELFU 25000 YANGUUU [emoji26][emoji25][emoji25]

Kipindi cha 2009 nilikuwa town nazungukaa mara wakapita wa mama wawili nilikuwa nimejisogeza mahali nakulaa yale matunda ya mchanganyiko ya buku. Maana jua lililuwa kalii

Basi nilivyo waona wanapita wame beba ma t shrt makalii sana kiukwelii.. Kwa nilivyo kuwa nawa angaliaa wakajua kabisaa nime yapenda yani kiukweli nilivutiwa nayoo.

Tukaongea beii ma 3 ikanitoka 25000 nikaona sawa tu haina shida nikaweka kwenye mfuko huyoo ghetto.

Nilivyo fika sijauliza nikawaonyesha majaama wakasema hapa kwelii umechagua basi nika weka kwenye ndo nikaloweka nikaja kufua baadaeee jioni sana mda umeenda.

Sasa majanga ni hapa. Natoka nje ile saa 5 sioni t shirt ikabidi niulizee manzii mmoja hivi akasema hajaona hata yeye. basi nikarudi ndani nika waambia jamaa zangu kuwa wameiba zile nguoo.

Jamaa akasema haiwezekani hapa hamna historia ya wizi na yeye akatoka nje akaangalia akaona kuna t shirt 3 akasema muulize mwenye hizi hapa atakuwa kachanganya.

T shirt moja ilikuwa ya damu ya mzee
T shirt nyingine ya kijani ile dark green
T shirt nyingine ya black

Nikasema ngoja niangalie mwenye nazoo hizi,
Sasa kuna kijana ana husika na ishu za ngombe ni kama house boy wa yule mama mwenye nyumba.
Nikamfuata na kumuuliza kuwa mbona umechukua nguo zangu. Akasema hapana yeye alifua juzii.

Kurudi dhaaaa bwana weee kumbe zanguuu yanii zime paukaaa rangi imetoka sijuiiii ziko kama za 1456 .
Yani kama kijani ndo imekuwa kijuvuuu.


Nikamuita jamaa nikamwambia akasema !!!

MR. MJINI SHULE. Akasema kunywa chai usije ukaanza kutapatapa hapa.

Kumbe hii tabia ipo town wamama wale wa mtumba wanamwagia maji nguo zinakuwa kama mbichii rangi inakuwa,imekolea.

Yanii zile nguo niliacha hapo hapo. SITA 4 GET KWA KWELI.




Sent using Jamii Forums mobile app
ila una matukio hatar
 
Kipindi kingine miaka ya 2009 niko ndo naingia chuoo nina kama elfu 50 najiona bonge la tajiri na nilikuwa badoo sija anza visanga vya [emoji482][emoji482].

Jamaa zangu wakasema kuwa wanaenda kufanya shopping na mimi nikaungaa sasa kufika town sijuii waliwapigia mademu zaoo wakaja na waoo tukaenda dukani moja kwa moja yale maduka ya classic wearing.

Sasa mmoja wa yule manzi akasema mbona wewe hununuii au umesindikizaa dhaaa!!!!
(Kwa uzuri walikuwa nao na ile kuwa level sawa kama zao)
Nikajikuta na nunua suruali flan matata. Kwa 45 kiukwelii nilikuwa sipo tayariii ila nili nunua.


Kufika ghetto suruari fupiii .

Sita kaa nisahauu na mfukoni nilibakii na 3000 tu

Achaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenichekesha sana Kuliko wote jaman dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ASEE KUFIKA HOME ZILE NGUO 6 NI BLAUZI,2 taiti si taiti yani kama za kihindi hivi...na mbili zingine zinamatobo ya panya hata ukienda kwa fundi hakubali kushona...!!!
😄 😄 😄 😄
 
Back
Top Bottom