General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekuuliza kwa sababu kuna jamaa anani shaurii ni nunue iphone na pia ana daii ni nzurii balaa ukitumia una enjoy sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni kwamba hakuna ile kustack kama android, pia chaji ziko poa ukipata mpya. Ila mengine sawa tu