Ninakumbuka siku moja nilikuwa nipo nipo tu wala sina kampani, ghafla wazo likanijia nikanunue fegi nijaribu mara moja tu nione ikoje.
Kuanzia hapo mdogo mdogo nikaanza kupiga paf kila jioni na huwezi amini hakuna mtu wa karibu anaejua ninavuta wala kunishuhudia naivuta, huwa naenda kuvutia sehemu za mbali watu hawanijui.
Nimejaribu mara kadhaa kuacha ikiwemo kupause kwa mwaka mzima ila ghafla nikarudi.
Nachojutia zaidi ni kwamba sigara hainilevi tena kama mwanzo, ninaivuta tu kwa mazoea lakini kuacha inakuwa ngumu.
NB: Kiwe ni kitu ambacho unatamani kukiacha, kama una enjoy hakihusiki
Kuanzia hapo mdogo mdogo nikaanza kupiga paf kila jioni na huwezi amini hakuna mtu wa karibu anaejua ninavuta wala kunishuhudia naivuta, huwa naenda kuvutia sehemu za mbali watu hawanijui.
Nimejaribu mara kadhaa kuacha ikiwemo kupause kwa mwaka mzima ila ghafla nikarudi.
Nachojutia zaidi ni kwamba sigara hainilevi tena kama mwanzo, ninaivuta tu kwa mazoea lakini kuacha inakuwa ngumu.
NB: Kiwe ni kitu ambacho unatamani kukiacha, kama una enjoy hakihusiki