To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Nikiwa mjamzito sijawahi..Ila nikiwa fresh tuUnapokuwa mjamzito tuuu? au Kla wakati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa mjamzito sijawahi..Ila nikiwa fresh tuUnapokuwa mjamzito tuuu? au Kla wakati?
Yooh!Nikiwa mjamzito sijawahi..Ila nikiwa fresh tu
😍Nikiwa mjamzito sijawahi..Ila nikiwa fresh tu
Ukitaka kujua madhara ya sigara tafuta daktari wa kinywa na meno uongee nae ukimaliza nenda kwa daktari wa magonjwa ya kawaida,najua baada ya hapo utanishukuru kimoyo moyoSigara natamani kuacha lakini nashindwa.
aisee kama hujawahi kuvuta naomba usijaribu kamwe, ina uraibu mbaya sana.
kwa hiyo nikishatoka hapo nakuwa nimeweza kuacha?Ukitaka kujua madhara ya sigara tafuta daktari wa kinywa na meno uongee nae ukimaliza nenda kwa daktari wa magonjwa ya kawaida,najua baada ya hapo utanishukuru kimoyo moyo
Mwanzo nilikua kama wewe napenda kuzaa, ila sijui umri mkubwa mimba ya mtoto wangu wa nne imejua kuninyoosha nikikaa nahisi kufa kufa…..mapigo ya moyo yananienda mbio tumbo zito yaani nimekoma🙌🏿🙌🏿🙌🏿sitaki tena hizi habari za kuzaa…natamani nijifungue hata keshoKuzaa aseee,,nko 26 yrs nna watoto 4 na nna mimba, nmeambiwa mapacha
Apo sasa utulie kwakwel,,hao wa 4 wanatosha wasije wakakukosa,, uzazi wa sasa uheshimiwe sana, ukiona tu dalili mbaya jihadhari,,ila hongera na umalize safari na kujifungua salama,,Amina 🙏🏾Mwanzo nilikua kama wewe napenda kuzaa, ila sijui umri mkubwa mimba ya mtoto wangu wa nne imejua kuninyoosha nikikaa nahisi kufa kufa…..mapigo ya moyo yananienda mbio tumbo zito yaani nimekoma🙌🏿🙌🏿🙌🏿sitaki tena hizi habari za kuzaa…natamani nijifungue hata kesho
Shkamoo mkuu,,naanza fomu wani pale Joseph mbeyela matarawe we upo six,, heshima yako mkuu,, ningejua ningekuja kukupa haiMwaka 2013 namaliza form six njombe secondary (njoss), nilifanya upuuzi wa kujaribu kuvuta embassy baada ya kunywa pombe, kimsingi nilijisikia vizuri Sana, had Leo hii nikinywa pombe lazima nivute embassy.
Nisipo kunywa pombe sitaki hata kusikia harufu ya Moshi wa sigara yoyote. Bila pombe siwezi vuta sigara na hata sitamani.
NB; natamani nikinywa pombe nisivute fegi
Amina Sana, kitambo Sana aiseeShkamoo mkuu,,naanza fomu wani pale Joseph mbeyela matarawe we upo six,, heshima yako mkuu,, ningejua ningekuja kukupa hai
eti zile story zilkua za kwel 😂,, naskia enzi izo mlikua mnakamata vibinti vikijipitishaAmina Sana, kitambo Sana aisee
Hapana sio kweli ni story tu hizo, wakati huo njoss ukivaa uniform ukaingia mtaani na kumsemesha binti yeyote kutoka shule yoyote ile ilikuwa ni rahisi Sana kumpata,eti zile story zilkua za kwel 😂,, naskia enzi izo mlikua mnakamata vibinti vikijipitisha
Basi itakua ni miaka ya nyuma tena,, uzur bado ipo inapeta tuHapana sio kweli ni story tu hizo, wakati huo njoss ukivaa uniform ukaingia mtaani na kumsemesha binti yeyote kutoka shule yoyote ile ilikuwa ni rahisi Sana kumpata,
Anyway huenda sijui maana Hadi namaliza njoss nilikuwa na jamaa zangu wawili tu wanaojua nakunywa pombe, nilikuwa mtu mwema Sana.
Binafsi ile ndo shule niliyoishi maisha Bora zaidi kuliko shule yoyote ile ktk maisha yangu ya kusoma ikiwemo chuoBasi itakua ni miaka ya nyuma tena,, uzur bado ipo inapeta tu
Karibu tena,,ulete na wanaoBinafsi ile ndo shule niliyoishi maisha Bora zaidi kuliko shule yoyote ile ktk maisha yangu ya kusoma ikiwemo chuo