Ni kitu gani ulikijaribu kwa lengo la kutesti mara moja ila kimekuingiza kwenye shimo la uraibu/addiction unatamani kutoka lakini unashindwa?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ninakumbuka siku moja nilikuwa nipo nipo tu wala sina kampani, ghafla wazo likanijia nikanunue fegi nijaribu mara moja tu nione ikoje.

Kuanzia hapo mdogo mdogo nikaanza kupiga paf kila jioni na huwezi amini hakuna mtu wa karibu anaejua ninavuta wala kunishuhudia naivuta, huwa naenda kuvutia sehemu za mbali watu hawanijui.

Nimejaribu mara kadhaa kuacha ikiwemo kupause kwa mwaka mzima ila ghafla nikarudi.

Nachojutia zaidi ni kwamba sigara hainilevi tena kama mwanzo, ninaivuta tu kwa mazoea lakini kuacha inakuwa ngumu.

NB: Kiwe ni kitu ambacho unatamani kukiacha, kama una enjoy hakihusiki
 
NIlijarbu kuwa karbu na pisi fulan hv huku nikiwa siamini kama atakubali kampan yang, cha ajabu nikajikuta nimezama mazima na kumuaproach... uzuri hakuwa na Pingamizi. Na sasa napata tabu siwezi mpotezea hata kwa lisaa na nakuwa na wivu hata akiwa busy na mashoga zake...
 
Fegi nomaa
!
 
Sina addiction yoyote ila huwa napiga matukio ya hovyo sana ila hamna kitu ambacho nipo na uraibu wake huwa nafanya kwa kujiskia
 
NB: Kiwe ni kitu ambacho unatamani kukiacha, kama una enjoy hakihusiki

Ninakumbuka siku moja nilikuwa nipo nipo tu wala sina kampani, ghafla wazo likanijia nikanunue fegi nijaribu mara moja tu nione ikoje...
Me mwaka 2007 nlijaribu kukosea njia( Kwa mpalange) kwa mdada wa kaz wa nyumban. Toka hapo had leo 2024 cjawah kuacha hko kitu. Nnatumia nguvu nyng kuacha lakn nnashindwa. Kila nkiona kinyesi moyo unashituka sana
 
 

Attachments

  • Screenshot_20240810_204235_One UI Home.jpg
    1.2 MB · Views: 11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…