Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Huyo binti hukumpenda tu, sijaona kosa la huyo binti kukwambia hivo, labda kama alikuwa na mapungufu mengine ya kitabia ambayo siyajui cc2500
 
Mtawaacha wanaume wangapi Leejay49
mpaka tutakapopata mtu stable, mtu awe hana kweli unamvumilia akipata atanipa, asa limtu unaliona kabisa lina hela lakini kutoa mpaka akuzungushee weee me habari kama hizo sitaki bora tuachane yaishe🙌
 
Kuna demu wangu wa kando huwa anapenda kunipangia marafiki wa kuwa nao. Nshamwambia ni ngumu kunizuia kutoongea na rafiki ninaemhitaji.
 
Mimi asee nilikatazwa kusmile kwa mdada yoyote, nisimsifie mdada yoyote akiwa kapendeza na kubwa kuliko muda wote nitakao kuwa free basi yeye atakua pembeni yangu...
Asee niliushindwa mtihani kabisa, ingawa yule mrembo nickname yake ilikua ni "Mishepu"
Kuandamana na mbebez kila sehemu siwezi kuna muda nataka niwe peke yangu asee.
 
Aliniambia eti niache ugoro niwe nakula ganja....mpaka leo napiga ganja fresh tu ila tulishatemana na mbwa yule ..shit
 
Hongera kwa kutunza penzi[emoji28]siiku utashangaa umebamba na girl mwingine midomo inameremeta kwa lipstic[emoji23][emoji23][emoji23]

Tushaachana kitambo ila tu nimebakia na mazoea sipaki lipstick
 
Umemalizaaa!!

Thread closed!!
 
Mimi alinikataza nisiwe nasikiliza singeli wala kucheza. Akasahau siku ya kwanza kuniona aliniona nacheza singeli ndio akanipenda[emoji57][emoji57]
Na itakuwa ulikuwa unamwaga uno ndio akapenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…