Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Mimi mchaga wangu tukikaaga sehemu akapita mdada mwenye mitako lazima anishtue tuanze kulitazama na kulijadili [emoji1][emoji1][emoji1]Mimi asee nilikatazwa kusmile kwa mdada yoyote, nisimsifie mdada yoyote akiwa kapendeza na kubwa kuliko muda wote nitakao kuwa free basi yeye atakua pembeni yangu...
Asee niliushindwa mtihani kabisa, ingawa yule mrembo nickname yake ilikua ni "Mishepu"
Kuandamana na mbebez kila sehemu siwezi kuna muda nataka niwe peke yangu asee.
Kakuachia urithi🤣🤣🤣🤣utamkumbuka daimaTushaachana kitambo ila tu nimebakia na mazoea sipaki lipstick
Ndugu yangu we acha tu 🤣🤣🤣🤣🤣Alafu wanawake wa jf bwana...wher do u get this men from🤣🤣🤣🤣
Nlizuiliwa kuvaa kaunda suti na suruali za vitambaa eti nlizigawa zote aisee nikanunua kodrai na cadet, nlizuiliwa pia kuvaa tshirt kaziniNi kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukulia je?
Yan sikumfanya chochote kilee alafu nilikuwa mnyenyekevu sana kwake, na nilimpenda sanaaDuh! Ulimfanya nini mpaka akutoe akili hivyo?
Kweli kabisaaa...Yes ungelikuwa na hali mbaya maana hayo ni manyanyaso ya wazi wazi kabisa.
Tatizo tunawaamini wanaojiona kuwa hatuna ujanja kwao kwa lolote.
View attachment 2593796
Yaan uache kazi umpe muda na bado anataka umpe hela hizo hela utaziokota? Kuna watu huwa nahisi kama kichwan hawapo sawa.Mimi alinikataza kufanya kazi alinambia niache kazi nimpe muda cz sina muda nae na jali sana kazi kuliko yeye.
Nikajisemea tuu huyu demu kachanganyikiwa nikatupa kule na kuambia mpaka na leo anatuma txt za kuomba msamaha simjibu chochote
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Alikua hajiamini kwako huyoo ungeendelea nae ungekua mtumwa Sana,wako wanaume wa hvyooAlianza kunikataza kusuka baadhi ya mitindo ya nywele akawa anataka nisuke anavyotaka yeye tena ya gharama mbali na uwezo wangu na hajawahi kutoa hata mia ila kulalamika sasa ooh hujapendeza ilibidi usuke mtindo fulani. Nikaja nikanyoa kaja tena umepunguza sana nywele hupendezi[emoji849]
Nilikuja kumuacha na hadi leo hajuagi kwa nini nilimuacha labda kama ana akili sawa sawa atajiongeza ajue wapi alinikera. Alianza kulalamika mbona mwembamba sana anataka niongezeke.Yule umbwa nilimuangaliaaa sikuongea kitu toka pale nilimuacha kimya kimya. Anajiliza liza hadi leo eti kwa nini nilimuacha na sijawahi kumuambia sababu. Alininyanyasa sana kihisia sipendagi hata kumuona.
[emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hii kaaliNisicheke na wanaume wa jf atawaambia mod’s wanipe life ban
Nilimuacha na upuuzi wake.Alikua hajiamini kwako huyoo ungeendelea nae ungekua mtumwa Sana,wako wanaume wa hvyoo
[emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hii kaali
Mpuuzi kweli huyooo angekusumbua tuNilimuacha na upuuzi wake.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mi simooAcha tu Countrywide sijui ananichukuliaje? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mi simoo
mshamba tu huyo.....nikanyoa kaja tena umepunguza sana nywele hupendezi