Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

Haya
Haya mambo haya .
Ndiyo maana mimi tukikosana ukataka nikimbie ugomvi wewe anza kuchanganya kingereza na kiswahili nakuachia uwanja maana najua haukawii kuniumbua bure
 
Michango ya kuoa,kuolewa ama michango ya sherehe.
 
Kuw na instagram
Kujirecord naimb umba hovyo cwez
Kuwapenda wanaume wanaosuka vinywele kama mchicha
Kwenda beach kam ka group alf mnakuwa sex tofauti
Kuwa na SHOBO😜😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…