Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

nikishavaa fupi siinami, kama kuna ulazima kuna kuinama kwa staha pia.[emoji23][emoji23] BTW sio fupi ile ya kushindikana duniani mpk akhera
Hahahaaaa

Hapo kuanza kuinama kwa kuvizia ndipo huwa nafikiri sijui kwanini hamuwazi sawasawa pindi mnapovaa nguo za namna ile
 
Hahahaaaa

Hapo kuanza kuinama kwa kuvizia ndipo huwa nafikiri sijui kwanini hamuwazi sawasawa pindi mnapovaa nguo za namna ile
ndefu zinadondosha. Niulize mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Heko kwa wavaaji, uwa wanapendeza wenyewe.
 
Sasa kama umevaa ndefu iliyofuata mwili hadi miguu ilivyo, kwanini usianguke.

Kuna vitu huwa mnalazimisha hata hadhira wanaona haviwapendezi.

Nguo ndefu pana utaangukaje
FYI ile dress haikuwa ya kubana. Google sketi ya charanga uione namna iko

Km ulisoma comment vzr, wakati nashuka ngazi, licharanga limesambaa ukijikanyaga tu basi.

Bora ya kubana, kuliko liwe pana
 
Au mkuu huijui huo msamiati unamaanisha nini??

najua,, through nilikua na guess kitu flani hivi kutokana na comment zako so kama uko fresh ni vizuri.
 
Wild girl you are
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…