Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

nikishavaa fupi siinami, kama kuna ulazima kuna kuinama kwa staha pia.[emoji23][emoji23] BTW sio fupi ile ya kushindikana duniani mpk akhera
Hahahaaaa

Hapo kuanza kuinama kwa kuvizia ndipo huwa nafikiri sijui kwanini hamuwazi sawasawa pindi mnapovaa nguo za namna ile
 
Sasa kama umevaa ndefu iliyofuata mwili hadi miguu ilivyo, kwanini usianguke.

Kuna vitu huwa mnalazimisha hata hadhira wanaona haviwapendezi.

Nguo ndefu pana utaangukaje
FYI ile dress haikuwa ya kubana. Google sketi ya charanga uione namna iko

Km ulisoma comment vzr, wakati nashuka ngazi, licharanga limesambaa ukijikanyaga tu basi.

Bora ya kubana, kuliko liwe pana
 
Cha kunifanya niwe desperate ni kipi sasa hapo??


Simu siweki protector sbb linakuwa lizito
Sisuki sbb short hair looks cute more than misuko
Siwezi kukaa bila bando
Sivai long dresses
Simu kuitumia muda mrefu naichoka.

So hapo cha kufanya niwe desperate ni kipi hapo? Au mkuu huijui huo msamiati unamaanisha nini?
Au mkuu huijui huo msamiati unamaanisha nini??

najua,, through nilikua na guess kitu flani hivi kutokana na comment zako so kama uko fresh ni vizuri.
 
Cha kunifanya niwe desperate ni kipi sasa hapo??


Simu siweki protector sbb linakuwa lizito
Sisuki sbb short hair looks cute more than misuko
Siwezi kukaa bila bando
Sivai long dresses
Simu kuitumia muda mrefu naichoka.

So hapo cha kufanya niwe desperate ni kipi hapo? Au mkuu huijui huo msamiati unamaanisha nini?
Wild girl you are
 
Back
Top Bottom