MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
emjeiwani upo mamaangu?
habari ako binafsi baaaanaaaaa!
nakumisi sana mamaaaaa la kulivua pendo....that was the thread of the threads...hehehehe!mbu na klorokwin wataunga mkono hoja pasi na kuomba miongozo!....
nisalimie mamaaa la nyamayao mwambia yeye mfalme ya amani anamkumbuka sana manake alinambia mpo wote doha!.....
nakukumbuka sana emjeiwan!
pamoja sana
Hahahah Hapa nasikia harufu ya uchokozi Teamo kaka yangu..............kwani kunichokoa kovu lilokwishapona na kupata ngozi mpya?? hahahha mie mzima kabisa kaka yangu nimekumisije? Hebu wakurudishe huku doha bwana unamiss mengi!