Ni kitu gani...?!

Ni kitu gani...?!

Haahaha MJ na MBU nawasoma...siku ya siku ushauri wangu utakua hakukusikiliza siku zile za "kitu gani...." hata leo ni kama unampigia mbuzi gitaa tu!!!

LOL mtetezi wangu Klorokwini tu hapa, we naona Mbu keshakulambisha 'limbwata' lake......hakuna fair justice hapa!!
Haya Mbu nitakutii, nitakiheshimu, nitakupenda katika shida, na raha; katika hali ya kuwa mzima na mgonjwa na hata katika udikteta na amri
Nitakuwa mke mwema kama mwanajeshi mtiifu ambaye huuliza sababu baada ya kutii amri!
(Eh mkuu nisaidie!)
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

...Wow GOTCHA!,

it's a very tricky situation msipoijua kui handle vizuri (Ref; The Boss Input about Emotional Cheating)
Wengine hutumia muanyo huo kuanza Tit-for-Tat...then ufa wa nyumba unaongezeka.

Nadhani kuna haja kubwa kwa wapenzi/wanandoa kuacha tabia ya kukatazana "sipendi nikuone na fulani!"
ni kiashiria cha wivu utokanao na kutojiamini. Binafsi, sipendi kuambiwa hilo...

Lizzy, nasomeka au ushayapata ya kukutosha? Hakuna formula humu.

Hahahahaha Mbu nadhani sie 'wa siku hizi' hatuna tu maadili mbona hawa walikuwepo hata zamani? Au ndo kwa vile zamani haikuwa na mambo ya 'shemeji naomba kukuona' wao ilikuwa unaita wote na mtuhumiwa akiwepo.............. unashtaki kama jamaa ni mvivu wa kula chausiku au la!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Lizzy hiyo namba mbili kama mtu ametoka nje ya mahusiano ila bado anaonesha kukupenda na kukujali si unasamehe tu maisha yanasonga mbele?
 
LOL mtetezi wangu Klorokwini tu hapa, we naona Mbu keshakulambisha 'limbwata' lake......hakuna fair justice hapa!!<br />
Haya Mbu nitakutii, nitakiheshimu, nitakupenda katika shida, na raha; katika hali ya kuwa mzima na mgonjwa na hata katika udikteta na amri
Nitakuwa mke mwema kama mwanajeshi mtiifu ambaye huuliza sababu baada ya kutii amri!
<font color="#ffffe0">(Eh mkuu nisaidie!</font>)


Hivi unadhani nikikorofishana na huyo mtetezi wako ntakimbilia kwa nani kama sio MBU?!Kila mtu na wake aiseee...natengeneza mazingira ya kupendelewa!!Lolzz

Mbu endelea tu kumwaga nondo...yani ndo kwanza nimeweka miguu juu hapa!!
 
LOL mtetezi wangu Klorokwini tu hapa, we naona Mbu keshakulambisha 'limbwata' lake......hakuna fair justice hapa!!
Haya Mbu nitakutii, nitakiheshimu, nitakupenda katika shida, na raha; katika hali ya kuwa mzima na mgonjwa na hata katika udikteta na amri
Nitakuwa mke mwema kama mwanajeshi mtiifu ambaye huuliza sababu baada ya kutii amri!
(Eh mkuu nisaidie!)

Hahahahaha Mbu nadhani sie 'wa siku hizi' hatuna tu maadili mbona hawa walikuwepo hata zamani? Au ndo kwa vile zamani haikuwa na mambo ya 'shemeji naomba kukuona' wao ilikuwa unaita wote na mtuhumiwa akiwepo.............. unashtaki kama jamaa ni mvivu wa kula chausiku au la!!

...lol...hhhahha, ninavyokupenda mw'mke wewe...ee mungu nisaidie, mpaka tufike huko tena thamani ya pendo
ilipotelea wapi? Be in peace, Mbu is following your commands....xoxoxox
Wapi The Finest na ile sredi yake ya Utii?...

...Mwj1 niache kwanza nile futari mtoto wa mwenzio.
Few more minutes to go....

Huku UK "Rebels" wanatupiana mawe na Police, leo Manchester....aheri yenu wenye Mgao wa Umeme
na Petroli. Am out mpaka baada ya Swalaat Taraweeh.
 
Lizzy hiyo namba mbili kama mtu ametoka nje ya mahusiano ila bado anaonesha kukupenda na kukujali si unasamehe tu maisha yanasonga mbele?
Nisamehe mpaka lini mpenzi??!Siku naanza kutumia dawa za kuongeza nguvu?!
 
Kila mtu anajua nini haswa kilichomvutia/mpendeza hata kutaka/kukubali kuo/kuolewa au hata kua na mpenzi aliye nae.Hata wale ambao hawana wapenzi wana idea ya nini kinachoweza kumvutia kwa mtarajiwa wake!

Swali: je ni kitu gani kinachoweza kukufanya uachane na mke/mme/mpenzi wako?!Ni kitu gani unafikiri akifanya au kikitokea kwenye mahusiano yenu baada ya muda hutoweza kuendelea kuvumilia?!

Binafsi vitu ambavyo vinaweza kuniondolea yale mapenzi nlokua nayo mwanzo ni ....
1. Kunipiga - mwanaume kuniinulia mkono mwanamke mzima ambae kama kuna tatizo angeweza kunijulisha kwa njia nyingine na likatatulika kwa kweli siwezi kuvumilia.Maana ukichekelea leo jiandae na kesho!!

2.Kutoka nje ya mahusiano. - sijui kama itatokea siku nikabadilisha mawazo kuhusu hili ...kwa sasa hivi naamini kama mtu ananipenda na kuniheshimu kweli hawezi kutoka nje ya mahusiano tuliyonayo.Kama kuna kinachokosekana aniambie nirekebishe.

3.Kunidharau/tukana mbele za watu - inaonyesha haniheshimu...na kama haniheshimu siwezi kuona tukiendelea hata kufika mbali zaidi ya kua wapenzi tu maana kuheshimiana ni muhimu.

4. Kuonyesha kutokujali hisia/mawazo yangu - mtu ambae anamwachia mwenzake kazi nzima ya kujenga mahusiano ni sawa na mzigo mzito ambao unabebeka ila baada ya muda unachosha.Kuna watu ambao wao hata kumjulia mwenzake hali hawezi...kusongesha mahusiano mbele hawezi..yani we unakua na kazi ya kumpeleka upande huu na ule bila kujua kama kweli ndo kilichopo moyoni mwake.Kama unamlazimisha vile au anafanya tu kukuridhisha uendelee kuwepo kwa muda ule ambao anaweza kutumia uwepo wako.Ubaya wa watu kama hawa ni kwamba hata siku akiamka akakwambia sikuwahi kukupenda huwezi kumbishia kwasababu hakuwahi kukwambia wala kuonyesha kwa matendo!!

5.Ubinafsi - mtu wa mimi..mimi ..mimi.Kila kitu ni vile anavyotaka yeye au hamna kitu.Wakati mahusiano yanatakiwa yawe makubaliano na michango ya pande zote mbili.

6.Ulalamikaji/kutokua na shukrani - hata ufanye zuri gani huwezi pata asante na mbaya zaidi utaambulia malalamiko.

7.Kutokujiamini kulikopitiliza - maana mara nyingi hii hua inazaa tuhuma.Anakua hana imani kwamba unampenda kweli au ukienda sokoni unaenda kununua nyanya tu na kurudi.Tuhuma zikizidi zinaua hisia zilizokuwepo.
N.k....

Wewe je....?!


kwenye ya 5-7 dada umeongea kweeeeeeeli..NAUNGA MKONO HOJA...
 
...lol...hhhahha, ninavyokupenda mw'mke wewe...ee mungu nisaidie, mpaka tufike huko tena thamani ya pendo
ilipotelea wapi? Be in peace, Mbu is following your commands....xoxoxox
Wapi The Finest na ile sredi yake ya Utii?...

...Mwj1 niache kwanza nile futari mtoto wa mwenzio.
Few more minutes to go....

Huku UK "Rebels" wanatupiana mawe na Police, leo Manchester....aheri yenu wenye Mgao wa Umeme
na Petroli. Am out mpaka baada ya Swalaat Taraweeh.

Hah........naruhusiwa kutoza mahari mwenyewe??................zikipitia kwa mshenga zitafika robo bana, nipe tu mie ntazifikisha kwa Mzee Mwanzo Mpango mwenyewe!!..............................iftar njema.
Afu waambie wakufungie monitor au uombe Ban ya masaa toka kwa Mods usijeharibu funga yako bure!! Maana wengine sie Wazaramo wa Kutu kabisa midomo hatujaiswaf hebu tusijetwiahwa dhambi bure..................
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...lol.. hhhahha ninavyokupenda mw'mke wewe...ee mungu nisaidie, mpaka tufike huko tena thamani ya pendo
ilipotelea wapi? Be in peace, Mbu is following your commands....xoxoxox
Wapi The Finest na ile sredi yake ya Utii?...

...Mwj1 niache kwanza nile futari mtoto wa mwenzio.
Few more minutes to go....

Huku UK "Rebels" wanatupiana mawe na Police, leo Manchester....aheri yenu wenye Mgao wa Umeme
na Petroli. Am out mpaka baada ya Swalaat Taraweeh.
Hah........naruhusiwa kutoza mahari mwenyewe??................zikipitia kwa mshenga zitafika robo bana, nipe tu mie ntazifikisha kwa Mzee Mwanzo Mpango mwenyewe!!..............................iftar njema. Afu waambie wakufungie monitor au uombe Ban ya masaa toka kwa Mods usijeharibu funga yako bure!! Maana wengine sie Wazaramo wa Kutu midomo hatujaiswaf hebu tusijetwishwa dhambi bure..................
 
Nisamehe mpaka lini mpenzi??!Siku naanza kutumia dawa za kuongeza nguvu?!
<br />
<br />

najaribu kufikiria tunapovunja mahusiano kwa sababu hiyo halafu tunapata wapya ambao wanatoka kwenye mahusiano zaidi ya tuliowaacha. Je tutaendelea kuvunja na kuanza upya au tutavunja kwa mara ya kwanza na ya mwisho.
 
&lt;font size="3"&gt;&lt;span style="font-family: book antiqua"&gt;&lt;font color="#b22222"&gt;...lol...&lt;em&gt;hhhahha&lt;/em&gt;, ninavyokupenda mw'mke wewe...ee mungu nisaidie, mpaka tufike huko tena thamani ya pendo&lt;br&gt;<br>
ilipotelea wapi? Be in peace, Mbu is following your commands....xoxoxox&lt;br&gt;<br>
Wapi &lt;strong&gt;The Finest&lt;/strong&gt; na ile sredi yake ya Utii?...&lt;br&gt;<br>
&lt;br&gt;<br>
...Mwj1 niache kwanza nile futari mtoto wa mwenzio.&lt;br&gt;<br>
Few more minutes to go....&lt;br&gt;<br>
&lt;br&gt;<br>
Huku UK&lt;em&gt; "Rebels"&lt;/em&gt; wanatupiana mawe na Police, leo Manchester....aheri yenu wenye Mgao wa Umeme &lt;br&gt;<br>
na Petroli. Am out mpaka baada ya Swalaat Taraweeh.&lt;/font&gt;&lt;/span&gt;&lt;/font&gt;
Hah.......Usitukumbushie machungu ya serikali hii yaani acheni tu.......................ninachokitamani kwa watanzania sikawii kuitwa muhujumu uchumi!! Yaache tu yapite.....
 
najaribu kufikiria tunapovunja mahusiano kwa sababu hiyo halafu tunapata wapya ambao wanatoka kwenye mahusiano zaidi ya tuliowaacha. Je tutaendelea kuvunja na kuanza upya au tutavunja kwa mara ya kwanza na ya mwisho.

Kwahiyo tuvumilie tu mpaka siku ya kugaiwa vidonge kwasababu tunaogopa kuliacha “zimwi likujualo!“ ....,???!Dah
 
Hah.......Usitukumbushie machungu ya serikali hii yaani acheni tu.......................ninachokitamani kwa watanzania sikawii kuitwa muhujumu uchumi!! Yaache tu yapite.....
<br />
<br />

Sweetest....kuna kilichobaki cha kuhujumu nchi hii? Kama kipo nishirikishe mi ntajiunga maana mpango mzima sasa hivi ni kukomba.

Vinginevyo wewe jiinjoi tu na umpendaye hizi Kanuni za Lizzy mwachie kwa sasa....lol
 
Kwahiyo tuvumilie tu mpaka siku ya kugaiwa vidonge kwasababu tunaogopa kuliacha “zimwi likujualo!“ ....,???!Dah
<br />
<br />
hili jambo kadri ziku zinavyoenda linaonekana kuzidi. Na ubaya ni kwamba hatujui kama tutakapombilia ni salama.
Kama mwanaume amekucheat kwa miaka eg 4 bila kugundua (kwa sababu hakukuwa na mabadiliko) ukaja kugundua mwaka wa 5 na pengine na mtoto kashazaa nje, utamuacha ukatafute mwingine? Kama ni ishu ya vidonge hapo inawezekana ukaenda nywea mbele ya safari au ukawa umenusurika.
 
Yesuuu.....umenichekesha aisee daaah!

Lolzz....imebidi na mimi nicheke!!Ila kweli mwaya...samehe samehe hii mpaka siku umepanga mstari ndo hasira zinakupanda na majuto kibao!!
 
hili jambo kadri ziku zinavyoenda linaonekana kuzidi. Na ubaya ni kwamba hatujui kama tutakapombilia ni salama.
Kama mwanaume amekucheat kwa miaka eg 4 bila kugundua (kwa sababu hakukuwa na mabadiliko) ukaja kugundua mwaka wa 5 na pengine na mtoto kashazaa nje, utamuacha ukatafute mwingine? Kama ni ishu ya vidonge hapo inawezekana ukaenda nywea mbele ya safari au ukawa umenusurika.

Aiseee siwezi kujitoa mhanga kwa kisingizio cha kwamba huko kwingine kwaweza kuwa kubaya zaidi!!!
 
Lolzz....imebidi na mimi nicheke!!Ila kweli mwaya...samehe samehe hii mpaka siku umepanga mstari ndo hasira zinakupanda na majuto kibao!!
<br />
<br />

Cheka tu mwaya....kuishi kwa matumaini mchezo!
 
Aiseee siwezi kujitoa mhanga kwa kisingizio cha kwamba huko kwingine kwaweza kuwa kubaya zaidi!!!

Lizzy,

Hongera sana kwa kuonesha jinsi unavyoyathamini maisha yako..Ila naomba umsome Kloroquine (CQ) aliposema hivi:

"...unaweza kuwa unajadili maisha ya gerezani (a.k.a lupango) ukiwa uraiani"

Na pia akasema hivi (huyu huyu CQ),

"..Usitukane mama ntilie kama huna uwezo wa kula hotelini"

Naamini some la leo limeeleweka ingawa tamati bado kufika!
 
Kwa habari ya uzinzi ndoa yaweza vunjwa..dada vigezo umevipanga vizuri..ili kuepuka yoote haya huyo mwenzi kabla ya ndoa ni vizuri umchunguze ktk; anahofu ya Mungu?,ni ideal kwako?,umri na elimu je?,mahusiano na wazazi wake je? nk..lizzy bila ya vetting kwa watarajiwa..ndo malalamiko haya yasiyoisha ktk ndoa/mahusiano..
 
Back
Top Bottom