Ni kitu kibaya sana tena sana kuiweka serikali rehani kwa matajiri na wafanya biashara

Ni kitu kibaya sana tena sana kuiweka serikali rehani kwa matajiri na wafanya biashara

kichongeochuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
1,669
Reaction score
2,864
Nadhani mnakikumbuka kisa cha mgiriki aliye sema serikali yote kaiweka mfukoni wakati wa utawala wa Mwl nyerere,

Matokeo ya jambo hilo ni nchi kukithiri kwa Rushwa,ubadhirifu wa mali za umma,dili chafu , madawa ya kulevya ,utekaji na mauaji ambayo wakati mwingine yanaweza yakawa si utekaji au mauaji ya kisiasa nk.

Kiongozi imara na mwenye maono na taifa lake, kamwe hato kubali mitego au ushawishi wowote au kwa namna yeyote ile kuifungamanisha serikali yake na matajiri na wafanyabiashara, bali serikali itasimama kama serikali na itatekeleza majukumu yake yote kama serikali inayo jisimamia yenyewe.
 
Nadhani mnakikumbuka kisa cha mturuki aliye sema serikali yote kaiweka mfukoni wakati wa utawala wa Mwl nyerere,

Matokeo ya jambo hilo ni nchi kukithiri kwa Rushwa,ubadhirifu wa mali za umma,dili chafu , madawa ya kulevya ,utekaji na mauaji ambayo wakati mwingine yanaweza yakawa si utekaji au mauaji ya kisiasa nk.

Kiongozi imara na mwenye maono na taifa lake, kamwe hato kubali mitego au ushawishi wowote au kwa namna yeyote ile kuifungamanisha serikali yake na matajiri na wafanyabiashara, bali serikali itasimama kama serikali na itatekeleza majukumu yake yote kama serikali inayo jisimamia yenyewe.
Sasa ndiyo shida Boss wangu- Ninakuhakikisha ndicho kinachoendelea sasa hivi! Nilikuwa safarini Nairobi kipindi kimoja na nikaambiwa mh SSH amefika Kenya. Kwenye Ndege Bussiness class nikamuona Rostam Aziz. Kila safari ya Rais na shughuli yoyote ni deal ya wafanyabiashara fisadi. Sasa hivi Waziri Salum ndiye kuwadi no.1 moja wa SSH kwa matajiri. Zuhura aka Venus Nyote alikuwa haingiliki na hawezi kupendwa na viongozi mafisadi hata siku moja! akatenguliwa!
 
Nadhani mnakikumbuka kisa cha mturuki aliye sema serikali yote kaiweka mfukoni wakati wa utawala wa Mwl nyerere,

Matokeo ya jambo hilo ni nchi kukithiri kwa Rushwa,ubadhirifu wa mali za umma,dili chafu , madawa ya kulevya ,utekaji na mauaji ambayo wakati mwingine yanaweza yakawa si utekaji au mauaji ya kisiasa nk.

Kiongozi imara na mwenye maono na taifa lake, kamwe hato kubali mitego au ushawishi wowote au kwa namna yeyote ile kuifungamanisha serikali yake na matajiri na wafanyabiashara, bali serikali itasimama kama serikali na itatekeleza majukumu yake yote kama serikali inayo jisimamia yenyewe.
Tatizo siyo serikali tatizo ni jamii, hadi hapo mafuvu yatakapo rudishiwa akili
 
Jamii imefanyaje? Serikali ikishakuwa ya kidikteta jamii inaweza kufanyaje?
Jamii yetu ni ya kanyaga twende, yaani jamii ambayo haiwezi kuchakata mawazo chanya na hasi

Mkihoji kuhusu tozo mkiambiwa nendeni Burundi mnakaa kimyaa, watu wakipotezwa mnakaa kimyaa pia, mnasubiri tume ilete majibu kwa muda usiojulikana, (expecting results from what you know)

Sawa jamii iliyo nyamaza, itaendelea kunyamaza hadi lini?, je madhara ya kunyamaza yanajulikana

Mimi nimekuwa nafuatilia kuhusu kwanini biashara zinakufa.

Darasani tumefundishwa kwamba asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanategemea mjasiriamali na ni ukweli usiopingika, pia, asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzunguka.

Kumbe kwasasa, asilimia 20 ina nguvu hadi kuua biashara na ninajua ni nini kinatakiwa kifanyike, (I have the unlocking codes)
 
Jamii yetu ni ya kanyaga twende, yaani jamii ambayo haiwezi kuchakata mawazo chanya na hasi

Mkihoji kuhusu tozo mkiambiwa nendeni Burundi mnakaa kimyaa, watu wakipotezwa mnakaa kimyaa pia, mnasubiri tume ilete majibu kwa muda usiojulikana, (expecting results from what you know)

Sawa jamii iliyo nyamaza, itaendelea kunyamaza hadi lini?, je madhara ya kunyamaza yanajulikana

Mafuvu hayawezi kurudishiwa akili tanzania sahau

Yes alikuwa tajiri wa kigiriki
Nafurahi kwamba umelielewa, in reality though, it is never too late in life

Mimi naandika kitabu cha ujasiriamali fikirishi
 
Nadhani mnakikumbuka kisa cha mgiriki aliye sema serikali yote kaiweka mfukoni wakati wa utawala wa Mwl nyerere,

Matokeo ya jambo hilo ni nchi kukithiri kwa Rushwa,ubadhirifu wa mali za umma,dili chafu , madawa ya kulevya ,utekaji na mauaji ambayo wakati mwingine yanaweza yakawa si utekaji au mauaji ya kisiasa nk.

Kiongozi imara na mwenye maono na taifa lake, kamwe hato kubali mitego au ushawishi wowote au kwa namna yeyote ile kuifungamanisha serikali yake na matajiri na wafanyabiashara, bali serikali itasimama kama serikali na itatekeleza majukumu yake yote kama serikali inayo jisimamia yenyewe.
Mkuu mfumo wa kibepari ndio ulivyo, serikali nyingi dunian huwa zinaongwa na wafanya biashara wakubwa, hawa maraisi ni geresha tu, kujua haya mpaka uwe na jicho la tatu
 
Hahaha hakuna ubaya hao wanaitwa WADHAMINI wa chama.
Enzi zetu walikuwa wadhamini wa chama walikuwa kina Gulamali, Azim Dewji, Yusuf Manji, Abood na kama hao.
Siku hizi hahaha tinawezeshana wenyewe kwa,wenyewe, siwezi kuwataja.
 
Nadhani mnakikumbuka kisa cha mgiriki aliye sema serikali yote kaiweka mfukoni wakati wa utawala wa Mwl nyerere,

Matokeo ya jambo hilo ni nchi kukithiri kwa Rushwa,ubadhirifu wa mali za umma,dili chafu , madawa ya kulevya ,utekaji na mauaji ambayo wakati mwingine yanaweza yakawa si utekaji au mauaji ya kisiasa nk.

Kiongozi imara na mwenye maono na taifa lake, kamwe hato kubali mitego au ushawishi wowote au kwa namna yeyote ile kuifungamanisha serikali yake na matajiri na wafanyabiashara, bali serikali itasimama kama serikali na itatekeleza majukumu yake yote kama serikali inayo jisimamia yenyewe.


Mwalimu hakua mjinga alipoona kuwa matajiri wasipate nafasi ya kuiweka Serikali mfukoni kwa rushwa .
Tajiri hasa utajiri wa dhulma siku zote hana habari na mtu zaidi ya pesa .

Matajiri ni muhimu wawepo ila ni lazima wafuate sheria kama wetu wengine.
Kitendo cha kuwaondolea viongozi wa juu kinga ya kushitakiwa ni janga kubwa wa ana maana hata marafiki zao watatembelea madaraka ya wakubwa ambao ni marafiki zao
 
Nadhani mnakikumbuka kisa cha mgiriki aliye sema serikali yote kaiweka mfukoni wakati wa utawala wa Mwl nyerere,

Matokeo ya jambo hilo ni nchi kukithiri kwa Rushwa,ubadhirifu wa mali za umma,dili chafu , madawa ya kulevya ,utekaji na mauaji ambayo wakati mwingine yanaweza yakawa si utekaji au mauaji ya kisiasa nk.

Kiongozi imara na mwenye maono na taifa lake, kamwe hato kubali mitego au ushawishi wowote au kwa namna yeyote ile kuifungamanisha serikali yake na matajiri na wafanyabiashara, bali serikali itasimama kama serikali na itatekeleza majukumu yake yote kama serikali inayo jisimamia yenyewe.
Haya mambo yanajirudia rudia! Kwa wale wahenga mtakumbuka first lady mmoja Sitti mwinyi aliyejirikisha sana na ufisadi na wizi wa dhahabu! Mtakumbuka kuwa tajiri mmoja Gulamali alikuwa anatembelea ikulu na kusema anaenda kumsalimia shemegi yake yaani mzee mwinyi.

Mtakumbuka vile vile Jakaya ndiye aliyemuinua Rostam na mafisadi kibao na makashfa lukuki
Huyu anarithi tu lakini shida yetu hana uwezo wa kujisimamia ila kuna akina waziri Salumu Kuwadi mkubwa wa raslimali na mwizi na mchawi! Shida tuliyonayo ni kuwa hatuna rais pale Ikulu. State capture in practice!
 
Back
Top Bottom