kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Nadhani mnakikumbuka kisa cha mgiriki aliye sema serikali yote kaiweka mfukoni wakati wa utawala wa Mwl nyerere,
Matokeo ya jambo hilo ni nchi kukithiri kwa Rushwa,ubadhirifu wa mali za umma,dili chafu , madawa ya kulevya ,utekaji na mauaji ambayo wakati mwingine yanaweza yakawa si utekaji au mauaji ya kisiasa nk.
Kiongozi imara na mwenye maono na taifa lake, kamwe hato kubali mitego au ushawishi wowote au kwa namna yeyote ile kuifungamanisha serikali yake na matajiri na wafanyabiashara, bali serikali itasimama kama serikali na itatekeleza majukumu yake yote kama serikali inayo jisimamia yenyewe.
Matokeo ya jambo hilo ni nchi kukithiri kwa Rushwa,ubadhirifu wa mali za umma,dili chafu , madawa ya kulevya ,utekaji na mauaji ambayo wakati mwingine yanaweza yakawa si utekaji au mauaji ya kisiasa nk.
Kiongozi imara na mwenye maono na taifa lake, kamwe hato kubali mitego au ushawishi wowote au kwa namna yeyote ile kuifungamanisha serikali yake na matajiri na wafanyabiashara, bali serikali itasimama kama serikali na itatekeleza majukumu yake yote kama serikali inayo jisimamia yenyewe.