Ni kitu kibaya sana tena sana kuiweka serikali rehani kwa matajiri na wafanya biashara

KWa hiyo nini maoni yako ama unawaambiaje matajiri wa TZ kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025?
Shujaa Magufuli: Mzee Mengi huyu hapa aliniita 2015 na kutaka kunipa Fedha za kufanyia kampeni, nikamkatalia

Shujaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tutajie mfano wa nchi iliyoendelea lkn matajiri hawana nguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…