Ni kivumbi huko kigali rwanda yanga vs el merrikh & apr

Ni kivumbi huko kigali rwanda yanga vs el merrikh & apr

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Timu ya soka ya Yanga inakwenda kuandika Historia yake ndani ya jiji la Kigali Rwanda kunako michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika. Iko hivi siku ya kesho Jumamosi ya tarehe 16.9.2023 wageni Yanga watavaana na wenyeji wao El Merrikh katika kusaka nafasi ya kutinga hatua ya Makundi ya michuano hiyo, furaha itaendelea tena ndani ya jiji hilo lenye mvuto wa kipekee barani Afrika siku ya Jumapili ya tarehe 17.9.2023 pale ambapo Mchezaji wao kipenzi Fiston Mayele na Pyramid yake watawavaa washika mitutu wa nchi hiyo APR. Na hapa nikutonye tu kuna uwezekano mkubwa kwa Uongozi wa Yanga kuwanunulia tiketi maelfu ya Mashabiki wao waliojazana nchini humo kwenda kumshuhudia Mayele wao.

NA HII TUNAIITA NI YANGA DHIDI YA EL MERRIKH & APR
119004be58f04c57b3df6868f91920f3_369699105_18193148176278140_112420260198276671_n.jpg
e2dfc9165b024ec9bc82c5f14b4db6b5_369631811_18193148179278140_3605226312015954530_n.jpg
 
Mayele ana nyota ya timu zinazovaa jezi za kijani...

AS Vita -> Yanga -> Pyramids
 
Back
Top Bottom