mwichi
Member
- Dec 2, 2017
- 41
- 40
Kumbe unapatikanaga hapa!?Njoo huku Micasa ubungo! Hutojutia ila kwa sasa ni maombolezo so hamna kula bata ni mwendo wa gospel songs tu! Karibu ubarikiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unapatikanaga hapa!?Njoo huku Micasa ubungo! Hutojutia ila kwa sasa ni maombolezo so hamna kula bata ni mwendo wa gospel songs tu! Karibu ubarikiwe.
Yaanii😩Nahisi ziku 21 watazikata tu, ni nyingi sanaaa
SaanaaaaNdiyo mkuu! Ndiyo kiwanja chako pia nini?
Aisee huenda wale watu wote nnaowanaga pale wapo humu pia 😀😀 tunachorana tuSaanaaaa
😀😀😀😀😀.. ndio ivyo tuwe wapole, kipindi hiki mkuu wa mkoa kashasema. Vibe sasa hivi ni kundinyana na kupoza machungu ya msibaYaanii😩
Hata mimi nimeliona pia.Aisee huenda wale watu wote nnaowanaga pale wapo humu pia [emoji3][emoji3] tunachorana tu
Ndio hapo mkuu, error tu. Bata lake mwanana sanaSiyo kwamba ni Triple B. Hapo bata lake hatari sana.
Hiyo Triple C ipo Goba sehemu gani?
Bahati mbaya naishi nje ya dar kwa muda sasa ila nimewekeza Goba. Nikiwa likizo hapo Triple B ndio nakula faida ya kazi ya mikono yangu.Ndio hapo mkuu, error tu. Bata lake mwanana sana
Wenzio washaacha upumbavu huu hata raisi mwenyewe kasema tufute machoziBavicha pub, kipo kinondoni mtaa wa ufipa
🙉💘💘💘💘💔💔💔😭😭😭Aisee huenda wale watu wote nnaowanaga pale wapo humu pia 😀😀 tunachorana tu
Pale Safi sana mkuu. Hewa Safi, wahudumu wazuri na huduma pia standardBahati mbaya naishi nje ya dar kwa muda sasa ila nimewekeza Goba. Nikiwa likizo hapo Triple B ndio nakula faida ya kazi ya mikono yangu.
Njooni Ngao Pub and lounge Goba Mageti,Siyo kwamba ni Triple B. Hapo bata lake hatari sana.
Hiyo Triple C ipo Goba sehemu gani?
Au sio,..🤗😀😀😀😀😀.. ndio ivyo tuwe wapole, kipindi hiki mkuu wa mkoa kashasema. Vibe sasa hivi ni kundinyana na kupoza machungu ya msiba
Au nayo wamekataza 😒😒😒Au sio,..🤗
Wengine vikojoleo vyao havifanyi kazi mpaka magu azikwe...😔Au nayo wamekataza 😒😒😒
Mmh! Pole zao wajitahidi wapate hata kidogo kutibia misongo ya mawazo na moyo na flow ya damu ikae sawaWengine vikojoleo vyao havifanyi kazi mpaka magu azikwe...😔
Nataka nikufate bebe ndio wapi uko [emoji847]Njoo maji chumvi[emoji41]