secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Tripple B au Tripple c?Triple C goba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tripple B au Tripple c?Triple C goba
nitasubiri yapite matanga.Hamna band mkuu hadi maombolezo yaishe kama alivosema mkuu wa Mkoa. Ukija hapa ni slow music+gospel songs, unakula unakunywa unasepa kimya😛
Mwambie mshipa akuletee bebi wanguuNataka nikufate bebe ndio wapi uko [emoji847]
Yakiisha nishtue mkuu kama utakua haponitasubiri yapite matanga.
My babe why you crying 😍🙉💘💘💘💘💔💔💔😭😭😭
Nitakuja InshaAllah
AmbianceWakuu,
Baada ya kusikia kiwanja changu pendwa lachaaz kuungua moto, sasa nipo njia panda ni kiwanja kipi mbadala kwa maeneo ya sinza?
Nataraji kufika jijini, hapo awali sehemu niliyokuwa najiachia ni hapo La Chaaz
wanabodi nipeni mbadala
Hahaha we fika external tuu then nipigie nikufuate bebiiHahah mshipa anilete wa nini we nipe tu maelekezo
Halafu bebi ujue kwaresma hii sikusomi kabisa au haufungiHahaha we fika external tuu then nipigie nikufuate bebii
Wewe uko mjini unatafuna tu kuku na wine huko Micas si sijui! halafu mimi niko huku kijijini nakula tu ugali na ngogwe!!My babe why you crying 😍
😅😅Acha tuu bebii,.kufunga muhimu kwetu, london lounge ipo ila huwezi amini napapita tuu sijapagusa mwaka wa pili huu..Halafu bebi ujue kwaresma hii sikusomi kabisa au haufungi
Mitaa hio napajua London lounge hivi bado ipo au imekufa
Usijali love niko mikono salama ya wanaume wa Dar 😀😀😀 uwe na amani tu. Ntakuja huko tule wote huo ugali na ngogwe😀Wewe uko mjini unatafuna tu kuku na wine huko Micas si sijui! halafu mimi niko huku kijijini nakula tu ugali na ngogwe!!
Nikipata nauli nakufuata huko huko mjini! Wanaume wa Dar siwaamini kabisa!!!🤩🤩
Hahhaha nilijua haufungi bebi ebu siku nikuje pande hizo tukae hapo chumvini[emoji28][emoji28]Acha tuu bebii,.kufunga muhimu kwetu, london lounge ipo ila huwezi amini napapita tuu sijapagusa mwaka wa pili huu..
Woiiii nimependa hiyo chumvini mimi😂🤸Hahhaha nilijua haufungi bebi ebu siku nikuje pande hizo tukae hapo chumvini
Hamna band mkuu hadi maombolezo yaishe kama alivosema mkuu wa Mkoa. Ukija hapa ni slow music+gospel songs, unakula unakunywa unasepa kimya[emoji14]
Hahahahaha si ndio nikusoma panaitwa hivyo au nimekosea jinga sana weweWoiiii nimependa hiyo chumvini mimi[emoji23][emoji1732]
Maji chumvi jomonii,usitutie dhambini bebii kwaresma hii...😆Hahahahaha si ndio nikusoma panaitwa hivyo au nimekosea jinga sana wewe
Yes Club ipo ndani huko mkuu ukitaka kuruka majoka.karibuuHivi pana V.I.P au club pale?
Yes Club ipo ndani huko mkuu ukitaka kuruka majoka.karibuu