Ni kocha yupi atakua wa kwanza kuoneshwa mlango wa kutokea??

Ni kocha yupi atakua wa kwanza kuoneshwa mlango wa kutokea??

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Ligi kuu ya Uingereza Ndo iyo imezd kushika kasi,huku mashabiki wengne wakicheka,wengne huzuni tupuu wengne wakilia kabsaa ndo utamu wa ligi huo..

Jaapo ni mapema sanaa kulisema hili nalotaka kulisema ila wacha niliseme tuu kwani Waswahili wanasema Dalili za Mvua ni Mawingu au Biashara Mapema

Je kwa mtazamo wako jinsi unavyoifwatilia ligi Unahisi ni KOCHA GANI ATAKUA WA KWANZA KABISA KUONESHWA MLANGO WA KUTOKEA AU WASWAHILI WASEMA KIBARUA KUOTA NYASI/MAGUGU???

TUPE MAONI YAKO.
 
japo ni mapema kama unavyosema lkn kama mourinho hatabadili mfumo anaotumia sasahv wa kumuweka pogba 6 hlf felain 8 itamghalim
 
Naona Moyes naye naye tumpe muda kidogo...
 
Slaven Billic
Bilic msimu huu sijui vp naona anagawa point tuu na hakuna player yeyote kauza au ndo uchovu au zile timu za msimu mmoja,???
 
japo ni mapema kama unavyosema lkn kama mourinho hatabadili mfumo anaotumia sasahv wa kumuweka pogba 6 hlf felain 8 itamghalim
Mourinho ako na players wazuri sana ishu ni selection ya kikos game kama ya leo angeanza Carrick game haikua na Tempo kubwa Carrick anajua kupelekea timu mbele pasi nyingi za Fellaini ni back/Square passes ila Carrick anajua kuforce pass za mbele Carrick achape 6 Pogba akamate dimba la Juu...
 
Naona Frank de Boer Inter Milan kocha alikua kikaongoni ila leo kachomoa kamchampa Juve 2-1 Inter kapiga mpira mkubwa leo wakiendelea ivi ivi ule utamu wa ligi ya Italia utarudii
 
Naona Frank de Boer Inter Milan kocha alikua kikaongoni ila leo kachomoa kamchampa Juve 2-1 Inter kapiga mpira mkubwa leo wakiendelea ivi ivi ule utamu wa ligi ya Italia utarudii
De Boer anahitaji muda Inter wakimfukuza watakuwa wamechemka
 
Kwakweli manU ya mourinho itamaliza ya kumi
Tumpe muda Mourniho sidhani kama atakubali kumwaga Unga tena,I think bado anatafuta Combination ya timu.

Ila naye inabd awe na maamuzi magumu kama Guadiola kumpeleka Torino kwa mkopo Hart kama player anacheza chini ya kiwango weka pembeni..
 
De Boer anahitaji muda Inter wakimfukuza watakuwa wamechemka
Ya ni kocha mzuri kaibadilisha Inter sana...inter kapga mwingi sana uyo Icardi,Perisic,Mario,Miranda wamecheza vizuri sana leo

Ata kpnd yuko Ajax walikua vizuri
 
Ya ni kocha mzuri kaibadilisha Inter sana...inter kapga mwingi sana uyo Icardi,Perisic,Mario,Miranda wamecheza vizuri sana leo

Ata kpnd yuko PSV walikua vizuri
De Boer alikuwa Ajax,PSV inafundishwa na Philip Cocu
 
Shida ya Morinho hana couple players..! MU sasa hivi kila mchezaji anacheza kivyake kuwepo na couples za wachezaji ili Roon, Zilatan na pogba kila mtu anatafuta umaarufu.
 
Shida ya Morinho hana couple players..! MU sasa hivi kila mchezaji anacheza kivyake kuwepo na couples za wachezaji ili Roon, Zilatan na pogba kila mtu anatafuta umaarufu.
Kwa hilo Sidhani kaka mzee amekosa combination hakuna balance ya timu hasa eneo la viungo Fellaini ni box to box midfielder jamii ya Yaya toure akikutana na timu zinazopga pasi nyingi ni rahis kutoka mchezoni...mtu kama Pogba sawa kuna muda anakokota sana wakati wenzake wameshafungua vyumba ni makosa madogo yakurekebishika.
 
Back
Top Bottom