Ni kosa gani au kitu gani mpenzi wako akifanya lazima umpige chini hata kama unampenda kiasi gani?

Ni kosa gani au kitu gani mpenzi wako akifanya lazima umpige chini hata kama unampenda kiasi gani?

trojan92

Member
Joined
May 18, 2024
Posts
91
Reaction score
276
Wakuu habari....


Iko hivi nimelata hiyo maada hapa juu sababu naona huyu mwanamke ana kila dalili ya kutofaa/ sio wife material kabisa.

Mimi ndiye niliyemnunulia simu na kumfungulia hizi akaunti za social media kama instagram na Facebook. Sasa huwa sina tabia ya kushika simu yake sababu namwamini na sijawahi ona mashaka juu yake

Juzi nikawa sina dakika nikaomba simu yake nipige kwa rafiki yangu mmoja hivi, bahati mbaya ikaingia notification ya instagram katika kutaka kuswipe ipotee nikajikuta nimefungua. Kucheki inbox, huyu binti ni paka shume kabisa, yaani amewatumia message mastaa wengi wa kibongo kama bongo movie, wanamziki etc eti anawapenda na yupo tayari kuwapa hata haramu ndukum ili tu wampende....nilishangaa sana. Ukimuangalia alivyompole na sura ya unyenyekevu huwezi dhania yupo tayari kutoa haramu.

Nilikuwa kwenye hatua za kufunga ndoa maana mahali nimeshatoa. Kila nikimwangalia napata hasira. Sina amani tena nae hata kidogo. Nimefikiri na kuamua kupiga chini. Sifungi ndoa nae, she belongs to the streets.

Nafanya kazi kuhakikisha anapata kila kitu kumbe yeye yupo kuahidi watu ndukum, huyu demu hafai kabisa.

Oya nitakuwa nimezingua kumuacha?
Je ungekuwa wewe ungeamuaje sababu wahuni hawawezi muacha?
 
Wakuu habari....


Iko hivi nimelata hiyo maada hapa juu sababu naona huyu mwanamke ana kila dalili ya kutofaa/ sio wife material kabisa.

Mimi ndiye niliyemnunulia simu na kumfungulia hizi akaunti za social media kama instagram na Facebook. Sasa huwa sina tabia ya kushika simu yake sababu namwamini na sijawahi ona mashaka juu yake

Juzi nikawa sina dakika nikaomba simu yake nipige kwa rafiki yangu mmoja hivi, bahati mbaya ikaingia notification ya instagram katika kutaka kuswipe ipotee nikajikuta nimefungua. Kucheki inbox, huyu binti ni paka shume kabisa, yaani amewatumia message mastaa wengi wa kibongo kama bongo movie, wanamziki etc eti anawapenda na yupo tayari kuwapa hata haramu ndukum ili tu wampende....nilishangaa sana. Ukimuangalia alivyompole na sura ya unyenyekevu huwezi dhania yupo tayari kutoa haramu.

Nilikuwa kwenye hatua za kufunga ndoa maana mahali nimeshatoa. Kila nikimwangalia napata hasira. Sina amani tena nae hata kidogo. Nimefikiri na kuamua kupiga chini. Sifungi ndoa nae, she belongs to the streets.

Nafanya kazi kuhakikisha anapata kila kitu kumbe yeye yupo kuahidi watu ndukum, huyu demu hafai kabisa.

Oya nitakuwa nimezingua kumuacha?
Je ungekuwa wewe ungeamuaje sababu wahuni hawawezi muacha?
Demu akikutukana wewe, piga kibuti fasta
 
Demu wangu mmoja wa kimasai alikuwa ananipenda sna lkn nilivyokuta amem dm bakari nondo wa YANGA siku hyo hata game sikupiga
Bakari Nondo Mwamnyeto hata mimi ningemuacha.
 
Wakuu habari....


Iko hivi nimelata hiyo maada hapa juu sababu naona huyu mwanamke ana kila dalili ya kutofaa/ sio wife material kabisa.

Mimi ndiye niliyemnunulia simu na kumfungulia hizi akaunti za social media kama instagram na Facebook. Sasa huwa sina tabia ya kushika simu yake sababu namwamini na sijawahi ona mashaka juu yake

Juzi nikawa sina dakika nikaomba simu yake nipige kwa rafiki yangu mmoja hivi, bahati mbaya ikaingia notification ya instagram katika kutaka kuswipe ipotee nikajikuta nimefungua. Kucheki inbox, huyu binti ni paka shume kabisa, yaani amewatumia message mastaa wengi wa kibongo kama bongo movie, wanamziki etc eti anawapenda na yupo tayari kuwapa hata haramu ndukum ili tu wampende....nilishangaa sana. Ukimuangalia alivyompole na sura ya unyenyekevu huwezi dhania yupo tayari kutoa haramu.

Nilikuwa kwenye hatua za kufunga ndoa maana mahali nimeshatoa. Kila nikimwangalia napata hasira. Sina amani tena nae hata kidogo. Nimefikiri na kuamua kupiga chini. Sifungi ndoa nae, she belongs to the streets.

Nafanya kazi kuhakikisha anapata kila kitu kumbe yeye yupo kuahidi watu ndukum, huyu demu hafai kabisa.

Oya nitakuwa nimezingua kumuacha?
Je ungekuwa wewe ungeamuaje sababu wahuni hawawezi muacha?
Chai LGBTQI again at promotion.

Mnatunga uongo ili uwafaidishe nini?
 
Kuna **** majina anayotumia social media nilimtunga Mimi hatoacha kunikumbuka daima
 
Kaa nae mueleze sababu ya kuondoka. Lakini subiri hasira zipungue maana ukiondoka kwa hasira zikiisha utarudi.
 
Wakuu habari....


Iko hivi nimelata hiyo maada hapa juu sababu naona huyu mwanamke ana kila dalili ya kutofaa/ sio wife material kabisa.

Mimi ndiye niliyemnunulia simu na kumfungulia hizi akaunti za social media kama instagram na Facebook. Sasa huwa sina tabia ya kushika simu yake sababu namwamini na sijawahi ona mashaka juu yake

Juzi nikawa sina dakika nikaomba simu yake nipige kwa rafiki yangu mmoja hivi, bahati mbaya ikaingia notification ya instagram katika kutaka kuswipe ipotee nikajikuta nimefungua. Kucheki inbox, huyu binti ni paka shume kabisa, yaani amewatumia message mastaa wengi wa kibongo kama bongo movie, wanamziki etc eti anawapenda na yupo tayari kuwapa hata haramu ndukum ili tu wampende....nilishangaa sana. Ukimuangalia alivyompole na sura ya unyenyekevu huwezi dhania yupo tayari kutoa haramu.

Nilikuwa kwenye hatua za kufunga ndoa maana mahali nimeshatoa. Kila nikimwangalia napata hasira. Sina amani tena nae hata kidogo. Nimefikiri na kuamua kupiga chini. Sifungi ndoa nae, she belongs to the streets.

Nafanya kazi kuhakikisha anapata kila kitu kumbe yeye yupo kuahidi watu ndukum, huyu demu hafai kabisa.

Oya nitakuwa nimezingua kumuacha?
Je ungekuwa wewe ungeamuaje sababu wahuni hawawezi muacha?
Kamwe usije msamehe mwanamke malaya/mzinzi na mwanamke mchawi/mshirikina.
Hauitaji kikao wala ushauri kutoka kwa mtu yoyote.
 
Back
Top Bottom