tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Duh, mimi nimekubali matokeoHii kitu imemkumba pia rafiki yangu, ameamua kufumua upya ili apauwe tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, mimi nimekubali matokeoHii kitu imemkumba pia rafiki yangu, ameamua kufumua upya ili apauwe tena.
Ulitaka ujenge kubwa zaidi ya hiyo? Lakini inategemea mfuko wako upoje kwa wakati huwo.Kujenga nyumba ya vyumba viwili tu..
Kwa ubaya hakuna ubaya ila ni gharama tu!!!kwa mazingira ya Tanzania kutokuwa na uhakika wa maji 100 percent hakuna siku utaifurahia nyumba yako unless uwe na kisima kwamba maji nyumbani kwako ni permanently hayakosekani.Kila mtu amalize haja zake chumbani kwake,
Kuna ubaya
Hii imenikuta asee, hivi inawezekana kung'oa bati na kuzitumia tena?Kumuacha fundi afanye kazi ukiwa haupo. Aliniharibia design ya paa la nyumba.
Inawezekana mkuu. Ila baadhi ya matobo ya misumari itabidi uyazibe kwa kutumia siliconHii imenikuta asee, hivi inawezekana kung'oa bati na kuzitumia tena?
Madhara ya skwata hayaWatu wa namna hiyo huwa wachawi. Na mimi Kuna mmoja nakabiliana nae site moja hivi ila nilishamuueleza na ndugu zake kuwa Mimi ni kiboko ya wajinga km wao. Haiwezekani umuuzie mtu kiwanja na kumuonesha njia atakayokuwa anapita, then ghafla kwa sababu ya wivu na ushirikina wako baadae unaziba njia.
Kuuza site/nyumba kwa sababu za wajinga km hao ni uzembe. Mimi Sina mpango wa kuishi hapo leo wala kesho ila muda ukifika watanielewa tu. Mwakani tu nitaenda kuwaonesha show ya kiutu uzima.
Huwezi kuishi kwa kumuogopa mwanadamu mwenzio, na bahati mbaya tu nipo mbali ningewanyoosha.
Kwa nini usiweke tank la kuhifadhia maji?Kwa ubaya hakuna ubaya ila ni gharama tu!!!kwa mazingira ya Tanzania kutokuwa na uhakika wa maji 100 percent hakuna siku utaifurahia nyumba yako unless uwe na kisima kwamba maji nyumbani kwako ni permanently hayakosekani.
Mimi nina vyoo viwili ndani na bafu ila changamoto ya maji hata hicho cha master sikitumii zaidi ya kuoga ilibidi kujenga vyoo vingine nje ambapo nayo kwangu ilikuwa ni best plan.
Eeeh ndiwooo[emoji1787][emoji1787]@witnessj Uko makini sana kwenye huu uzi... yamekukuta?
Unarudiaje mkuu, bati mpya au unatoa zile zilizopo then wanarekebisha afu unarudisha zile zile?Imetokea kwangu pia anafany nirudie upya bati
ChembaEeeh ndiwooo[emoji1787][emoji1787]
Nistue basi nimekuta missed call
Ni kweli,, vyoo vya ndani bila maji yakutosha ni mtihani [emoji846]Kwa ubaya hakuna ubaya ila ni gharama tu!!!kwa mazingira ya Tanzania kutokuwa na uhakika wa maji 100 percent hakuna siku utaifurahia nyumba yako unless uwe na kisima kwamba maji nyumbani kwako ni permanently hayakosekani.
Mimi nina vyoo viwili ndani na bafu ila changamoto ya maji hata hicho cha master sikitumii zaidi ya kuoga ilibidi kujenga vyoo vingine nje ambapo nayo kwangu ilikuwa ni best plan.
Ukiwa na familia mkuu tank hata uwe nazo tatu bado utaziona kama ndoo nne,nina tank mbili moja 2000ltr na lingine 4000ltr na kisima cha kuvunia maji ya mvua ila hayo maji kwa matumizi ya kawaida ya familia kufua nguo za watoto na wote ni wadogo hawajaosha vyombo kufua nguo za wakubwa yasipotumika kwa akili hayakai mwezi.Kwa nini usiweke tank la kuhifadhia maji?
Duh pole aiseeUkiwa na familia mkuu tank hata uwe nazo tatu bado utaziona kama ndoo nne tu,nina tank mbili moja 2000ltr na lingine 4000ltr na kisima cha kuvunia maji ya mvua ila hayo maji kwa matumizi ya kufua nguo za watoto na wote ni wadogo hawajaosha vyombo kufua nguo za wakubwa yasipotumika kwa akili hayakai mwezi.
Naishi Mbezi huko maji Dawasa engineer wanafungua siku wanazotaka wao so yanayopatikana kidogo yasipotumika kwa akili itanitoka siyo chini ya 120K per month budget ya maji tu.
Ha ha haaa. Huyo fundi sio.Ilibakia kidogo niingie huu msala. Fundi alinitamanisha Kwa kuwa tofali za msingi zillingia nyingi sana so Kwa ndani chooni kulikuwa na shimo kubwa
Shida inakuwa sio plumber mara nyingi wapiga plasta ndio uchokonoa mabomba awajaliKuajiri plumber uchwara. Kuta maji yanavuja rangi imebanduka sana
Pole mkuu,, kilikupata kipi [emoji848]Kununua kiwanja karibu na mhaya
Ni maeneo yasiyopimwa bila shaka, kama maeneo yamepimwa njia zipo ni sheria, unanunua tu plot, habari ya njia utaiona ktk ramani ya blockNilichofanya sasa hivi nimenunua kiwanja hadi na njia ya kunipeleka main road...
haikua njia nimenunua in terms ya viwanja vya 5 kwa 10, nikaenda mbele tena nkakuta 5 kwa 15 nikaenda hvyo hvyo hadi cha kule mbele kilikua na 10 kwa 12 ... vyote hvyo si vya kujenga kitu ila n njia yangu ya kupita na kutoka na gari, Hajengi KIMA yoyote wala otesha mti nyau yoyote yule.
na hamna anaejua nmevnunua viwe njia wote wanajua n viwanja ntakuja jenga mabanda ya kuku.
Vijana wanaoishi "apartments" hujifanya wa mbele sana ki lifestyle. Ila atarudishwa tu mstarini maisha halisi atakapoyaanza.Huyo jamaa sijui anaeongelea Maisha ya wabongo au Maisha ya kwenye movies?
Hizi Dryer,Washer,Pump,Oven za kutumia solar ili iweje?