Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Kila mtu amalize haja zake chumbani kwake,
Kuna ubaya
Kwa ubaya hakuna ubaya ila ni gharama tu!!!kwa mazingira ya Tanzania kutokuwa na uhakika wa maji 100 percent hakuna siku utaifurahia nyumba yako unless uwe na kisima kwamba maji nyumbani kwako ni permanently hayakosekani.

Mimi nina vyoo viwili ndani na bafu ila changamoto ya maji hata hicho cha master sikitumii zaidi ya kuoga ilibidi kujenga vyoo vingine nje ambapo nayo kwangu ilikuwa ni best plan.
 
Watu wa namna hiyo huwa wachawi. Na mimi Kuna mmoja nakabiliana nae site moja hivi ila nilishamuueleza na ndugu zake kuwa Mimi ni kiboko ya wajinga km wao. Haiwezekani umuuzie mtu kiwanja na kumuonesha njia atakayokuwa anapita, then ghafla kwa sababu ya wivu na ushirikina wako baadae unaziba njia.

Kuuza site/nyumba kwa sababu za wajinga km hao ni uzembe. Mimi Sina mpango wa kuishi hapo leo wala kesho ila muda ukifika watanielewa tu. Mwakani tu nitaenda kuwaonesha show ya kiutu uzima.

Huwezi kuishi kwa kumuogopa mwanadamu mwenzio, na bahati mbaya tu nipo mbali ningewanyoosha.
Madhara ya skwata haya
 
Kwa ubaya hakuna ubaya ila ni gharama tu!!!kwa mazingira ya Tanzania kutokuwa na uhakika wa maji 100 percent hakuna siku utaifurahia nyumba yako unless uwe na kisima kwamba maji nyumbani kwako ni permanently hayakosekani.

Mimi nina vyoo viwili ndani na bafu ila changamoto ya maji hata hicho cha master sikitumii zaidi ya kuoga ilibidi kujenga vyoo vingine nje ambapo nayo kwangu ilikuwa ni best plan.
Kwa nini usiweke tank la kuhifadhia maji?
 
Kwa ubaya hakuna ubaya ila ni gharama tu!!!kwa mazingira ya Tanzania kutokuwa na uhakika wa maji 100 percent hakuna siku utaifurahia nyumba yako unless uwe na kisima kwamba maji nyumbani kwako ni permanently hayakosekani.

Mimi nina vyoo viwili ndani na bafu ila changamoto ya maji hata hicho cha master sikitumii zaidi ya kuoga ilibidi kujenga vyoo vingine nje ambapo nayo kwangu ilikuwa ni best plan.
Ni kweli,, vyoo vya ndani bila maji yakutosha ni mtihani [emoji846]
 
Kwa nini usiweke tank la kuhifadhia maji?
Ukiwa na familia mkuu tank hata uwe nazo tatu bado utaziona kama ndoo nne,nina tank mbili moja 2000ltr na lingine 4000ltr na kisima cha kuvunia maji ya mvua ila hayo maji kwa matumizi ya kawaida ya familia kufua nguo za watoto na wote ni wadogo hawajaosha vyombo kufua nguo za wakubwa yasipotumika kwa akili hayakai mwezi.

Naishi Mbezi huko maji Dawasa engineer wanafungua siku wanazotaka wao so yanayopatikana kidogo yasipotumika kwa akili itanitoka siyo chini ya 120K per month budget ya maji tu.
 
Ukiwa na familia mkuu tank hata uwe nazo tatu bado utaziona kama ndoo nne tu,nina tank mbili moja 2000ltr na lingine 4000ltr na kisima cha kuvunia maji ya mvua ila hayo maji kwa matumizi ya kufua nguo za watoto na wote ni wadogo hawajaosha vyombo kufua nguo za wakubwa yasipotumika kwa akili hayakai mwezi.

Naishi Mbezi huko maji Dawasa engineer wanafungua siku wanazotaka wao so yanayopatikana kidogo yasipotumika kwa akili itanitoka siyo chini ya 120K per month budget ya maji tu.
Duh pole aisee
 
Nilichofanya sasa hivi nimenunua kiwanja hadi na njia ya kunipeleka main road...

haikua njia nimenunua in terms ya viwanja vya 5 kwa 10, nikaenda mbele tena nkakuta 5 kwa 15 nikaenda hvyo hvyo hadi cha kule mbele kilikua na 10 kwa 12 ... vyote hvyo si vya kujenga kitu ila n njia yangu ya kupita na kutoka na gari, Hajengi KIMA yoyote wala otesha mti nyau yoyote yule.

na hamna anaejua nmevnunua viwe njia wote wanajua n viwanja ntakuja jenga mabanda ya kuku.
Ni maeneo yasiyopimwa bila shaka, kama maeneo yamepimwa njia zipo ni sheria, unanunua tu plot, habari ya njia utaiona ktk ramani ya block
 
Back
Top Bottom