We Mnyiramba vipi unataka tujenge nyumba kama mabada ya njiwa aisee 😁Haya nyumba hii hapa 83 SQm ,ni matumizi mabaya sana ya akili na pesa kujenga nyumba ya vyumba 3 kwa SQM 150 ama 200 ni poor mind!,mwisho wa siku unatumia gharama kubwa pesa ambayo ilitakiwa uwekeze sehemu nyingine![emoji276],ni maaajabu sana tena sana kwa mtu mwenye kipato cha kati kujenga nyumba ya SQM 150 yenye vyumba 3,kuanzia SQM 150 kuendelea hiyo ni Guest house View attachment 2468926
Tatizo kubwa tunalofeli watanzania ni upangiliaji wa vitu,sasa mtu unakuta kijiko chumbani ama jembe sebuleni linafanya nini!,jenga nyumba ndogo pangilia vitu vizuri utaondoa fikra za kujenga magodauni kwa kudhani ni nyumba
Tunasaidia mbinu za kupunguza mapagale mjini [emoji28]kujenga nyumba miaka 7 hapana aisee!,hadi unaamia ni huzuni
DaaahMaji yanatoka kama mkojo ,pipa litajaa saa ngapi, alafu dawsco wana mtindo wakufungulia upepo badala ya maji , hiki kitendo kinapelekea bill kuja mpaka 70k, kwa mwezi,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo kila chumba kinatakiwa kiwe na ukubwa wa hatua ngapi?
Hadi sebule?Mita 3 kwa 3 kiongozi
We Mnyiramba vipi unataka tujenge nyumba kama mabada ya njiwa aisee [emoji16]
Pole sana mkuuKujenga nikiamini njia ipo kumbe ni sehemu ya mpemba na kashaziba sasa hivi njia tuliyo nayo ni boda boda tu
Nasikitika
Uko kama mimi ...yaan sipendi nyumba iwe na vyumba vidogoSiriazi vyumba vitatu sqm 76!! Hapo sasa utakua umejenga nini!!,Hio nyumba itakua haina hewa kabisa na imebanana kila kona.standard vyumba vitatu ni sqm 150 ikiwa spacious inafika 200sqm,hii inaitwa medium size house.
Lakini kila mtu ana mapenzi yake ,kiukweli sipend nyumba yenye vyumba vidogo sana hii ni kutokana na nyumba niliyokulia kwa wazee,kipind hicho nipo form 6 naona kabisa chumba ni kidogo hakina hewa vitu vimebanana nikawa najisemea ikitokea nimefanikiwa kujenga yangu huko badae ntaongeza kidogo ukubwa.ila sio mita 5 hizo ni nyingi labda kwa masta.
Asikuambie mtu kuna raha ya kulala kwenye chumba kikubwa chenye hewa .
Pole mkuuKujenga nikiamini njia ipo kumbe ni sehemu ya mpemba na kashaziba sasa hivi njia tuliyo nayo ni boda boda tu
Nasikitika
Hadi sebule?
Yeah ni wazo zuri mkuuKama unauwezo wa kujenga nyumba ya ghorofa 1 mfano, uwe na master bedrooms mbili. Moja juu na moja chini.
Ukizeeka au kupata changamoto ya kiafya una hamia master bedroom ya chini.
Duh pole mkuuNa ndugu ya ni businessman aliweka lift Kwa sababu ni Mzee, lakini kabla hajakamilika aka rest in peace
Sebule kubwa ina raha yake ila tu isiwe kubwa sanaa iwe wastan yenye nafasiKwahiyo sebule unataka iwe mita kumi utakuwa unafuga mbuzi sebuleni ama unafanya mikutano ya kuunga mkono hoja?[emoji851],sebule iwe kubwa kwa matumizi yapi?
Mada nzuri sana! Sisi juniors tunachukua notesHabari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Kwa kweli sio jambo la kitoto. Ni kwamba unajenga nyumba mbili kwa wakati mmoja, na kipato chenyewe cha kuunga unga. Mpaka sasa sijapaua, ila nimeshahamia nakaa kwenye andagraundi, japo jasho linanitoka sana kumaliza jengo.Kujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!