Mkalimani wa Bibi
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 801
- 3,143
Mojawapo ya makosa niliofanya
1. Vyumba vya kulala vidogo (3*3.5m)
2. Fundi wa kupaua kaharibu paaa
Unaweza kufunga fan za ukutani mkuu, kuna options za feni nzuri tu na ukapata fundi mzuri akakuelekeza jinsi ya kuzifunga, bado muonekano wa nyumba utakuwa poa tu.Nimejenga underground iliyofanywa na fundi wa mtaani (local fundi), wakati wa kumwaga slab, kwenye wiring map ya umeme hawakuweka zile hook za feni (pangaboi), sasa baada ya kumiminwa slab juu hakuna mahali pa kufunga feni au la niweke mbao za dari ili nipate mbao ya kufungia hook, kitu ambacho ni hasara, maana nitakuwa na slab na bado nimeweka dari.
Ninalazimia kutumia feni za kusimama ambazo sizipendi na zinaleta ghasia tu, sijui kama inawezekana kudrill ili tuweke hook ya feni ili nifunge pangaboi.
Kila siku zinakuja design mpya ungejenga mwaka gani sasa? 😂Najuta kuwahi kujenga. Nilijenga nyumba yangu five years ago ilikua ni nyumba kali mtaani hapa sasa wamekuja vijana wamejenga vijumba vyao vya kawaida lkn well designed mpaka nyumba yangu inaonekana ya kishamba sana. Natamani nibomoe nijenge tena nikifikiria gharama naishia kuacha tu 🤨
Kwani ramani hukuiona na vipimo vya vyumba?Kuna makosa kadhaa niliyafanya
1.Nilimuamini chalii mmoja kosa tu kasomea civil engeering nikq mtrust anichoree ramani kisha nikasafiri nje kidogo then nikawa tuma pesa ijengwe sikiwa na shaka coz aliye chora si ni engineer aisee niliporejea Bongo kuitazama lile boma yaan siku rizishwa nalo mosi vyuma vilikiwa vodogo, choo na bafu humo humo
Aisee sitokuja tena kumpa ndugu kazi ya ku deaign ramani au yoyote ile ya kuhusiana na ujenzi ata kama awe amesomea MIT, Oxford, ata Havard
Hii dunia kuna viumbe wa ajabu sanaNilivyo uziwa sikua nagari.nikajenga nikamaliza nanjia yakuingilia nakutokea ilikuwepo kwasababu wakati waujenzi gari yavifaa ilikuwa inaingia Hadi site.sasa nimehamia nikakaa miezi6 nikanunua gari Alie niuzia tukaanza mgogoro mara apande miti sehemu ninayo pita mara aanzishe biashara yatofari sehemu ninayo pita kiasi chakubakisha kichochoro chawapita kwamiguu.nikampeleka kwamjumbe akaambiwa angoe miti yake akingoa sikuchache ana panda tena.nikaona Bora niuze nikajenga sehem salama yenye majirani wanao jielewa sio yule chawivu anaetamani kilamtu atembee kwamguu
Ikiwezekana na estimation ya kujenga nyumba ya design hii kiwanja kikiwepo tayari so ni gharama za ujenzi tu mpaka nyumba kukamilikaWakuu na Mimi naomba Mwenye ramani ya vyumba vitatu
Vyote viwe na vyoo ndani,
Na jiko,
Anitumie PM
Naomba mawazo pia ili nisije kufanya makosa
Wanataka kuniharibia uzi wangu,, wanataka watu wapoteze interest na uzi wakati nautabiria kufikisha comments 1k+ [emoji846]Uzi umevamiwa na madalali kwa kasi ya 5G[emoji276]
Aisee hii mpaka leo najuta na sijarudi kweye mstali mpaka leo, kiwanja kile nimekinunua kama mala tatu zaidiKununua kiwanja/ nyumba bila kupeleleza historia yake.
[emoji23]Kuna ndugu alinunua eneo la familia aliuziwa na mama mwenye eneo ... mama hakushirikisha binti zake... Kitendo cha kuanza kujenga tu ndugu hao,mara kwa mtendaji mara kwa wazee wa eneo husika.....kijana akaenda kwao akawaleta wazee wa kwao yani wazee hata kutembea hawawezi.... Mama akaulizwa eneo la nani...akajibu lake mwenyewe na kaliuza kwa ridhaa yake...wazee wa hapo na mabinti wakaulizwa nyie kipingamizi chenu ni nini? Mabinti wakadai eti ni urithi wao...wale wazee wakawambia hayo malizaneni wenyewe.....Wazee wakaacha onyo....wao wanaondoka na kijana wao anaendelea kujenga, mkimsumbua mtakuwa mnafanya Kazi ya kuuguza na kuzika mpaka muishe wote.....kwanzia hapo kijana alipata ushirikiano mpaka kwa mtendaji...kila hatua walikuwa wanakuja kuangalia anaendeleaje.
Mkuu tafuta hooked anchor bolts inaweza kuwa mbadala na suluhisho la changamoto yakoNimejenga underground iliyofanywa na fundi wa mtaani (local fundi), wakati wa kumwaga slab, kwenye wiring map ya umeme hawakuweka zile hook za feni (pangaboi), sasa baada ya kumiminwa slab juu hakuna mahali pa kufunga feni au la niweke mbao za dari ili nipate mbao ya kufungia hook, kitu ambacho ni hasara, maana nitakuwa na slab na bado nimeweka dari.
Ninalazimia kutumia feni za kusimama ambazo sizipendi na zinaleta ghasia tu, sijui kama inawezekana kudrill ili tuweke hook ya feni ili nifunge pangaboi.
Ilikuwaje hadi ukakinunua kiwanja kimoja mara tatu mkuu?[emoji848]Aisee hii mpaka leo najuta na sijarudi kweye mstali mpaka leo, kiwanja kile nimekinunua kama mala tatu zaidi
Visima vingi maji yake machafu sanaHapo mzee ni hatari zaidi! Lazima contamination itatokea
Tatizo si kuwahibali ukijenga nyumba mbayaNajuta kuwahi kujenga. Nilijenga nyumba yangu five years ago ilikua ni nyumba kali mtaani hapa sasa wamekuja vijana wamejenga vijumba vyao vya kawaida lkn well designed mpaka nyumba yangu inaonekana ya kishamba sana. Natamani nibomoe nijenge tena nikifikiria gharama naishia kuacha tu [emoji2955]
Vyumba vikubwa afu havina cha maanaUnapojenga zingatia vipimo SQM ni lazima upange ziwe ngapi kwenye nyumba nzima!,sasa mtu anaweza akajenga nyumba ya vyumba vitatu tu lakini ina SQM 150 sasa unajiuliza huyu mtu ametoka kwenye hospital ya vichaa ama vipi![emoji276]wakati unaweza ukajenga nyumba ya vyumba vitatu kwa Sqm zisizozidi 76,hivi unapojenga chumba kimoja mita 5 unataka tuzo ama vipi?
Kila siku nasema nyumba kubwa ina faida sana kuwatajirisha wauza vifaa vya ujenzi kuliko mwenye nyumba