Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Mkuu soma tena andiko langu, kwa kifupi hata ramani sikuwa nayo nilicholewa na Fundi mchundo tu harakaharaka alipofika site. Nilikataa gharama za mchora ramani 350K kumbe ndio naingia kwenye gharama kubwa zaidi.
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole Mkuu
 
[emoji28]

Wewe ulitoa mpya bila Raman tena
Halafu akaanza tu ghafla
Yaani hela anayo mkononi,kila kitu anacho
Anataka kujenga na ramani hana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hakuwahi hata tamani ya mtu akapaste,akamuachia mwamba achorechore
Na ujenzi fasta ukaanza[emoji1787][emoji1787]

Kujenga bila plan ni kazi jamani,
Kuna ndugu yangu Kila mwaka anafanya marekebisho
Ukienda kesho utakuta amebadili mlango ameweka huku
Ukienda Tena mara amebadili sebule
Mara amekata vyumba
Yaani hekaheka kama zote.
 
Kampuni wanachokifanya ni kutafuta mafundi wazuri tu, kwanini usitafute mafundi wazuri wewe mwenyewe badala ya kulipa kampuni kukutafutia fundi.
Kampuni wanatumia mafundi hawa hawa, wao wanasimamia standards tu.

Ujue hata wajenzi huchangia, mtu anatumia kokoto kubwa sana, hatumii vibrator ili aggregates zikae vizuri.

Mafundi wazuri wapo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nyumba ikiwa ndefu si ndo vizuri au?
 
Kuamini mtu (msimamizi) wa karibu aliyekuwa anasimamia nyumba ilinigharimu wakati wa kutaka kuhamia .kumbe nyumba ilikuwa inavuja kama kuku aliyekatwa kichwa .Hakuwahi kunieleza mapema mbaya zaidi fundi amerekebisha mpaka kaamua kuniblock
 

Attachments

  • IMG_20230323_035144_884.jpg
    327.1 KB · Views: 99
  • IMG_20230323_035039_806.jpg
    223.7 KB · Views: 99
Umempa hesabu nzuri sana, ukijumlisha na muda unakuwa umepotea mazima, sasa ivi tofari ya mashine ya umeme ni elf moja mpaka kwako na unachagua kila mpigaji kwa ubora unaotaka, kupiga mwenyewe ni hasara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…