Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?


Unatakiw ununue sehem ambay imekatw viwanja vya sqr 500 au 700 mpaka 1000 sehem amabyo vipo ving au labd vi3 au vi4 we unanua kimoja wapo hapo huwez kupata mswahili apo maan bei itakuw kubwa . Kw mfano Mimi KIGAMBONI Dege nimenunua square meter 700 katikat pembn Yang wakaja washia tupu mmoj mtumishi WA Bandar anashusha mjeng WA maan
 

Tupo pamoja hapo dege, soon naanza kushusha contemporary yangu
 
Mimi nimejenga nipo karibu kuhamia ila mbele yangu kuna mtu na sijui atakuja kujenga nin lakini barabara ya kuingia kwangu ipo nilinunua hatua kadhaa ila nimepata wazo la kupageuza kuwa hostel ya wanachuo maana nipo karibu na chuo na soko la vyumba ni kubwa hali kadhalika nina mawazo pia ya kupageuza lodge ili nikajenge pengine maana nimeshanunua kiwanja kingine kimepimwa fresh na vinauzwa na halmashauri
 
Hiki ndicho fundi amenifanyia. Kaweka papi za fito mbalimbali na matokeo yake bati zinaonekana kama hazijapigiliwa misumali hasa pale zinapoungana.

Jamani kama kuna mtaalam humu wa kuzibananisha zikae sawa ani PM
 

Attachments

  • IMG_20231118_080237.jpg
    35.3 KB · Views: 59
Hiki ndicho fundi amenifanyia. Kaweka papi za fito mbalimbali na matokeo yake bati zinaonekana kama hazijapigiliwa misumali hasa pale zinapoungana.

Jamani kama kuna mtaalam humu wa kuzibananisha zikae sawa ani PM
Pole sn
 
Hiki ndicho fundi amenifanyia. Kaweka papi za fito mbalimbali na matokeo yake bati zinaonekana kama hazijapigiliwa misumali hasa pale zinapoungana.

Jamani kama kuna mtaalam humu wa kuzibananisha zikae sawa ani PM
Duh....pole aisee
 
ningekua mimi angekubali show haki ya nani
 

Kheri ulijiongeza[emoji122]
 
Kupeana kazi za ufundi kwa kujuana kulinidharimu, ujenzi wa nyumba yangu ya kwanza nilinunua kiwanja cha sq 400, nikampa kazi mshkaji wangu ya kuchora ramani tukaenda site kuchukua vipimo pamoja na kuangalia geographia ya eneo, nilipata ramani ndani ya muda tena nzuri sana. Ishu ikaja kwenye msingi, nilipewa fundi na wife ambaye alikuwa amepanga kwao. Fundi alifanya makosa kwenye vipimo vya nyumba, kwanza sebule ilikuwa ndogo kulingana na vipimo halisi, pili nyumba ilitoka imepinda. Yule Mzee nikamnyang'anya kazi nikatafuta fundi mwingine ikabidi niingie gharama ya kuweka zege upande mmoja wa msingi ili nyumba ikae sawa. Ila nyumba haikuwa na uhalisia wa vipimo kati ya ramani na nyumba halisi
 
Kwamba huyo professional ndo anajenga?

Hujui hao huwa kazi yao kushika makaratasi tu?
Wasichokielewa wengi ni kwamba hao wataalamu mnaowasema hawana utaalamu wowote kuwazidi mafundi wapo mafundi wameenda shule wamepoteza miaka 5 au 3 utamuambia nini na yuko practical zaidi mainjinia wengi hawawezi na hawajui kazi ni makaratasi tu injinia mwenyewe anamtegemea fundi kufanya hesabu na ujenzi kiufupi ni amubane fundi yeye afanikiwe

Msiwadharau mafundi ila Mara nyng maboss ndio wanaosababisha nyumba kujengwa chini ya kiwango kumminya fundi unatoa hela ya material labda million 14 halafu hela ya ufundi laki 8 au million upaua nyumba kwa bati la kigae/versatile halafu hela kiduchu kwa ushauri wa paa nitafute inbox kukufanyia kazi ni ngumu kwani nabanwa Sana na muajiri Wang muda sipati na sipendi kuacha mafundi saiti wakaharibu kazi ya mteja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…