ABILITY_INK
Member
- Jul 26, 2022
- 10
- 30
Funguka.
Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?
Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hujataja kosa wewe ulio fanya kwanza, wataka wengine wakutajieFunguka.
Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?
Teh teh teh teeeeeh!Kuwa na wivu, haitokaa itokee tena.
This is a very primitive way of thinking.Kuishi na mwanamke wa kichaga. Nilijuta na hawana nidhamu hata kidogo na ujuwaji mwingi.
Dipresheniiiiiii😂Teh teh teh teeeeeh!
Na akilala kitandani humpelekeshi. Cjui unyanyue mguu wake, utaambulia kujichekeshakuingia kwenye mahusiano na mdada mnene!, akikasirika anakupiga kama mwanae.. lile halikuwa penzi lilikuwa ni husiano la kunifundisha adabu ya kwamba asiefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu!.
🤣🤣🤣🤣🤣Dipresheniiiiiii😂
Ukiona hivyo ujue tayari huku
Hiyo kitambo wahenga wanasema mavitu yakale hayanuki🤣🤣🤣🤣🤣
Kukutwa kwa bwana dipresheni!
Baado sana🤣🤣Hiyo kitambo wahenga wanasema mavitu yakale hayanuki