Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

Ni kosa gani umewahi kulifanya kwenye Mahusiano/Ndoa na umeapa kutorudia tena?

kuingia kwenye mahusiano na mdada mnene!, akikasirika anakupiga kama mwanae.. lile halikuwa penzi lilikuwa ni husiano la kunifundisha adabu ya kwamba asiefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu!.
😂😂😂
 
Back
Top Bottom