Jamani tupende ukweli kila mmoja anapenda timu yetu ishinde kabisa lakini tunacheza na timu iliyomkosakosa ujerumani(bingwa) kuingia nusu final. Hata Kwa mchezaji mmoja mmoja wenzetu wanacheza uefa champ & cup tukishinda mpira unadunda asee.. Na algeria wako 11 na sisi 11 na mpira matokeo 3 yanaweza kuondoka kwa yoyote
Wanafukuzwa watu wa maana hapa nchini tunaambiwa sio Watanzania huku hizi screpa zikitoa maoni machafu mitandaoni.
Ningebahatika kuwa jirani yako nisingekuwa na haja ya kwenda kutafuta changudoa, maana kwa sura na haiba yangu ipo siku ungenipa mkeo nikusaidie kumpa ujauzito kwa kuwa wewe sura yako sio nzuri
Huyu jamaa anatakiwa kuhama nchi
Ama kweli nimeamini kuna watu na viatu
sasa wewe mleta mada ni mmoja wao.
Huyo ndiyo haswa mpinzani wa Tanzania.
Umenihakikishia kuwa wewe ni ukawa.
Kwakweli nikikumbuka jinsi hawa Algeria walivyoikamata German kombe la dunia lililopita..nakata tamaa nasema haiwezekani..
sisi tuache porojo tujipange 2022..akina Samata na Ulimwengu hawatoshi kutuvusha hii sio siasa..
Du! Huyu nae mtanzania mwenzetu kweli?