Ni kosa kubwa mno mwanaume kukiri kosa la usaliti kwa mkeo

Ni kosa kubwa mno mwanaume kukiri kosa la usaliti kwa mkeo

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
358
Reaction score
1,887
Wanaume wenzangu nasisitiza iwe jua au mvua usiku au mchana iwe bara au visiwani usijaribu kukiri kosa la uchepukaji kwa mkeo hata siku moja.

Eti anakuta tu sms kwenye simu yako unakiri kweli umechepuka mwanaume wa wapi wewe kukiri kwako kunamthibitishia na kunampa uhalali wa yeye kuchepuka ili kulipiza kisasi, Hawa viumbe ni wa sayari nyingine aisee. Mimi labda anikute kifuani mwa mtu hapo no way out lakini hivi hivi no.

Fanya hivi mheshimu mkeo futa sms zoote za mchepuko before hujafika nyumbani daily usibebe ushahidi nyumbani kuwa na akili wewe mfanye mkeo akuamini kuliko binadamu yoyote duniani, tafuta mchepuko wenye akili masaa yote ujue ukiwa nyumbani anatakiwa aweje ukiwa nje ya home aweje pia usitembee na mwanamke yeyote aliekaribu na mkeo either kazini kwake au nyumbani jirani yenu hii itampa heshima mkeo.

Always amini mkeo ni bora kuliko mwanamke yeyote regardless ana mapungufu kiasi gani wewe ndio uliomchagua nawasilisha.

1629188704764.png
 
Msaliti ni Yuda. Nakiri kosa kwa usaliti upi? Nimeenda kugegeda huko nje ndio usaliti? Usaliti ni kuikana imana.

Mimi sija kana Imani, ila nilifuata tu maji ya upako, keki na mafuta kwa Mwamposa vitu ambavyo sipati kanisani kwangu.

Wengine bila kwenda kwenye Ile njia ya mbele kidogo kwa Mama Kibonge, kabla hujavuka mto wa kwenda Mwanagati, wanakuwa hawapati kabisa raha ya maisha.

Halafu adventure Kama hizo unamshirikishaje mtoto wa watu umemtoa Nyambitilwa huko Usukumani?
 
Unamzungumziaje mwanamke aliecheat na kuamua kukuambia ili aonyeshe kuwa amekuwa na guilty moyon, je na huyo anatakiwa kusamehewa?
 
Unamzungumziaje mwanamke aliecheat na kuamuq kukuqmbiq ili aonyesh kuwa amekuwa na guilty moyon,je na huyo anatakiwa kusamehewa?
Msamehe tu hamna kinachobadilika.
 
Hata kama amekukuta chumbani juu ya kitanda unachepuka, achilia mbali kukuta sms. Usikiri, wewe Kataa Kosa!!! Kataa Kosa!!! Kataa Kosa!!!

Takwimu zinasema mwanamke ni mgumu kumsamehe mwanaume anaekiri kuchepuka, na hulipiza kisasi.
 
Hata kama amekukuta chumbani juu ya kitanda unachepuka, achilia mbali kukuta sms. Usikiri, wewe Kataa Kosa!!! Kataa Kosa!!! Kataa Kosa!!!
Kataa na jina lako pia. Kataa na jinsia yako, yaani unakataa kila kitu Kama Gwajima.
1. Aliukataa Ukristo akajiita sheikh Rashid huku akiendelea na Ukristo.

2. Alikuwa CHADEMA, Hadi akampeleka LOWASSA, mwisho wa siku akaikana kimanga.

Huyu jamaa ni noma zaidi ya noma, alipiga kichupa matata, kikavuja mtandaoni, akakiruka. Eti yule Gwaji Boy wa kichupani sio yeye, yule NI baunsa.....

TUSIACHE KURUKA KESI ZINAZOTUKABILI
 
My most beautiful darling, Msweet, habu lala mamaaa, hizi insomnia tuachia ambao tume dedicate maisha yetu kwa ajili ya kuifanya dunia kuwa Paradise yako.

Please go to bed and have a deep sleep.
Nakupenda Sana, silali nawaza vitu vichache TU, HELA, wewe na namna ya kutumia hela ili kuupa moyo wako afya na uzima wa milele.

I LOVE YOU Msweet
 
Ata ukikiri mwanamke hatokuona gentle man..sana sana atakuona boya na ataanza kukulaumu kwanini umekiri...so cha kufanya kataaa kataaa...ndo wanavyopenda
 
Kuna jamaa angu aliwahi kutwa kifuani mwa mwanamke ready handled anatafuna papuchi.

Huwez amini jamaa alikataa sio yeye.

Baada ya mjadala mrefu,
Akajitetea kua ata Kama ingekua Ni kuchepuka ila yeye sio kutoka na mwanamke wa type ya yule.

Pale Kuna mchezo wa kishirikina umefanyika dhidi yake.

Kwasababu mpaka ile siku anafumaniwa yeye anakumbuka alkua amelala ndani Kwenye gari lake uko ofsini kwake afu anaota anafanya mapenz na MKE wake.

Anasema,
inawezekana wabaya wake wamemloga au yule mwanamke aliekutwa nae alimroga na kumchukuaa kiuchawi ili atembee nae.

Na MKE wa jamaa akakubali utetezi ule na KUOMBEA pepo wabaya wasimuandame Tena uyo mme wake kipenzi[emoji2].
 
Vile wanawake tujiskiaga kwenye hili ni kwamba Kukiri kwamba umenisaliti ni kwamba umenichoka, hunipendi, umenidharau na wala hunitaki hunitaki😂😂😂😂

Mapenzi buana😃😃😃
 
Back
Top Bottom