Wanaume wenzangu nasisitiza iwe jua au mvua usiku au mchana iwe bara au visiwani usijaribu kukiri kosa la uchepukaji kwa mkeo hata siku moja.
Eti anakuta tu sms kwenye simu yako unakiri kweli umechepuka mwanaume wa wapi wewe kukiri kwako kunamthibitishia na kunampa uhalali wa yeye kuchepuka ili kulipiza kisasi, Hawa viumbe ni wa sayari nyingine aisee. Mimi labda anikute kifuani mwa mtu hapo no way out lakini hivi hivi no.
Fanya hivi mheshimu mkeo futa sms zoote za mchepuko before hujafika nyumbani daily usibebe ushahidi nyumbani kuwa na akili wewe mfanye mkeo akuamini kuliko binadamu yoyote duniani, tafuta mchepuko wenye akili masaa yote ujue ukiwa nyumbani anatakiwa aweje ukiwa nje ya home aweje pia usitembee na mwanamke yeyote aliekaribu na mkeo either kazini kwake au nyumbani jirani yenu hii itampa heshima mkeo.
Always amini mkeo ni bora kuliko mwanamke yeyote regardless ana mapungufu kiasi gani wewe ndio uliomchagua nawasilisha.
Eti anakuta tu sms kwenye simu yako unakiri kweli umechepuka mwanaume wa wapi wewe kukiri kwako kunamthibitishia na kunampa uhalali wa yeye kuchepuka ili kulipiza kisasi, Hawa viumbe ni wa sayari nyingine aisee. Mimi labda anikute kifuani mwa mtu hapo no way out lakini hivi hivi no.
Fanya hivi mheshimu mkeo futa sms zoote za mchepuko before hujafika nyumbani daily usibebe ushahidi nyumbani kuwa na akili wewe mfanye mkeo akuamini kuliko binadamu yoyote duniani, tafuta mchepuko wenye akili masaa yote ujue ukiwa nyumbani anatakiwa aweje ukiwa nje ya home aweje pia usitembee na mwanamke yeyote aliekaribu na mkeo either kazini kwake au nyumbani jirani yenu hii itampa heshima mkeo.
Always amini mkeo ni bora kuliko mwanamke yeyote regardless ana mapungufu kiasi gani wewe ndio uliomchagua nawasilisha.