Ni kosa kumtongoza Mkuu wa Wilaya?

Ni kosa kumtongoza Mkuu wa Wilaya?

Katika pitapita zangu, nikajikuta wilaya ya Newala, nikiwa katika kijiwe kimoja cha boda boda nikakuta kuna story ya mwaka juzi ambapo mkuu wa wilaya ya hapo ambaye kwasasa yuko wilaya ya Mbinga alimweka ndani kijana mmoja mwendesha bodaboda baada ya kijana huyo kumpigia simu na kuonesha kumhitaji kimahusiano (kumtongoza)

Naomba nijue kama kutongoza kiongozi ni kosa kisheria au hii imekaaje?
Si kosa......narudia tena......wanawake wetu wa Kibongo hawajuwi kupendwa wala kupenda. Kwao kila kitu ni maigizo tu, utakuta demu yuko kwenye mahusiano/ndoa ila yuko radhi avunje ndoa yake kwenda kushinda kanisani kumfurahisha mchungaji, mwisho wa siku analiwa na chumvi bila kuchemshwa na kuachwa kwenye mataa na huyo mchungaji.
 
Inawezekana huyo kijana alimtongoza wakati wa kazi na kwa kutumia simu ya ofisi. Mdada dc, kwa kujua kuwa kipindi kile mambo ya wateule wa raisi kuwekewa mitego ya kunasa simu zao (ref. Makamba, nape et al.), ilimlazimu aonyeshe kukerwa na hilo. Kama kijana angekuwa mbunifu na angemlia timing vizuri km vile kumfuata week end hivi halafu si kwa kutumia simu ya ofisi.....pengine angeeleweka.
 
Tatizo ni kutongoza au namna? Maana vijana wengine huko wanakuita kutongoza ni maneno ya kashfa tu. Wanawake wengi wangekuwa wanashare hizo "tongoza" zinazoingia kwenye simu zao, tungefungua chuo cha namna ya kutongoza!
 
Mtera Mwampamba aje ajibu.
images (19).jpeg

Alikula chakula ya boss au?
 
Picha kwanza ya huyo mtongozwaji...
 
Ni kosa kubwa maana vijana mara nyingi wanaongozwa na nyege na kupenda mserereko kwa hyo kama kamati tunapiga marufuku utongozaji holela kwa waheshimiwa hao mtuachie sisi tunaondesha viieiti bodaboda tunawaachia mademu zenu wa kimboka

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Angekua tajiri wala yawezekana kwanza angeteuliwa kua mjumbe wa kitu fulani, lakini mkuu alishtuka maana vijana wa bodaboda angeshangaa kapigwa pumbu kimasihara
Angeliwa na bodaboda na walivyo kama jeshi
Taarifa zingesambaa vijiwe vyote nchi hii
 
Back
Top Bottom