Ni kosa kumtongoza Mkuu wa Wilaya?

Ni kosa kumtongoza Mkuu wa Wilaya?

Katika pitapita zangu, nikajikuta wilaya ya Newala, nikiwa katika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta kuna story ya mwaka juzi ambapo mkuu wa wilaya ya hapo ambaye kwasasa yuko wilaya ya Mbinga alimweka ndani kijana mmoja mwendesha bodaboda baada ya kijana huyo kumpigia simu na kuonesha kumhitaji kimahusiano (kumtongoza).

Naomba nijue kama kutongoza kiongozi ni kosa kisheria au hii imekaaje?View attachment 1955815View attachment 1955816
Mkuu wa Wilaya ya Ruvuma ambaye ni mwanamke mwenzetu ameagiza wanawake wa Ruvuma kabla hawajafanya mapenzi na wanaume wawakague kwanza kujiridhisha kwamba wametahiriwa, ikiwa hawajatahiriwa wasitoe huduma ya mapenzi.

Hii yote ni mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi kwani utafiti unasema wanaume magovi huambukiza HIV kirahisi.

Wanawake hoyeeee!!
Samia hoyeee!!
Mwaka 2025 kula zetu kwako.

Nime copy and paste
 
Aziza alivojiweka hata we ungemtongoza tu!

Alikosea sana angetaka angeishi kiheshima yeye mbona alikua anatoka na waume za watu au kwa kua kijaana huyooo hana hela (in makonde's voice).
Alijiwekaje, mkuu??
 
Hahahahaha unaweza kusingiziwa UMEMBAKA lol! Utambambikiwa kesi nyingine mbaya uozee lupango.

Akikutunuku kula kwa machale. Mda wote uwe alert ikitokea lakutokea unafungua turbo 😂😂
 
Kwa hiyo boda hakuridhika na wake za watu anaowalaga kila siku,akaamua apeleke tamaa kwa mkuu wa wilaya aisee umalaya ni janga la taifa.
 
Tatizo ni kutongoza au namna? Maana vijana wengine huko wanakuita kutongoza ni maneno ya kashfa tu. Wanawake wengi wangekuwa wanashare hizo "tongoza" zinazoingia kwenye simu zao, tungefungua chuo cha namna ya kutongoza!
Bila Shaka Ni namna.
Alikosa strategies za kumtongoza mheshimiwa.
Kuna Aina ya wanawake ambayo hautongozi siku moja.
Unakuwa katika mchakato.
Inaweza chukua majuma kadhaa, au miezi na hata mwaka.
Kila ukipata wasaa watupia neno moja watulia.
Neno ambalo akilitafakari haoni moja kwa moja Kama ametongozwa , Bali kapewa neno tu la kumfurahisha, na jinsi lilivyomfurahisha anaanza kuvutiwa kutaka neno lingine afurahi zaidi, na kidogo kidogo anaendelea kuvutika kwako, mithili ya kuku afatae mahindi yaliyodondoshwa kimstari kuelekea ndani. Kuku huyu ataanza Kula punje moja, Kisha nyingine huku akisogea na hatmae hujikuta ameingia ndani, hapo mwenye nyumba hufunga mlango na kumfanya atakavyo.
Hivi huyu bodaboda angeenda kimkakati, huyu mheshimiwa asingepata nafasi ya kutafakari kwamba katongozwa, angejikuta tu tayari yupo katika Mikono michafu ya bodaboda..!
Au kinyume chake, lakini bila notification kwamba katongozwa!!!
 
Katika pitapita zangu, nikajikuta wilaya ya Newala, nikiwa katika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta kuna story ya mwaka juzi ambapo mkuu wa wilaya ya hapo ambaye kwasasa yuko wilaya ya Mbinga alimweka ndani kijana mmoja mwendesha bodaboda baada ya kijana huyo kumpigia simu na kuonesha kumhitaji kimahusiano (kumtongoza).

Naomba nijue kama kutongoza kiongozi ni kosa kisheria au hii imekaaje?View attachment 1955815View attachment 1955816

Wew kama nondo unazo piga saundi katiba inaturuhisu kuwa na uhuru wa kuongea gonga nyundo mzee west ham
 
On serious note!

Mwanamke ukimtongoza na kama hajakupenda, atafanya chochote kile atachoona ni sahihi kwake

Ili mradi tu, aonyeshe wewe hukustahili kumpenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Nimefurahishwa sana kwa comment yako mkuu.

Kwa muktadha wa mtoa mada, huyo mkuu wa wilaya alitaka tu kuua soo.

Huyo kijana wa kijiweni alikosa mbinu za kuonana naye ana kwa ana akamwagia sera kijanja?

Angelitumia njia ya kujipendekeza kwanza hadi wazoeane na kuficha 'identity' yake ya u day worker, baadaye angelimg'oa kama kawa.

Mbinu za kutongoza huku ukipima upepo mbona zipo nyingi tu?

Njia ya kupiga simu aliyochagua siyo nzuri sana.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Nimefurahishwa sana kwa comment yako mkuu.

Kwa muktadha wa mtoa mada, huyo mkuu wa wilaya alitaka tu kuua soo.

Huyo kijana wa kijiweni alikosa mbinu za kuonana naye ana kwa ana akamwagia sera kijanja?

Angelitumia njia ya kujipendekeza kwanza hadi wazoeane na kuficha 'identity' yake ya u day worker, baadaye angelimg'oa kama kawa.

Mbinu za kutongoza huku ukipima upepo mbona zipo nyingi tu?

Njia ya kupiga simu aliyochagua siyo nzuri sana.
Ahaaa, nakuona mzee wa kupima kina cha maji......
 
Katika pitapita zangu, nikajikuta wilaya ya Newala, nikiwa katika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta kuna story ya mwaka juzi ambapo mkuu wa wilaya ya hapo ambaye kwasasa yuko wilaya ya Mbinga alimweka ndani kijana mmoja mwendesha bodaboda baada ya kijana huyo kumpigia simu na kuonesha kumhitaji kimahusiano (kumtongoza).

Naomba nijue kama kutongoza kiongozi ni kosa kisheria au hii imekaaje?View attachment 1955815View attachment 1955816
Unashitakiwa na kufungwa ama kupigwa faini.

Hati ya mashitaka haiandikwi kutongoza, bali itaandikwa: " kumfanyia fujo mheshimiwa mkuu wa wilaya na kuingilia falagha yake".

Ushahidi unakuwa ni hizo voice note pamoja na mitego mingine itakayokuwa imeandaliwa kujenga ushahidi wa kukutia hatiani
 
Back
Top Bottom