Hata waswahiliKila familia ya kiarabu na kihindi
Haikosi tahahira mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata waswahiliKila familia ya kiarabu na kihindi
Haikosi tahahira mmoja
Qur'an, 4:23:
"Mmeharimishiwa (kuwaoa) mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na mama wa kike wa baba zenu, na mama wa kike wa mama zenu, na mabinti wa kaka zenu, na mabinti wa dada zenu, na mama zenu wa kunyonyesha, na dada zenu kwa kunyonyesha, na mama wa wake zenu (wakwe zenu), na mabinti wa wake zenu mliowagusa (mlioingiliana nao) lakini ikiwa hamkuingia nao basi si vibaya kuwaoa, na wake wa watoto wenu wa kiume waliozaliwa kutokana na migongo yenu, na kuwaoa wake wawili walio ndugu kwa wakati mmoja - isipokuwa yaliyokwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu."
Kwahiyo ukihalalisha ndugu utasema hata mwanaoUnaelewa maana ya ndugu wa damu wewe?
Ukianza kuhalalisha ndugu wa damu na asiye wadamu utahalalisha hata kula vifaranga vyako mwenywe.Unaelewa maana ya ndugu wa damu wewe?
Samahani?we mpare?🫣🫣Binamu yako ni mtoto wa shangazi yako, ubini wake sio sawa na wenu tayari yeye ni wa ukoo mwengine hivyo hata akibeba mimba haina shida maana sio damu yenu.
Lomoni zitakuwa nyingi tu toka kwa walimwengu ila kimsingi haina madhara. Mbaya ni kumpa mimba mtoto wa baba yako mkubwa au mdogo maana yule mnashea damu.
Hakuna tatizo lolote kabisa kuzaa na binamu, huyo Muoe kabisaa maisha yaendeleeWakuu
Ndugu yangu limemkuta (chovyachovya imemponza)
Walifanya siri ila leo dogo amezaliwa na wazazi hawajui( mama na mjomba)
Sasa nimeombwa ushauri, ila nmemwambia anipe mda maana maza namjua vzuri( hachekeshi)
Ushauri gani umfae kwa sasa?
Mimi mchagaSamahani?we mpare?🫣🫣
Sawa...nilijua mpare ndio wana hizo tabiaMimi mchaga
Aah kumbe wapare ndio zao eeh😂Sawa...nilijua mpare ndio wana hizo tabia
🤣🤣🤣wapare noma sanaAah kumbe wapare ndio zao eeh😂
Hahahah ila sio wote bwana, au braza nae kakupiga tukio🤣🤣🤣wapare noma sana
Unafahamu kuwa kwa kufuata mgawanyo wa vinasaba vya wazazi kwenda kwa mtoto, nusu ya vinasaba vinatoka kwa mama na nusu vinatoka kwa baba?Hakuna tatizo lolote kabisa kuzaa na binamu, huyo Muoe kabisaa maisha yaendelee
Wakuu
Ndugu yangu limemkuta (chovyachovya imemponza)
Walifanya siri ila leo dogo amezaliwa na wazazi hawajui( mama na mjomba)
Sasa nimeombwa ushauri, ila nmemwambia anipe mda maana maza namjua vzuri( hachekeshi)
Ushauri gani umfae kwa sasa?