Ni kujidanganya tukidhani katiba mpya itaondoa uonevu

Ni kujidanganya tukidhani katiba mpya itaondoa uonevu

Mbase1970

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
6,054
Reaction score
4,604
Matukio mengi yanayoendelea nchini kwasasa na wengi wetu inafika wakati na kudhani katiba mpya itasaidia kupunguza ama kuondoa uonevu.

Tupitie video mbili hapo chini kuonyesha uonevu hata Siku moja hautamalizwa na katiba mpya bali umoja wa kitaifa ukianzia kutoka kwa wanasiasa ambao watatuunganisha kuwa wamoja na kuheshimu misingi ya haki za binadamu zaidi ya kuvutana kiitikadi kama ilivyo sasa. Last time niliandika thread ya kumsifu Mh Mbowe kwa jinsi alivyo handle tukio lililomkuta mwanademokrasia na mpigania haki wa kweli Mh Tundu Lissu.

Pamoja na sifu zangu kwake kwa leo ningeomba kumshauri tu kwamba haitatusaidia sisi kama watanzania tukiendekeza hizi siasa zinazozagaa mitaani kwasasa. Kama kila tukio likitokea tumnyoshee kidole rais na serikali.

Ifike wakati tuanze kujenga siasa za maelewano zaidi kuliko kutumia mitandao na vyombo vya habari kugombanisha RAIA na serikali (kina Lema &co) ama RAIA na wanasiasa wa upinzani kama ndugu Polepole.



Hii katika video hapo juu inatokea sana Marekani wanaojulikana wanaua watu kweupe na wanaachiwa huru kuua tena. Ndiyo hawa tunadhani wanathamini zaidi maisha ya watu zaidi ya wasiyojulikana Wa Tanzania?.

Mbowe hata wakija kuwachunguza wenzao wasiyojulikana hawatatusaidia kutatua tatizo hili la wasiyojulikana. Kenya walimuua Dr John Robert Ouko na Scotland Yard waliitwa kuchunguza lakini haikusaidia kuwafichua wasiojulikana Wahenga wenzangu watalikumbuka tukio la kuawa Ouko na kuchomwa moto.

Fikiria Ouko hakua mwanasiasa tu kama Mh Lissu Bali alikua waziri pia. Gari nyeupe pia inasadikika ilitumiwa na wasiyojulikana. So John Troon wa New Scotland Yard ndiye aliyeongoza uchunguzi.
 
We know where we are from, but we don't know where we are heading
 
@Mbase sasa unatakaje?
Nimetoa maoni hapo soma vizuri mkuu. Katiba mpya na wanasiasa wa visasi haitatufikisha kokote. Katiba mpya na wanasiasa sampuli ya kina Polepole na Lema. Ama Magufuli na Kina Mdee. Katiba mpya na wanasiasa vigeugeu. Leo wanasema hiki kesho wanabadilika sababu anayetimiza walichokisema hatoki katika itikadi moja.

Katiba mpya na raid anayedhani yeye yupo jeshini kutoka amri tu bila kujali mini kitatokeo mbele ya safari. Hiyo katiba itakua kama kitabu cha Riwaya.

Nina imani hats wabunge wengi hawavijui vyama vyao vinafuata mrengo gani. Humu JF wafuasi wa CDM wengi wskipewa mtihani kujibu chama chao ni cha mrengo gani labda wspiha domo na matusi wengi hawajui.

Katiba mpya wakati wstanzania hawsjui hats elimu ya uraia hawazijui hats haki zao ambazo zimo pia katika katiba ya sasa ya Tanzania a.k.a ccm katiba.

Unawezaje kupigwa vibao na polisi kituoni usimshitaki halafu unadhani hiyo katiba itakuondelea uonevu?
 
Do you want to let us believe that those two shootings can justify the assassination attempt to TAL? Why was the cctv camera removed from the place of incident? Without going to the police training common sense proves that James Hadley Chase was right in his novel titled the guilty are always afraid
 
Do you want to let us believe that those two shootings can justify the assassination attempt to TAL? Why was the cctv camera removed from the place of incident? Without going to the police training common sense proves that James Hadley Chase was right in his novel titled the guilty are always afraid
Read the content of the thread before coming to conclusion bruv. I will like wise ask you that do you want me to believe that only one incident that happened to Hon Lissu justifies that the government security agents did that?
 
Hoja sio kwamba katiba mpya itapunguza matatizo tajwa bali itaweka mfumo wa kushughulikia matatizo husika!!!! Ni kutokana na kutokuwapo kwa hiyo mifumo na sheria na ndio maana watu wanafanya watakavyo kwa sababu, pia hakuna mifumo na sheria ya kuwashughulikia watu wanaofanya watakavyo!!!

Kwa mfano, from nowhere Makonda kasimama kwenye tv stations akaanza kutaja watu hovyo hovyo kwamba wanahusika na mihadarati! Majority ya aliowataja wameonekana hawana hatia!!! Lakini kwavile hatuna mifumo wala sheria za kushughulikia watu kama akina Makonda wanaoweza kufanya watakavyo; haitashangaza tena akiibuka na kutaja wengine na wengine!!!
 
Hoja sio kwamba katiba mpya itapunguza matatizo tajwa bali itaweka mfumo wa kushughulikia matatizo husika!!!! Ni kutokana na kutokuwapo kwa hiyo mifumo na sheria na ndio maana watu wanafanya watakavyo kwa sababu, pia hakuna mifumo na sheria ya kuwashughulikia watu wanaofanya watakavyo!!!

Kwa mfano, from nowhere Makonda kasimama kwenye tv stations akaanza kutaja watu hovyo hovyo kwamba wanahusika na mihadarati! Majority ya aliowataja wameonekana hawana hatia!!! Lakini kwavile hatuna mifumo wala sheria za kushughulikia watu kama akina Makonda wanaoweza kufanya watakavyo; haitashangaza tena akiibuka na kutaja wengine na wengine!!!
Mkuu nakubaliana na wewe kwa kiasi, lakini bado hujanishawishi kama kweli katiba itamaliza uonevu. Hii mifano hapo juu ni muhimu sana. Katiba ya Marekani ni nzuri zaidi ya kwetu hii ya ccm lakini ni aibu ubaguzi mkubwa unaoendelea huko ama unadhani hawana hivyo vipengele?

Kama institutions zetu zitafumbia macho hats katiba itoke kwa Yesu ama Mtume Mohammed (peace bevupon him) watu wstaendelea kuonewa. Kwani maandamano so haki yako ya msingi na IPO katika katiba mini kinakufanya usiandamane? Ama hiyo katiba mpya itaandika tofauti?
 
Nimetoa maoni hapo soma vizuri mkuu. Katiba mpya na wanasiasa wa visasi haitatufikisha kokote. Katiba mpya na wanasiasa sampuli ya kina Polepole na Lema. Ama Magufuli na Kina Mdee. Katiba mpya na wanasiasa vigeugeu. Leo wanasema hiki kesho wanabadilika sababu anayetimiza walichokisema hatoki katika itikadi moja.

Katiba mpya na raid anayedhani yeye yupo jeshini kutoka amri tu bila kujali mini kitatokeo mbele ya safari. Hiyo katiba itakua kama kitabu cha Riwaya.

Nina imani hats wabunge wengi hawavijui vyama vyao vinafuata mrengo gani. Humu JF wafuasi wa CDM wengi wskipewa mtihani kujibu chama chao ni cha mrengo gani labda wspiha domo na matusi wengi hawajui.

Katiba mpya wakati wstanzania hawsjui hats elimu ya uraia hawazijui hats haki zao ambazo zimo pia katika katiba ya sasa ya Tanzania a.k.a ccm katiba.

Unawezaje kupigwa vibao na polisi kituoni usimshitaki halafu unadhani hiyo katiba itakuondelea uonevu?
Unahoja ila umoja wa kitaifa bila kuwa na siasa safi Kazi bure,tuongee ukweli hawamu zilizopita zote haya yanayotuacha midomo wazi hayakuwepo ryt!,ila sasaivi kumekuwa na siasa za kiadui ambazo zimeanza kushika kasi mno tunaona matokeo yake watu hawazikan, wahawajulian hali n. K. Tupaze sauti zetu bila haya ndipo tuludi ktk hilo sasa leo unaona uongo unatumika Mahala ambapo hapastail na mtu hasiyedhaniwa ili mdadi kuficha auburn ya fulani, ndio mana wenye akili wanahoji na wanaitwa majina ya uongo kupotosha umma, ila katiba ndio msingi wayote leo katiba imepwaya mno watu wanafanya watakavo simply anamamlaka, mahakama unaona sasaivi zilivo unategemea mnyonge akaipate wapi haki, maandamano ni haki kikatiba na sikosa kisheria ila leo unaona yanayotokea, umoja wa kitaifa watawala hawautaki maana msingi wake mkuu ni democrasia,
Democrasia... Democrasia... Democrasia
 
Matukio mengi yanayoendelea nchini kwasasa na wengi wetu inafika wakati na kudhani katiba mpya itasaidia kupunguza ama kuondoa uonevu. Tupitie video mbili hapo chini kuonyesha uonevu hata Siku moja hautamalizwa na katiba mpya bali umoja wa kitaifa ukianzia kutoka kwa wanasiasa ambao watatuunganisha kuwa wamoja na kuheshimu misingi ya haki za binadamu zaidi ya kuvutana kiitikadi kama ilivyo sasa. Last time niliandika thread ya kumsifu Mh Mbowe kwa jinsi alivyo handle tukio lililomkuta mwanademokrasia na mpigania haki wa kweli Mh Tundu Lissu.

Pamoja na sifu zangu kwake kwa leo ningeomba kumshauri tu kwamba haitatusaidia sisi kama watanzania tukiendekeza hizi siasa zinazozagaa mitaani kwasasa. Kama kila tukio likitokea tumnyoshee kidole rais na serikali. Ifike wakati tuanze kujenga siasa za maelewano zaidi kuliko kutumia mitandao na vyombo vya habari kugombanisha RAIA na serikali (kina Lema &co) ama RAIA na wanasiasa wa upinzani kama ndugu Polepole.





Hii katika video hapo juu inatokea sana Marekani wanaojulikana wanaua watu kweupe na wanaachiwa huru kuua tena. Ndiyo hawa tunadhani wanathamini zaidi maisha ya watu zaidi ya wasiyojulikana Wa Tanzania?. Mbowe hata wakija kuwachunguza wenzao wasiyojulikana hawatatusaidia kutatua tatizo hili la wasiyojulikana. Kenya walimuua Dr John Robert Ouko na Scotland Yard waliitwa kuchunguza lakini haikusaidia kuwafichua wasiojulikana Wahenga wenzangu watalikumbuka tukio la kuawa Ouko na kuchomwa moto. Fikiria Ouko hakua mwanasiasa tu kama Mh Lissu Bali alikua waziri pia. Gari nyeupe pia inasadikika ilitumiwa na wasiyojulikana. So John Troon wa New Scotland Yard ndiye aliyeongoza uchunguzi.

Nakumbusha tu, baada ya uchunguzi kuonekana unaigusa serikali Scotland Yard walifukuzwa nchi ni Kenya.
 
Katiba ni kanuni za msingi za kufuata.
Hata hivyo, katiba haina maana yoyote kama wananchi hawawezi kuhakikisha haivunjwi na yeyote yule.
Katiba ni kwa ajili ya watu ambao wanaijua na wapo tayari kuitumia katika kujitawala.
Uhalifu na hata mauaji au jaribio kama la kutaka kumuua Lisu halihitaji katiba mpya kushugulikiwa.
 
Ni kweli ndugu,tuliwasifia sana Kenya kwamba wana Katiba mpya mambo yao sasa yamekamilika kila kitu kinaenda sawa ikiwa ni pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi kumbe ilikuwa ni danganya toto tu, tumeshuhudia Kenya yakitokea mauaji ya Mkurugenzi wa TEHAMA IEBC, Rais Uhuru kumtishia Jaji Mkuu baada ya kutengua matokeo ya Urais, Kamishina wa IEBC yule mama kujiuzulu na kusema hakuna uchaguzi utakaokuwa wa haki Kenya,mauaji ya waandamanaji yanayoendelea Kenya. Hilo ni fundisha kwa Watanzania kwamba Katiba ni makaratasi tu lakini cha msingi ni sisi wenyewe kuwa na maelewano ya kitaifa na siyo mambo haya ya majungu tuliyonayo kwa sasa
 
Nakumbusha tu, baada ya uchunguzi kuonekana unaigusa serikali Scotland Yard walifukuzwa nchi ni Kenya.
Ndiyo nilikuacha utegue huo mtego. So hivyo tu kukuonyesha nimekiandika kitu nikujuacho huyu mchunguzi alilalamika kuwa walimwekea sumu. Swali linakuja kama huwaamini kuchunguza na unahisi wana mkono hujui kama ni kazi rahisi sana Ku kuvuruga uchunguzi?
 
Nimetoa maoni hapo soma vizuri mkuu. Katiba mpya na wanasiasa wa visasi haitatufikisha kokote. Katiba mpya na wanasiasa sampuli ya kina Polepole na Lema. Ama Magufuli na Kina Mdee. Katiba mpya na wanasiasa vigeugeu. Leo wanasema hiki kesho wanabadilika sababu anayetimiza walichokisema hatoki katika itikadi moja.

Katiba mpya na raid anayedhani yeye yupo jeshini kutoka amri tu bila kujali mini kitatokeo mbele ya safari. Hiyo katiba itakua kama kitabu cha Riwaya.

Nina imani hats wabunge wengi hawavijui vyama vyao vinafuata mrengo gani. Humu JF wafuasi wa CDM wengi wskipewa mtihani kujibu chama chao ni cha mrengo gani labda wspiha domo na matusi wengi hawajui.

Katiba mpya wakati wstanzania hawsjui hats elimu ya uraia hawazijui hats haki zao ambazo zimo pia katika katiba ya sasa ya Tanzania a.k.a ccm katiba.

Unawezaje kupigwa vibao na polisi kituoni usimshitaki halafu unadhani hiyo katiba itakuondelea uonevu?
Umewahi kusoma constitutional law/studies?
 
Matukio mengi yanayoendelea nchini kwasasa na wengi wetu inafika wakati na kudhani katiba mpya itasaidia kupunguza ama kuondoa uonevu. Tupitie video mbili hapo chini kuonyesha uonevu hata Siku moja hautamalizwa na katiba mpya bali umoja wa kitaifa ukianzia kutoka kwa wanasiasa ambao watatuunganisha kuwa wamoja na kuheshimu misingi ya haki za binadamu zaidi ya kuvutana kiitikadi kama ilivyo sasa. Last time niliandika thread ya kumsifu Mh Mbowe kwa jinsi alivyo handle tukio lililomkuta mwanademokrasia na mpigania haki wa kweli Mh Tundu Lissu.

Pamoja na sifu zangu kwake kwa leo ningeomba kumshauri tu kwamba haitatusaidia sisi kama watanzania tukiendekeza hizi siasa zinazozagaa mitaani kwasasa. Kama kila tukio likitokea tumnyoshee kidole rais na serikali. Ifike wakati tuanze kujenga siasa za maelewano zaidi kuliko kutumia mitandao na vyombo vya habari kugombanisha RAIA na serikali (kina Lema &co) ama RAIA na wanasiasa wa upinzani kama ndugu Polepole.





Hii katika video hapo juu inatokea sana Marekani wanaojulikana wanaua watu kweupe na wanaachiwa huru kuua tena. Ndiyo hawa tunadhani wanathamini zaidi maisha ya watu zaidi ya wasiyojulikana Wa Tanzania?. Mbowe hata wakija kuwachunguza wenzao wasiyojulikana hawatatusaidia kutatua tatizo hili la wasiyojulikana. Kenya walimuua Dr John Robert Ouko na Scotland Yard waliitwa kuchunguza lakini haikusaidia kuwafichua wasiojulikana Wahenga wenzangu watalikumbuka tukio la kuawa Ouko na kuchomwa moto. Fikiria Ouko hakua mwanasiasa tu kama Mh Lissu Bali alikua waziri pia. Gari nyeupe pia inasadikika ilitumiwa na wasiyojulikana. So John Troon wa New Scotland Yard ndiye aliyeongoza uchunguzi.

Unashindwa kujua kuwa bila katiba bora kama ya waamerika matukio kama hayo USA yangelikuwa thousands of them a year. kwa aktiba bora sasa ni only tens a year! Aliyotaka kuyafanya Trump bila kuwa na katiba bora angeliivuruga nchi! Katiba na sheria vilimdhibiti akakoma
 
Katiba ni kanuni za msingi za kufuata.
Hata hivyo, katiba haina maana yoyote kama wananchi hawawezi kuhakikisha haivunjwi na yeyote yule.
Katiba ni kwa ajili ya watu ambao wanaijua na wapo tayari kuitumia katika kujitawala.
Uhalifu na hata mauaji au jaribio kama la kutaka kumuua Lisu halihitaji katiba mpya kushugulikiwa.
Mkuu sins LA kuongeza unadhani ulinielewa mini maana ya kuandika hii mada.

Kina vipengele Vinci sana vimo katika katiba tuliyonayo lakini vinavunjwa na watu ambao wsbatakiwa kuvilinda. Kama wanasiasa wetu wanakiuka katiba zao wenyewe unadhani wataifuata katiba ya nchi?

Judge akishateuliwa havuliwi kwsnini wanadhindwa kufanya kazi zao? Wabunge wanachaguliwa na wsnanchi kwsnini wsnajipendekeza kwa serikali?

Hivyo katiba so mwisho wa kila kitu. Tunaweza tukaipata na tukaishi maisha haya haya
 
Mkuu sins LA kuongeza unadhani ulinielewa mini maana ya kuandika hii mada.

Kina vipengele Vinci sana vimo katika katiba tuliyonayo lakini vinavunjwa na watu ambao wsbatakiwa kuvilinda. Kama wanasiasa wetu wanakiuka katiba zao wenyewe unadhani wataifuata katiba ya nchi?

Judge akishateuliwa havuliwi kwsnini wanadhindwa kufanya kazi zao? Wabunge wanachaguliwa na wsnanchi kwsnini wsnajipendekeza kwa serikali?

Hivyo katiba so mwisho wa kila kitu. Tunaweza tukaipata na tukaishi maisha haya haya
Lazima tuanze na Katiba nzuri kwanza, with time haya yatadhibitiwa. kwa mfano, rais angelikuwa anashitakiwa huyu jamaa asingelifanya haya ya kuvunja katiba. Kuna vitu vya msingi havimo kwenye katiba yaetu. Huyu anafanya haya kwa vile is untouchable! Katiba imempa kinga!
 
Umewahi kusoma constitutional law/studies?
Huu uandishi wangu unaonyesha kuwa nina chembe hata ya kusomea sheria? Lakini ni common sense kama utakua na watu walioweka matumbo yao mbele hata kama uba PhD ya constitutional law ni kujidanganya.

Nimesema hapo juu kazi ya rais ni kumteua judge hamlazimishi awe stooge wake. Judge akibadilika kuwa mpambe wa rais badala ya kutimiza kazi take kikatiba utamlaumu rais kwa lipi?
 
Back
Top Bottom