Ni kujidanganya tukidhani katiba mpya itaondoa uonevu

Ni kujidanganya tukidhani katiba mpya itaondoa uonevu

Hoja sio kwamba katiba mpya itapunguza matatizo tajwa bali itaweka mfumo wa kushughulikia matatizo husika!!!! Ni kutokana na kutokuwapo kwa hiyo mifumo na sheria na ndio maana watu wanafanya watakavyo kwa sababu, pia hakuna mifumo na sheria ya kuwashughulikia watu wanaofanya watakavyo!!!

Kwa mfano, from nowhere Makonda kasimama kwenye tv stations akaanza kutaja watu hovyo hovyo kwamba wanahusika na mihadarati! Majority ya aliowataja wameonekana hawana hatia!!! Lakini kwavile hatuna mifumo wala sheria za kushughulikia watu kama akina Makonda wanaoweza kufanya watakavyo; haitashangaza tena akiibuka na kutaja wengine na wengine!!!

Asante kwa kumuelewesha, nadhani haelewi maana ya katiba na sheria zake.
 
Lazima tuanze na Katiba nzuri kwanza, with time haya yatadhibitiwa. kwa mfano, rais angelikuwa anashitakiwa huyu jamaa asingelifanya haya ya kuvunja katiba. Kuna vitu vya msingi havimo kwenye katiba yaetu. Huyu anafanya haya kwa vile is untouchable! Katiba imempa kinga!
Wangapi wanavunja sheria na hata akuna anaye washughulikia. Japo wapo ktk mkondo wa kushulikiwa. Watu wa siasa kama kina mbowe kelele tu kufurahisha wafuasi wao. Angalia Kenya upinzani ngangali hapa watu tunawaita makamanda wakati hata fisi bora. Mikutano inayoruhusiwa kikatiba imexuiliwa wameufyata. Halafu mnawaita makamanda.
 
Ndiyo nilikuacha utegue huo mtego. So hivyo tu kukuonyesha nimekiandika kitu nikujuacho huyu mchunguzi alilalamika kuwa walimwekea sumu. Swali linakuja kama huwaamini kuchunguza na unahisi wana mkono hujui kama ni kazi rahisi sana Ku kuvuruga uchunguzi?
Tujaribu tusihukumu
 
Ni kweli ndugu,tuliwasifia sana Kenya kwamba wana Katiba mpya mambo yao sasa yamekamilika kila kitu kinaenda sawa ikiwa ni pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi kumbe ilikuwa ni danganya toto tu, tumeshuhudia Kenya yakitokea mauaji ya Mkurugenzi wa TEHAMA IEBC, Rais Uhuru kumtishia Jaji Mkuu baada ya kutengua matokeo ya Urais, Kamishina wa IEBC yule mama kujiuzulu na kusema hakuna uchaguzi utakaokuwa wa haki Kenya,mauaji ya waandamanaji yanayoendelea Kenya. Hilo ni fundisha kwa Watanzania kwamba Katiba ni makaratasi tu lakini cha msingi ni sisi wenyewe kuwa na maelewano ya kitaifa na siyo mambo haya ya majungu tuliyonayo kwa sasa
Katiba mpya ni nzuri pale tu tukiwa na wanasiasa wafia nchi na haki za RAIA wake so hawa wanasiasa wa Tanzania. Sijamuona labda Nina imani na Bashe zamani nilimtegemea Nassari wameshambadili na yeye kama hajaenda shule. Siioni tofautivya Nassari na Lema ambaye CV take inajumuisha na ujambaxi. Pia sioni tofauti ya Nassari na Lusinde a.k.a Kibajaji aliyekimbia umande. Namshangaa msomi kama mwakyembe mwsnazuoni kuwa zuzu
 
Asante kwa kumuelewesha, nadhani haelewi maana ya katiba na sheria zake.
Were ndiye unatakiwa ueleweshwe mkuu. Ama hujanielewa. Sijasema katiba so nzuri Bali soma content ya nilichokiandika kabla ya kukimbilia kusoma comments. Katiba haitasaidia kitu kama institutions zetu zitabaki za kiujima. Nikuulize swali katika katiba ya sasa mahali gani pamekataza maandamano? Kwsnini watu wsnaogipa kuandamana wakati katiba inaruhusu? Jibu so Magufuli Bali una instutions ambaxo zipo kisheria kusimamia haki zetu lakini hazitimizi wsjibu zao na kuegamia upande wa watawsla.. Sielewi wa Tanzania tuna matatixo gani kuelewa thread fupi kama hii.
 
Were ndiye unatakiwa ueleweshwe mkuu. Ama hujanielewa. Sijasema katiba so nzuri Bali soma content ya nilichokiandika kabla ya kukimbilia kusoma comments. Katiba haitasaidia kitu kama institutions zetu zitabaki za kiujima. Nikuulize swali katika katiba ya sasa mahali gani pamekataza maandamano? Kwsnini watu wsnaogipa kuandamana wakati katiba inaruhusu? Jibu so Magufuli Bali una instutions ambaxo zipo kisheria kusimamia haki zetu lakini hazitimizi wsjibu zao na kuegamia upande wa watawsla.. Sielewi wa Tanzania tuna matatixo gani kuelewa thread fupi kama hii.

Institutions bora zinatokana na katiba bora!!!
 
KATIBA mpya yenye kukidhi haja hizo ulozitaja ndio suluhisho. Sio ile ilopitishwa na na ccm au hata ile ya warioba bado ina mwanya wa kufanya maonevu.
Katiba ni sharia mama ya namna nchi ilivo jiamulia kujiendesha.
Ukiweka kifungu kuwa Rais wa nchi yupo Juu ya sharia na hawezi kushtakiwa basi uovu hauwezi kuondoka
ukiiwacha katiba kuwa kuishtaki serikali ni mpaka upate kibali cha mwanasheria wa hio hio serikali basi mwananchi hawezi kupata haki
ukiwa na katiba inayo ruhusu Wakuu wa Mikoa na Wilaya wana ruhusa ya kuweka watu ndani hovyo basi hakai haitakuwepo

  • Tunatakiwa tuwe na Katiba ambayo Rais hayupo Immune na makosa yake ya Kuvunja Katiba au mateso alofanya dhidi ya wananchi
  • inatakiwa katiba ambayo majaji wetu watapitishwa na bunge na wasio weza kuingiliwa na rais au kiongozi mwengine
  • tunatakiwa tusiwe na wakuu wa mikoa au wilaya badala yake mameya wanao chaguliwa na wananchi
  • tuwe na katiba inayo guarantee uhuru , ulinzi wa raia
  • jeshi la polisi liwekewe sharia ngumu dhadi ya uonevu na raia awe huru kulishtaki na kudai fidia anapo vunjiwa haki zake za kikatiba. Pia waweze kushtakiwa kwa jinai zao dhidi ya watuhumiwa
  • itatakiwa katiba inayo define nani Mtanzania ukizingatia makabila na asili zetu
  • katiba ambayo itapiga marufuku wanajeshi na polisi kuchagua viongozi wa kisiasa. hii kuwatoa katika kugemea uoande mmoja.
  • katiba ambayo itakataza kabisa kulingiza jeshi katika mambo ya kisiasa hata akiwa amestaafu bado kuwe na kikwazo kwa rank Fulani kutumikia vyama....
Tukiweka vipengele kama hivi kila mmoja ataheshimu madaraka yake..kila mmoja hataigusa katiba na haki itarudi.

USA sio nchi ambayo kuna haki...katiba yao ni ya kulinda nchi yao na serikali ... ni katiba ilio pitishwa wakati wa civil war ..ni katiba inayo tokana na wababe wa kuvamia maeneo ya nchi nyengine. bado nchi ile juu ya maendeleo makubwa lakini watu wake wanatokana na kizazi cha wababe wahuni na wauaji. ...hawana any type ya civilization wao sio mfano Bora.
Europe nao baada ya WWII hasa zile za West zimejitahidi kuweka misingi madhubuti haki za raia.
nchi kama Ujerumani, UK ni za kupigiwa mfano. Raia wao kwao ni KWANZA
 
Hii ni comment ya Siku. Ningefurahi sana kama JF ingekua na watu wengi kama wewe

mkuu huyu amekuonea sana na sielewi kwanini umempongeza namna hiyo. yaani amesema kuwa mtazamo wako unaweza kuwa kitu chochote kati ya cream au bullshit. sasa kama ungefurahi wote waseme ni mtazamo wako na ndio majibu uliyoyategemea ingekuwa mara mia huu mtazamo wako ungebaki nao moyoni na ungekufaa sana namna hiyo. post zinazoalika kuhojiwa ndizo zinazojenga na ni vizuri ukaweka tafakari zako wazi ili upate maarifa.
 
mkuu huyu amekuonea sana na sielewi kwanini umempongeza namna hiyo. yaani amesema kuwa mtazamo wako unaweza kuwa kitu chochote kati ya cream au bullshit. sasa kama ungefurahi wote waseme ni mtazamo wako na ndio majibu uliyoyategemea ingekuwa mara mia huu mtazamo wako ungebaki nao moyoni na ungekufaa sana namna hiyo. post zinazoalika kuhojiwa ndizo zinazojenga na ni vizuri ukaweka tafakari zako wazi ili upate maarifa.
Ndiyo maana ya demokrasia ni kukubali kutokukubaliana. Wewe ndiye umejifanya mjanja kunitukana lakini tumewazoea watu kama ninyi.
Na kuonyesha huelewi nini unachokisema kama kawaida umeandika upupu. Kama kila mwenye mawazo angekaa kimya basi kusingekuwa na jukwaa kama hili ambalo linawapa nafasi hata waliokimbia milembe kama huyu ninayejibizana naye muda huu wasingepata nafasi ya kusaidiwa warudi wodini kupewa dawa
 
Matukio mengi yanayoendelea nchini kwasasa na wengi wetu inafika wakati na kudhani katiba mpya itasaidia kupunguza ama kuondoa uonevu.

Tupitie video mbili hapo chini kuonyesha uonevu hata Siku moja hautamalizwa na katiba mpya bali umoja wa kitaifa ukianzia kutoka kwa wanasiasa ambao watatuunganisha kuwa wamoja na kuheshimu misingi ya haki za binadamu zaidi ya kuvutana kiitikadi kama ilivyo sasa. Last time niliandika thread ya kumsifu Mh Mbowe kwa jinsi alivyo handle tukio lililomkuta mwanademokrasia na mpigania haki wa kweli Mh Tundu Lissu.

Pamoja na sifu zangu kwake kwa leo ningeomba kumshauri tu kwamba haitatusaidia sisi kama watanzania tukiendekeza hizi siasa zinazozagaa mitaani kwasasa. Kama kila tukio likitokea tumnyoshee kidole rais na serikali.

Ifike wakati tuanze kujenga siasa za maelewano zaidi kuliko kutumia mitandao na vyombo vya habari kugombanisha RAIA na serikali (kina Lema &co) ama RAIA na wanasiasa wa upinzani kama ndugu Polepole.



Hii katika video hapo juu inatokea sana Marekani wanaojulikana wanaua watu kweupe na wanaachiwa huru kuua tena. Ndiyo hawa tunadhani wanathamini zaidi maisha ya watu zaidi ya wasiyojulikana Wa Tanzania?.

Mbowe hata wakija kuwachunguza wenzao wasiyojulikana hawatatusaidia kutatua tatizo hili la wasiyojulikana. Kenya walimuua Dr John Robert Ouko na Scotland Yard waliitwa kuchunguza lakini haikusaidia kuwafichua wasiojulikana Wahenga wenzangu watalikumbuka tukio la kuawa Ouko na kuchomwa moto.

Fikiria Ouko hakua mwanasiasa tu kama Mh Lissu Bali alikua waziri pia. Gari nyeupe pia inasadikika ilitumiwa na wasiyojulikana. So John Troon wa New Scotland Yard ndiye aliyeongoza uchunguzi.


mimi nahisi huu umoja wa kitaifa unaoupendekeza bado unatokana na will ya watu husika. Ulipaswa kuenziwa na kutunzwa kwa hali yoyote pale tulipokuwa nao. Muasisi labda alifanikiwa kuuinitiate lakini ulitakiwa kuendelezwa kwa hofu kuu, yaani yeyote aliyepewa jukumu lolote alitakiwa kutumia nguvu zake zote kuhakikisha huo umoja haunajisiwi, haudhaifishwi na unakuwa kipaumbele cha watu wote wanaohusika. Hilo halikufanyika kwa ufanisi sana.

Badala yake ubinafsi mwingi ulitawala. Ukumbuke kuwa wakati wote huo katiba nayo ni mfumo tuliochaguliwa na hatukuwa na tatizo nao sana wakati huo kwa sababu kulikuwa na kambegu ka umoja wa kitaifa kalikuwa kamepandwa kalikohitaji kumwagiliwa nk. Baadaye ubinafsi uliposhika kasi ndipo tukakumbuka kuwa kuna katiba inayoweza kutuokoa na tukaanza kupursue njia hiyo ili kuleta ustawi kwa wote.

Mimi ninaamini kitu kama umoja wa kitaifa ni kitu organic, yaani hakiletwi na nguvu za kijeshi, kitawala wala kifedha. Yaani tu watu kwa kupendana na kujaliana mambo ya ustawi wao yanaendelea bila hata kujali katiba inasemaje. Wanaworry kuhusu katiba wanakuwa ni watu wachache tu walio madarakani, mara nyingi ni kwa sababu za kimsingi za kulinda mshikamano au kwa maslahi binafsi ya kujijengea wigo wa usalama binafsi. Hapa sijui kipi ni kipi kimeendelea lakini nina hakika sababu hazikuwa za kujenga mshikamano kwa tunavyohusika.

Ninaamini pia kuwa kwa sasa huo umoja wa kitaifa si bidhaa unayoweza kuikuza kwa nguvu na madaraka kwamba ukiamua ujenge umoja kitaifa unaamka asubuhi na kuwaambia watu wawe na umoja wa kitaifa halafu hilo likatokea. Sio rahisi kihivyo. Kwa sababu maji almost yameshamwagika. Kuyapata maji yale yale sio rahisi. Hapa unahitaji kifaa ambacho kitakusukuma tu uende kwa njia ambayo wote watakubali kuwa inajali maslahi yao, ina mifumo ya kutatua matatizo yao na inaweza kutengeneza msingi wa kutoa majibu ya matatizo yao kwa ajili ya ustawi wao. Hii ni kwa sababu mfumo wa asili wa kuendesha mambo umeshautupa, yaani ule msingi mkubwa wa umoja wa kitaifa.

Tool unayoweza kuifikiria kwa sasa ni katiba tu ambayo haitakupa uhuru wa kufanya utakavyo bila wengine kukubali. Itakwambia nini cha kufanya kwenye nia yako ya kusaidia ustawi wa watu. Kutakuwa na uwezo wa watu kupata uhakika na malengo yako kwa kukuhoji nk.

Marekani unayoisema haiko kama marekani ya awali. Ilikuwa mbaya kuliko ilivyo. Baada ya kuona wote watakwisha kwa mapigano wakasema basi tuweke katiba itakayotuongoza cha kufanya na tuiheshimu hiyo. Atakayeiviolate katiba huyo ndie adui wetu wa kwanza hata kama akitoka kwenye familia yetu, ukoo wetu, mkoa wetu au chama chetu. Wakaweka mifumo ambayo madaraka hayajai kwa mtu mmoja. madaraka yanahakikiwa, madaraka yanahojiwa, madaraka ya uwiano wa kuhakikisha mmoja akiyatumia vibaya anaweza kudhibitiwa hali ya nchi ikatengemaa. Hii yote ilikuwa ni kutoka na uoga wa kilichowakuta kabla ya kuianzisha katiba. Na Zaidi ya yote ni kwa sababu walifahamu kuwa kuunganisha watu kwa misingi ya upendo na undugu wameshakushindwa kwa sababu mbalimbali ikiwemo ubinafsi ambao nasi umetu-plague.

With respect, I disagree with you
 
KATIBA mpya yenye kukidhi haja hizo ulozitaja ndio suluhisho. Sio ile ilopitishwa na na ccm au hata ile ya warioba bado ina mwanya wa kufanya maonevu.
Katiba ni sharia mama ya namna nchi ilivo jiamulia kujiendesha.
Ukiweka kifungu kuwa Rais wa nchi yupo Juu ya sharia na hawezi kushtakiwa basi uovu hauwezi kuondoka
ukiiwacha katiba kuwa kuishtaki serikali ni mpaka upate kibali cha mwanasheria wa hio hio serikali basi mwananchi hawezi kupata haki
ukiwa na katiba inayo ruhusu Wakuu wa Mikoa na Wilaya wana ruhusa ya kuweka watu ndani hovyo basi hakai haitakuwepo

  • Tunatakiwa tuwe na Katiba ambayo Rais hayupo Immune na makosa yake ya Kuvunja Katiba au mateso alofanya dhidi ya wananchi
  • inatakiwa katiba ambayo majaji wetu watapitishwa na bunge na wasio weza kuingiliwa na rais au kiongozi mwengine
  • tunatakiwa tusiwe na wakuu wa mikoa au wilaya badala yake mameya wanao chaguliwa na wananchi
  • tuwe na katiba inayo guarantee uhuru , ulinzi wa raia
  • jeshi la polisi liwekewe sharia ngumu dhadi ya uonevu na raia awe huru kulishtaki na kudai fidia anapo vunjiwa haki zake za kikatiba. Pia waweze kushtakiwa kwa jinai zao dhidi ya watuhumiwa
  • itatakiwa katiba inayo define nani Mtanzania ukizingatia makabila na asili zetu
  • katiba ambayo itapiga marufuku wanajeshi na polisi kuchagua viongozi wa kisiasa. hii kuwatoa katika kugemea uoande mmoja.
  • katiba ambayo itakataza kabisa kulingiza jeshi katika mambo ya kisiasa hata akiwa amestaafu bado kuwe na kikwazo kwa rank Fulani kutumikia vyama....
Tukiweka vipengele kama hivi kila mmoja ataheshimu madaraka yake..kila mmoja hataigusa katiba na haki itarudi.

USA sio nchi ambayo kuna haki...katiba yao ni ya kulinda nchi yao na serikali ... ni katiba ilio pitishwa wakati wa civil war ..ni katiba inayo tokana na wababe wa kuvamia maeneo ya nchi nyengine. bado nchi ile juu ya maendeleo makubwa lakini watu wake wanatokana na kizazi cha wababe wahuni na wauaji. ...hawana any type ya civilization wao sio mfano Bora.
Europe nao baada ya WWII hasa zile za West zimejitahidi kuweka misingi madhubuti haki za raia.
nchi kama Ujerumani, UK ni za kupigiwa mfano. Raia wao kwao ni KWANZA
Ukiambiwa hats huko UK institutions zao bado zina matatizo utasemaje? Walipitisha sheria ugaidi ambayo imewapa mwanya maaskari wabaguzi kuonyesha ranging zao kwa kuitumia hiyo katiba na sheria.

Nilichotaka kusema ni mabadiliko yetu RAIA na kuelewa haki zetu na vyombo husika katika justice system kufanya kazi kwa misingi ya haki. Maana kina sheria nyingi tunaxo lakini hazifuatwi kikatiba Saba by tulip was mini kuzifasiri wanafasiri kwa manufaa ya wachache. Tukishatengeza jamii inayoelewa misingi na haki ziwalindazo na kuzielewa then hiyo katiba itaonyesha mabadiliko.
 
Ndiyo maana ya demokrasia ni kukubali kutokukubaliana. Wewe ndiye umejifanya mjanja kunitukana lakini tumewazoea watu kama ninyi.
Na kuonyesha huelewi nini unachokisema kama kawaida umeandika upupu. Kama kila mwenye mawazo angekaa kimya basi kusingekuwa na jukwaa kama hili ambalo linawapa nafasi hata waliokimbia milembe kama huyu ninayejibizana naye muda huu wasingepata nafasi ya kusaidiwa warudi wodini kupewa dawa

mpendwa hapa umepanic bure. mimi sikuwa na nia mbaya na wewe wala sikukutukana. nimesema tu kuwa yule aliyesema "ni mtazamo wako" halafu wewe ukasema ndio majibu uliyoyapenda kakuonea. sababu niliyotoa ni kuwa huwezi kuleta hoja kama hii ya uzi wako halafu ukatengemea wote waseme ni mtazamo wako halafu wewe uridhike kuwa uzi wako umeleta tija. inatakiwa ama watu wa echo unachokisema au watofautiane na wewe ili ufafanue hoja zako. wakisema ni mtazamo wako ni kama wanakuambia kuwa haya yanakufaa wewe tu na huna haja ya kuyaleta kwa GTs. elewaga context ya post kabla huja panic mkuu.
 
Matukio mengi yanayoendelea nchini kwasasa na wengi wetu inafika wakati na kudhani katiba mpya itasaidia kupunguza ama kuondoa uonevu.

Tupitie video mbili hapo chini kuonyesha uonevu hata Siku moja hautamalizwa na katiba mpya bali umoja wa kitaifa ukianzia kutoka kwa wanasiasa ambao watatuunganisha kuwa wamoja na kuheshimu misingi ya haki za binadamu zaidi ya kuvutana kiitikadi kama ilivyo sasa. Last time niliandika thread ya kumsifu Mh Mbowe kwa jinsi alivyo handle tukio lililomkuta mwanademokrasia na mpigania haki wa kweli Mh Tundu Lissu.

Pamoja na sifu zangu kwake kwa leo ningeomba kumshauri tu kwamba haitatusaidia sisi kama watanzania tukiendekeza hizi siasa zinazozagaa mitaani kwasasa. Kama kila tukio likitokea tumnyoshee kidole rais na serikali.

Ifike wakati tuanze kujenga siasa za maelewano zaidi kuliko kutumia mitandao na vyombo vya habari kugombanisha RAIA na serikali (kina Lema &co) ama RAIA na wanasiasa wa upinzani kama ndugu Polepole.



Hii katika video hapo juu inatokea sana Marekani wanaojulikana wanaua watu kweupe na wanaachiwa huru kuua tena. Ndiyo hawa tunadhani wanathamini zaidi maisha ya watu zaidi ya wasiyojulikana Wa Tanzania?.

Mbowe hata wakija kuwachunguza wenzao wasiyojulikana hawatatusaidia kutatua tatizo hili la wasiyojulikana. Kenya walimuua Dr John Robert Ouko na Scotland Yard waliitwa kuchunguza lakini haikusaidia kuwafichua wasiojulikana Wahenga wenzangu watalikumbuka tukio la kuawa Ouko na kuchomwa moto.

Fikiria Ouko hakua mwanasiasa tu kama Mh Lissu Bali alikua waziri pia. Gari nyeupe pia inasadikika ilitumiwa na wasiyojulikana. So John Troon wa New Scotland Yard ndiye aliyeongoza uchunguzi.

Sio kweli kama huelewi usipotoshe watu. Scotland Yard waliihusisha serikali ya Kenya moja kwa moja na mauaji ya Dr.Robert Ouko.

Walihusishwa akina Bw. Nicholas Biwott aliyekuwa waziri wa ujenzi; Bw.Hezekiah Oyugi aliyekuwa katibu mkuu ktk ofisi ya rais; Bw. Philip Kilonzo aliyekuwa mkuu wa jeshi la polisi; Bw. Julius Kobia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Nyanza, wote hao nao sasa ni marehemu.

Pamoja na kwamba hawakuwahi kufikishwa mahakamani lkn ukweli uliwekwa wazi na tukio kama hilo halikuwahi kutokea tena.

NB. Polisi wa Kenya walishindwa kuchunguza kutokana na nature ya personalities zilizohusika ktk hayo mauaji.
 
mimi nahisi huu umoja wa kitaifa unaoupendekeza bado unatokana na will ya watu husika. Ulipaswa kuenziwa na kutunzwa kwa hali yoyote pale tulipokuwa nao. Muasisi labda alifanikiwa kuuinitiate lakini ulitakiwa kuendelezwa kwa hofu kuu, yaani yeyote aliyepewa jukumu lolote alitakiwa kutumia nguvu zake zote kuhakikisha huo umoja haunajisiwi, haudhaifishwi na unakuwa kipaumbele cha watu wote wanaohusika. Hilo halikufanyika kwa ufanisi sana.

Badala yake ubinafsi mwingi ulitawala. Ukumbuke kuwa wakati wote huo katiba nayo ni mfumo tuliochaguliwa na hatukuwa na tatizo nao sana wakati huo kwa sababu kulikuwa na kambegu ka umoja wa kitaifa kalikuwa kamepandwa kalikohitaji kumwagiliwa nk. Baadaye ubinafsi uliposhika kasi ndipo tukakumbuka kuwa kuna katiba inayoweza kutuokoa na tukaanza kupursue njia hiyo ili kuleta ustawi kwa wote.

Mimi ninaamini kitu kama umoja wa kitaifa ni kitu organic, yaani hakiletwi na nguvu za kijeshi, kitawala wala kifedha. Yaani tu watu kwa kupendana na kujaliana mambo ya ustawi wao yanaendelea bila hata kujali katiba inasemaje. Wanaworry kuhusu katiba wanakuwa ni watu wachache tu walio madarakani, mara nyingi ni kwa sababu za kimsingi za kulinda mshikamano au kwa maslahi binafsi ya kujijengea wigo wa usalama binafsi. Hapa sijui kipi ni kipi kimeendelea lakini nina hakika sababu hazikuwa za kujenga mshikamano kwa tunavyohusika.

Ninaamini pia kuwa kwa sasa huo umoja wa kitaifa si bidhaa unayoweza kuikuza kwa nguvu na madaraka kwamba ukiamua ujenge umoja kitaifa unaamka asubuhi na kuwaambia watu wawe na umoja wa kitaifa halafu hilo likatokea. Sio rahisi kihivyo. Kwa sababu maji almost yameshamwagika. Kuyapata maji yale yale sio rahisi. Hapa unahitaji kifaa ambacho kitakusukuma tu uende kwa njia ambayo wote watakubali kuwa inajali maslahi yao, ina mifumo ya kutatua matatizo yao na inaweza kutengeneza msingi wa kutoa majibu ya matatizo yao kwa ajili ya ustawi wao. Hii ni kwa sababu mfumo wa asili wa kuendesha mambo umeshautupa, yaani ule msingi mkubwa wa umoja wa kitaifa.

Tool unayoweza kuifikiria kwa sasa ni katiba tu ambayo haitakupa uhuru wa kufanya utakavyo bila wengine kukubali. Itakwambia nini cha kufanya kwenye nia yako ya kusaidia ustawi wa watu. Kutakuwa na uwezo wa watu kupata uhakika na malengo yako kwa kukuhoji nk.

Marekani unayoisema haiko kama marekani ya awali. Ilikuwa mbaya kuliko ilivyo. Baada ya kuona wote watakwisha kwa mapigano wakasema basi tuweke katiba itakayotuongoza cha kufanya na tuiheshimu hiyo. Atakayeiviolate katiba huyo ndie adui wetu wa kwanza hata kama akitoka kwenye familia yetu, ukoo wetu, mkoa wetu au chama chetu. Wakaweka mifumo ambayo madaraka hayajai kwa mtu mmoja. madaraka yanahakikiwa, madaraka yanahojiwa, madaraka ya uwiano wa kuhakikisha mmoja akiyatumia vibaya anaweza kudhibitiwa hali ya nchi ikatengemaa. Hii yote ilikuwa ni kutoka na uoga wa kilichowakuta kabla ya kuianzisha katiba. Na Zaidi ya yote ni kwa sababu walifahamu kuwa kuunganisha watu kwa misingi ya upendo na undugu wameshakushindwa kwa sababu mbalimbali ikiwemo ubinafsi ambao nasi umetu-plague.

With respect, I disagree with you
Marekani imewexa sisi tutashindwaje? Ni will na ndicho nilichokisema will kutoka ngazi za viongozi wa siasa. Wanasiasa ndiyobwanaweza kujenga ama kubomoa nchi na siyo serikali. Kama una wanasiasa wanahubiri sisi na ninyi huo umoja utapatikanaje?

Leo Magufuli mwenyekitibwa ccm akimtuhumu Mbowe hats kwa uongo kina Lizabon na wing yao us propaganda wstashinda mitandaoni kuhubiri uwongo. Vile vile tumeona Mbowe kasema serikali kutumia vyombo vyake walitaka kumuua Lissu yaweza kuwa kweli yaweza kuwa uwongo matokeo take unayaona kina Salary Slip wanatimiza wajibu wao kussmbaza habari.

Wrote tunajua Obama ni Marekani na kazaliwa Marekani lakini MTU mmoja tu alisema uwongo wafuasi bado mpaka Leo wanaamini Obama kazaliwa Kenya.

Nyerere aliweza sababu kwske ilikua rahisi hakukuwa na mgawsnyiko ktk itikadi kama Sikh hizi. Na yeye yangemshinda. Tatizo tuna raid anachsnganya kazi take ya uenyekiti na urais unadhani sisi wrote ni ccm. Sioni haja anapozima mwenye wa Uhuru ajaze wana ccm
 
Sio kweli kama huelewi usipotoshe watu. Scotland Yard waliihusisha serikali ya Kenya moja kwa moja na mauaji ya Dr.Robert Ouko.

Walihusishwa akina Bw. Nicholas Biwott aliyekuwa waziri wa ujenzi; Bw.Hezekiah Oyugi aliyekuwa katibu mkuu ktk ofisi ya rais; Bw. Philip Kilonzo aliyekuwa mkuu wa jeshi la polisi; Bw. Julius Kobia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Nyanza, wote hao nao sasa ni marehemu.

Pamoja na kwamba hawakuwahi kufikishwa mahakamani lkn ukweli uliwekwa wazi na tukio kama hilo halikuwahi kutokea tena.

NB. Polisi wa Kenya walishindwa kuchunguza kutokana na nature ya personalities zilizohusika ktk hayo mauaji.
Mkuu mbona hujaelewa hoja yangu sijakielewa? John Troon hakupewa ushirikiano nzuri na ndiyo maana hats binge liliikataa hiyovreport. All in all hats ulete watu kutoka nje kama hawatasaidia kumaliza tatizo LA wasiyojulikana kama ambako watu mpka miaka hii wanauawa ktk mazingira ya wasiyojulikana mini shuruhisho?

Kama system imefanya hiyo kitu basis tuombe sana mungu apitishe mbali ni balaa hao wa mataifa ya nje hawatasaidia
 
Matukio mengi yanayoendelea nchini kwasasa na wengi wetu inafika wakati na kudhani katiba mpya itasaidia kupunguza ama kuondoa uonevu.

Tupitie video mbili hapo chini kuonyesha uonevu hata Siku moja hautamalizwa na katiba mpya bali umoja wa kitaifa ukianzia kutoka kwa wanasiasa ambao watatuunganisha kuwa wamoja na kuheshimu misingi ya haki za binadamu zaidi ya kuvutana kiitikadi kama ilivyo sasa. Last time niliandika thread ya kumsifu Mh Mbowe kwa jinsi alivyo handle tukio lililomkuta mwanademokrasia na mpigania haki wa kweli Mh Tundu Lissu.

Pamoja na sifu zangu kwake kwa leo ningeomba kumshauri tu kwamba haitatusaidia sisi kama watanzania tukiendekeza hizi siasa zinazozagaa mitaani kwasasa. Kama kila tukio likitokea tumnyoshee kidole rais na serikali.

Ifike wakati tuanze kujenga siasa za maelewano zaidi kuliko kutumia mitandao na vyombo vya habari kugombanisha RAIA na serikali (kina Lema &co) ama RAIA na wanasiasa wa upinzani kama ndugu Polepole.



Hii katika video hapo juu inatokea sana Marekani wanaojulikana wanaua watu kweupe na wanaachiwa huru kuua tena. Ndiyo hawa tunadhani wanathamini zaidi maisha ya watu zaidi ya wasiyojulikana Wa Tanzania?.

Mbowe hata wakija kuwachunguza wenzao wasiyojulikana hawatatusaidia kutatua tatizo hili la wasiyojulikana. Kenya walimuua Dr John Robert Ouko na Scotland Yard waliitwa kuchunguza lakini haikusaidia kuwafichua wasiojulikana Wahenga wenzangu watalikumbuka tukio la kuawa Ouko na kuchomwa moto.

Fikiria Ouko hakua mwanasiasa tu kama Mh Lissu Bali alikua waziri pia. Gari nyeupe pia inasadikika ilitumiwa na wasiyojulikana. So John Troon wa New Scotland Yard ndiye aliyeongoza uchunguzi.

Nadhani umelenga kufika mahali bila kujua njia ya kufika huko. Utajengaje siasa za maelewano bila msingi na mfumo wa sheria na haki? Unajengaje hewani tu?

Katiba sio one-time solution for all problems. Huko siko tunaotaka Katiba Mpya tunakolenga, lakini ndiko mahali pa kuanzia matibabu ya madhila yatokanayo na uongozi mbovu, rushwa, umaskini, ubadhirifu, sheria mbovu, uonevu nk nk.

Ingekuwa tunazungumzia mwili wa binadamu basi tungesema Katiba ni uti wa mgongo (spinal cord), kama uti wako wa mgongo uko safi basi hata viungo vinavyounganishwa nao vitakuwa na afya na kufanya kazi vizuri lakini kama uti wa mgongo ni mgonjwa mwili wote utakuwa mgonjwa tu hata ufanye vipi.
 
Marekani imewexa sisi tutashindwaje? Ni will na ndicho nilichokisema will kutoka ngazi za viongozi wa siasa. Wanasiasa ndiyobwanaweza kujenga ama kubomoa nchi na siyo serikali. Kama una wanasiasa wanahubiri sisi na ninyi huo umoja utapatikanaje?

mazingira yaliyowafanya wamarekani watengeneze katiba inayowafaa hivyo yalikuwa ya vita na walikuwa wakielekea kuteketea ndipo walipogutuka kuwa watakwisha na hawataweza kuishi pamoja. labda tuanzie hapo.
 
Nadhani umelenga kufika mahali bila kujua njia ya kufika huko. Utajengaje siasa za maelewano bila msingi na mfumo wa sheria na haki? Unajengaje hewani tu?

Katiba sio one-time solution for all problems. Huko siko tunaotaka Katiba Mpya tunakolenga, lakini ndiko mahali pa kuanzia matibabu ya madhila yatokanayo na uongozi mbovu, sheria mbovu, uonevu nk nk.

Ingekuwa tunazungumzia mwili wa binadamu basi tungesema Katiba ni uti wa mgongo (spinal cord), kama uti wako wa mgongo uko safi basi hata viungo vinavyounganishwa nao vitakuwa na afya na kufanya kazi vizuri lakini kama uti wa mgongo ni mgonjwa mwili wote utakuwa mgonjwa tu hata ufanye vipi.
Kama instution ni mufilisi katiba itasaidia mini?
 
Hii ni comment ya Siku. Ningefurahi sana kama JF ingekua na watu wengi kama wewe

Usizunguke sana, ww sema tufuate anachotaka rais na sio katiba maana kwa mtazamo wako ww rais ndio anayejua utaratibu na sio katiba.
 
Back
Top Bottom