Ni kwa jinsi gani Katiba Mpya inaweza kushusha bei za vyakula?

Ni kwa jinsi gani Katiba Mpya inaweza kushusha bei za vyakula?

Nacho kiona kwenye hizi harakati za katiba mpya, ni maswala ya madaraka tu. Kwamba wapinzani wameshagundua hawawezi kushika dola kama katiba itaendelea kua hii, hivyo wanajaribu kahakikisha tunaichukia hii katiba tuliyo nayo ili tupate hiyo nyingine itakayo wapa wao mwanya wa kupenya kwenye dola.

Ila kiukweli harakati hizi sio kwa maslahi ya wananchi, hawa watu hua wanatanguliza maslahi yao mbele tu sikuzote. Hata ukichunguza kilicho sababisha mchakato wa kwanza kutofikia muafaka utakuta changamoto ilikua ni maslahi ya upinzani hayakutimizwa.
Kumbe wanasiasa siyo wananchi bali ni wahamiaji siyo!
 
Kumekuwa na hoja kutoka siasa za upinzani, wakidai kwamba kuna uwezekano wa bei za vyakula kushuka iwapo tu tungekuwa na Katiba Mpya.

Hii ni hoja inayowavutia sana wananchi ila hakuna hata kiongozi mmoja wa upinzani aliewahi kueleza ni kwa jinsi gani jambo hili linawezekana.

Tafadhali kama una maoni yanayo weza kutusaidia kuthibitisha kuwa jambo hili ni kweli au lah, unakaribishwa kwa faida ya wengi.
Ninakushauri fuata unachoambiwa na chama chako CCM kuwa katiba haikuletei ugali mezani japo wao katiba mbovu inawawezesha kutuibia.
 
Burudani yangu ni kifua cha mamako!
Bahati mbaya hauna maisha ndio maana unamakasiriko aha aha aha tafuta Hela ccm haina ubaya maisha magumu yanaleta hasira aha aha aha
 
Back
Top Bottom