Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
kwa kiasi kibuwa Tanzania imepiga hatu za kimaendeleo chini ya serikika sikivu ya CCM ya awamu ya sita kwa kuinua vipato na hali bora sana za maisha ya waTanzania,
kwa kuzingatia uhakika wa hali ya ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi, watu na makazi yao, kazi na na biashara zao,
Lakini pia, kwa kuzingatia uhakika katika huduma za umeme, usafishaji angani, majini na ardhini, afya na maji ya kutosha, mijini na vijijini,
Na tena,kwa kuzingatia mapinduzi makubwa katika kilimo, ufugaji, uvuvi, na mageuzi katika sekta ya maliasili, utalii, historia na uhifadhi wa tunu za Taifa,
Kwa kutilia maanani hali bora iliyoimarishwa sana kisheria, ya shughuli za kisiasa nchini, Uhuru wa Habari na maoni, hali bora ya mifumo ya utoaji haki, Uchaguzi Huru na usawa katika kupata huduma muhimu za kijamii na maendeleo.
Je,
ni kwa kiasi gani Rais na Kipenzi cha wananchi wengi wa Tanzania amefanikiwa kupunguza umasikini na kuinua hali zilizo bora zaidi za Maisha ya waTanzania?
elezea kwa kifupi kwa mifano...🐒
kwa kuzingatia uhakika wa hali ya ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi, watu na makazi yao, kazi na na biashara zao,
Lakini pia, kwa kuzingatia uhakika katika huduma za umeme, usafishaji angani, majini na ardhini, afya na maji ya kutosha, mijini na vijijini,
Na tena,kwa kuzingatia mapinduzi makubwa katika kilimo, ufugaji, uvuvi, na mageuzi katika sekta ya maliasili, utalii, historia na uhifadhi wa tunu za Taifa,
Kwa kutilia maanani hali bora iliyoimarishwa sana kisheria, ya shughuli za kisiasa nchini, Uhuru wa Habari na maoni, hali bora ya mifumo ya utoaji haki, Uchaguzi Huru na usawa katika kupata huduma muhimu za kijamii na maendeleo.
Je,
ni kwa kiasi gani Rais na Kipenzi cha wananchi wengi wa Tanzania amefanikiwa kupunguza umasikini na kuinua hali zilizo bora zaidi za Maisha ya waTanzania?
elezea kwa kifupi kwa mifano...🐒