Hello
Nataka kufahamu ni kwa kiasi gani wananchi wa TZ wanatumia unga wa muhogo katika mlo wao wa kila siku ukilinganisha na unga wa mahindi? Na pia kama ukianzisha biashara ya kuuza unga wa muhogo, inalipa au makampuni mengine yashaliteka soko la unga nchini?
Nataka kufahamu ni kwa kiasi gani wananchi wa TZ wanatumia unga wa muhogo katika mlo wao wa kila siku ukilinganisha na unga wa mahindi? Na pia kama ukianzisha biashara ya kuuza unga wa muhogo, inalipa au makampuni mengine yashaliteka soko la unga nchini?