Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Habar.
Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa,
Kwa kuwa Mke wangu kanipigia sim akinieleza kaziona siku zake,
Kinyume na mimi nilivyokua natarajia kuwa ni mjamzito,
Wote ni wazima wa afya sijui ni nini tatizo juu ya hili,
Tafadhalini msaada unahitajika hapa.
Kumbukumbu zake aliingia period tarehe20/1/14
Leo tarehe 11/2/14 ameziona tena,
Sasa kwa mwanamke kama huyu siku yake ya kupata Ujauzito ni siku gani?
mzizimkavu SUZANE Baba V Himidini
Heaven on Earth
Kwenu wadau.
Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa,
Kwa kuwa Mke wangu kanipigia sim akinieleza kaziona siku zake,
Kinyume na mimi nilivyokua natarajia kuwa ni mjamzito,
Wote ni wazima wa afya sijui ni nini tatizo juu ya hili,
Tafadhalini msaada unahitajika hapa.
Kumbukumbu zake aliingia period tarehe20/1/14
Leo tarehe 11/2/14 ameziona tena,
Sasa kwa mwanamke kama huyu siku yake ya kupata Ujauzito ni siku gani?
mzizimkavu SUZANE Baba V Himidini
Heaven on Earth
Kwenu wadau.