Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Moja ya taasisi kongwe saana duniani ni "familia". Familia ndiyo kiunganishi cha kwanza cha jamii. Jamii iliyoungana siku zote hufanikiwa kwa kila jambo lifabyikalo.
Hivyohivyo, Familia/wanandoa walioamua kuungana na kuishi pamoja mafanikio watakayo pata ni makubwa tofauti na ambavyo wasingekuwa wameunganisha nguvu zao.
Wote tunajifunza hapa, hasa mimi. Tunajua kuna changamoto nyingi kwenye familia/ndoa. Lakini leo dhumuni la uzi wangu ni----
"Ningejua ningeoa mapema walau nikiwa na miaka 23" Haya ni maneno yaliyoungwa mkono na watu wazima tulipokuwa tunajadili mafanikio ya ndoa kijiweni kwetu. Yalinifikirisha saana.
-Je, nyie wakongwe wa ndoa ni kwa namna gani mnaziona ndoa zenu zimewafanya mkafanikiwa katika maisha tofauti na msingekuwa ndani ya ndoa.
-Ni mara nyingi mnatushauri vijana hata wasio na ajira kuoa kisha mambo yatajiset tukiwa kwenye ndoa, limekaaje hili tunahitaji ufafanuzi.
-Vijana wengi tunaamini tutaoa siku tukifanikiwa kwenye maisha. Msitushangae hili linatokana na aina ya wanawake tulionao siku hizi wataki tutafute wote.
hoja kuu "Ni kwa namna gani ndoa itakuwa chachu ya mafanikio kwa vijana wanao anza maisha"
Lengo la uzi limejificha kutokana na aina ya uandishi wangu ila kwa watu wazima watapata hoja yangu.
Hivyohivyo, Familia/wanandoa walioamua kuungana na kuishi pamoja mafanikio watakayo pata ni makubwa tofauti na ambavyo wasingekuwa wameunganisha nguvu zao.
Wote tunajifunza hapa, hasa mimi. Tunajua kuna changamoto nyingi kwenye familia/ndoa. Lakini leo dhumuni la uzi wangu ni----
"Ningejua ningeoa mapema walau nikiwa na miaka 23" Haya ni maneno yaliyoungwa mkono na watu wazima tulipokuwa tunajadili mafanikio ya ndoa kijiweni kwetu. Yalinifikirisha saana.
-Je, nyie wakongwe wa ndoa ni kwa namna gani mnaziona ndoa zenu zimewafanya mkafanikiwa katika maisha tofauti na msingekuwa ndani ya ndoa.
-Ni mara nyingi mnatushauri vijana hata wasio na ajira kuoa kisha mambo yatajiset tukiwa kwenye ndoa, limekaaje hili tunahitaji ufafanuzi.
-Vijana wengi tunaamini tutaoa siku tukifanikiwa kwenye maisha. Msitushangae hili linatokana na aina ya wanawake tulionao siku hizi wataki tutafute wote.
hoja kuu "Ni kwa namna gani ndoa itakuwa chachu ya mafanikio kwa vijana wanao anza maisha"
Lengo la uzi limejificha kutokana na aina ya uandishi wangu ila kwa watu wazima watapata hoja yangu.