Ni kwa namna gani ndoa itakuwa chachu ya mafanikio katika maisha hasa kwa vijana.

Ni kwa namna gani ndoa itakuwa chachu ya mafanikio katika maisha hasa kwa vijana.

ukiona mada zako za kindoa ndoa then umefika wakati wa kuoa,lol, wewe usiogope vuta mmoja uingie hakuna formular,kila mtu ana experience tofauti.....au unanipa 0.000000000000000000000000000000% Daby
 
Hoja zako ni fikirishi mkuu, ni ngumu sana kutengeneza mjadala mkubwa. Japo tunahitaji sana mada za hivi ili tusiogope maisha.
Kwetu hii inawezekana katika umri mdogo kwasababu sio mimi nasimamia kila kitu. Na ukipewa mke unapewa na vianzio.

Lakini hii nayo haiendani na maisha ya sasa.
 
ukiona mada zako za kindoa ndoa then umefika wakati wa kuoa,lol, wewe usiogope vuta mmoja uingie hakuna formular,kila mtu ana experience tofauti.....au unanipa 0.000000000000000000000000000000% Daby
Hahaha...umenikumbusha kuna tangazo la Wimpy lipo DSTV. Mama anamnyima kijana amani kila akikaa kidogo "When are you getting married"

Wakipishana mlangoni "When are you getting married" Burger ilimwokoa.

-Tunaelimishana Beca mwenzio tayari mimi.
 
Hahahaaaa!! Umenichekesha sana. Sidhani kama watakuwa wamesoma hadi mwisho.

Mi si nilikwambia acha uoga oa ukawa unambwela mbwela. Unaona sasa unatamani ungenisikiliza mapema[emoji12]

Enjoy mdogo wangu, ndoa ni baraka, baraka nyingi zizidi kuambatana nawe.
Kuwa mpole mdogo wangu.....Katuandalie chai.
 
Ndoa haiwezi kuwa chanzo cha mafanikio, never.

Ukiwa umeoa na una familia ni ngumu kujikita kwenye "high risk missions" za kuukimbiza "upepo wa pesa"!!

Ndoa itakufanya uwe limited, huwezi jichanganya na watu kisa wife atanuna akikuona na mtu flani.

Mwisho wa siku utabaki ulipo...

Kamwe siwezi mshauri mtu aoe mapema kama ana nia ya kusaka maisha unlimitedly!!!

Isaack newton hakua na mke, Mengi kaoa akiwa na 50+, gadiola kaoa akiwa na 40+, dangote hana mke, ndesa pesa hana mke... (the list goes)

Alafu wewe mwenzangu na mm unakimbilia kuoa...
 
Kua jobless then nenda kaoe sijui mtakula mapumbu humo ndani ya nyumba.

Sielewi kabisa kwa kweli.
 
Hahaha...umenikumbusha kuna tangazo la Wimpy lipo DSTV. Mama anamnyima kijana amani kila akikaa kidogo "When are you getting married"

Wakipishana mlangoni "When are you getting married" Burger ilimwokoa.

-Tunaelimishana Beca mwenzio tayari mimi.

hongera kama tayari....

tafuta mtu mna right Chemistry,mnasikilizana hata kama huongei jambo kashawaza unawaza nini,kama kakuboa au umemboa ana nguvu ya kusema hapa nimechukia......

Mtu wa hivi itakuwa rahisi kupanga nae lolote la maendeleo.......

Sio mtu ana elimu au ana kazi nzuri,siku mkipitia katika majaribu mkapata ajali au redundancy kazini,ndoa yenu inakufa kibudu...
 
Ndoa haiwezi kuwa chanzo cha mafanikio, never.

Ukiwa umeoa na una familia ni ngumu kujikita kwenye "high risk missions" za kuukimbiza "upepo wa pesa"!!

Ndoa itakufanya uwe limited, huwezi jichanganya na watu kisa wife atanuna akikuona na mtu flani.

Mwisho wa siku utabaki ulipo...

Kamwe siwezi mshauri mtu aoe mapema kama ana nia ya kusaka maisha unlimitedly!!!

Isaack newton hakua na mke, Mengi kaoa akiwa na 50+, gadiola kaoa akiwa na 40+, dangote hana mke, ndesa pesa hana mke... (the list goes)

Alafu wewe mwenzangu na mm unakimbilia kuoa...
Kwa hiyo mkuu unashauri vijana tuoe kwenye 40s?

Ila mbona folks wanasema "successful man" there is a woman behind??
 
???
hongera kama tayari....

tafuta mtu mna right Chemistry,mnasikilizana hata kama huongei jambo kashawaza unawaza nini,kama kakuboa au umemboa ana nguvu ya kusema hapa nimechukia......

Mtu wa hivi itakuwa rahisi kupanga nae lolote la maendeleo.......

Sio mtu ana elimu au ana kazi nzuri,siku mkipitia katika majaribu mkapata ajali au redundancy kazini,ndoa yenu inakufa kibudu...
Ndoa haiwezi kuwa chanzo cha mafanikio, never.

Ukiwa umeoa na una familia ni ngumu kujikita kwenye "high risk missions" za kuukimbiza "upepo wa pesa"!!

Ndoa itakufanya uwe limited, huwezi jichanganya na watu kisa wife atanuna akikuona na mtu flani.

Mwisho wa siku utabaki ulipo...

Kamwe siwezi mshauri mtu aoe mapema kama ana nia ya kusaka maisha unlimitedly!!!

Isaack newton hakua na mke, Mengi kaoa akiwa na 50+, gadiola kaoa akiwa na 40+, dangote hana mke, ndesa pesa hana mke... (the list goes)

Alafu wewe mwenzangu na mm unakimbilia kuoa...
 
Kua jobless then nenda kaoe sijui mtakula mapumbu humo ndani ya nyumba.

Sielewi kabisa kwa kweli.
Ngoja nikupe mifano miwili;
1: alioa miaka miwili baada ya kumaliza chuo na kutafuta sana ajira bila mafanikio. Mchumba wake alikuwa mwalimu hivyo alivyonaliza tu akaajiriwa. Walioana ikiwa mke ndio mwenye ajira na mume hana. Ila kwakuwa walikutana "wanaoendana" now the rest is history, wako mbali sana hata kimaendeleo na watoto wao wawili.

2; Mwanaume alikuwa hana kazi ila mke ana kazi, wakaoana na baada ya ndoa mke akachukua mkopo na kumpa mume afanye biashara, bahati nzuri mume alikuwa timamu, mwisho wa siku hata kuajiriwa hakutaka tena. Sasa hivi ndoa ina 4 years na maisha yanasonga vizuri tu.
 
Kwetu hii inawezekana katika umri mdogo kwasababu sio mimi nasimamia kila kitu. Na ukipewa mke unapewa na vianzio.

Lakini hii nayo haiendani na maisha ya sasa.
Hata kwetu zamani ilikuwa hivyo, kwanza mahari tu tulikuwa tunasaidiwa kulipa, ng'ombe wanne, sukari/pombe, wazee walihakikisha wanakusaidia kulipa. Leo hii nani atakusaidia hayo, ukiamua kuoa jipange kuanzia mahari hadi kuanza maisha.

Ila i believe in working together, wangapi walisema wataoa baada ya kupata hiki na kile, lakini hadi wanagota 35-40 maisha yao hayajabadilika kwa kiasi kikubwa na ndoa bado hawana.
 
Me bado young lakn now kuna vitu vinanifanya nianze kuwaza ndoa.
 
Back
Top Bottom